Court says 'Obama recess appointments unconstitutional.

Court says 'Obama recess appointments unconstitutional.

Natalia

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2011
Posts
4,324
Reaction score
1,900
Obama anamchezo wa kuteua watu wakati congress members wakiwa likizo .Maraisi wengi haswa George bush did this .why sasa ni unconstitutional ?
 
Obama anamchezo wa kuteua watu wakati congress members wakiwa likizo .Maraisi wengi haswa George bush did this .why sasa ni unconstitutional ?

Because of venomous racism spewed by GOP. You should look at your books and you find this venomous spew. Republicans will now break any handshake agreements they have, and start to flex their renewed minority muscle.
 
Because of venomous racism spewed by GOP. You should look at your books and you find this venomous spew. Republicans will now break any handshake agreements they have, and start to flex their renewed minority muscle.
Wewe nao kila kitu Racism .Majudge walioamua hayo ni liberal .ila mimi swali langu maraisi wote huwa wana appoint watu wakati congress wapo likizo .Mimi ni republican lakini naona hapa Obama ameonewa .Bush appointed 30 people
 
Wewe nao kila kitu Racism .Majudge walioamua hayo ni liberal .ila mimi swali langu maraisi wote huwa wana appoint watu wakati congress wapo likizo .Mimi ni republican lakini naona hapa Obama ameonewa .Bush appointed 30 people

Why now, if there is no racial prejudice? A small win for the Constitution. A great day for America! You should be happy.
 
Why now, if there is no racial prejudice? A small win for the Constitution. A great day for America! You should be happy.

Unajua Obama is too radical .speech yake ya inauguration iliwasikitisha sana watu especial blue democratic .USA is a capitalist country na Obama ana socialist commust ideas .Anaogopesha watu ,week hii Obama atafanya interview atakuwa na Bill Clinton ( centric ) .They have to stop him.obama anacampaigh chinichini awe raisi for third term na bill iko introduced to allow to run unavyotaka.Obama presidency is becoming a joke watch outb
 
Unajua Obama is too radical .speech yake ya inauguration iliwasikitisha sana watu especial blue democratic .USA is a capitalist country na Obama ana socialist commust ideas .Anaogopesha watu ,week hii Obama atafanya interview atakuwa na Bill Clinton ( centric ) .They have to stop him.obama anacampaigh chinichini awe raisi for third term na bill iko introduced to allow to run unavyotaka.Obama presidency is becoming a joke watch outb

Two things here:

Kwanza ulidai hakuna mtu alisikiliza Obama, leo umejuaje speech yake ilikuwa radical? Unaona jinsi unavyo zidi kusema ndio jinsi tunaona chuki ilijaa ndani ya kifua chako. Halafu unasema hii kitu hakuna racial prejudice wakati hata wewe unaonyesha katika kila posti zako.

Pili: Kwanini Rais Obama anawanyima usingizi? Maana sasa mnampa term ya tatu. Mashaalah, Mwenyezi Mungu atasikia maombi yenu.

Sasa nionyeshe huo uradical wa Rais Obama.
 
Two things here:

Kwanza ulidai hakuna mtu alisikiliza Obama, leo umejuaje speech yake ilikuwa radical? Unaona jinsi unavyo zidi kusema ndio jinsi tunaona chuki ilijaa ndani ya kifua chako. Halafu unasema hii kitu hakuna racial prejudice wakati hata wewe unaonyesha katika kila posti zako.

Pili: Kwanini Rais Obama anawanyima usingizi? Maana sasa mnampa term ya tatu. Mashaalah, Mwenyezi Mungu atasikia maombi yenu.

Sasa nionyeshe huo uradical wa Rais Obama.
No one Nina watoto nawafundisha history wanampenda Obama na malia na Sasha age Yao .na my political view ni zangu sio wanangu.It was history na emotional kuona raisi mweusi na inauguration speech yake ni kitu watu wote tulikuwa tunasubiri.Bill Clinton ( kichwa) alimove to the centre Kwenye second inagural yake .speech ya obama niliisikiliza na wanangu waliisikiliza .it was bad kwa kweli yaani hata Mugabe ana Nafikiri .nivizuri kusikiliza both side na kuweigh in .Angalia fox news sometimes na msikilize rush lumbaugh usiwe una base liberal only . Ila its very hard to listen to liberals.Again bill Clinton still the best Obama na bush they need to be friends
 
Halafu mbuzi mzee nakuomba msamaha wale judges walioamua Obama appointee kuwa unconstitutional ni conservative .I'm watching Bill oreilly
 
Two things here:

Kwanza ulidai hakuna mtu alisikiliza Obama, leo umejuaje speech yake ilikuwa radical? Unaona jinsi unavyo zidi kusema ndio jinsi tunaona chuki ilijaa ndani ya kifua chako. Halafu unasema hii kitu hakuna racial prejudice wakati hata wewe unaonyesha katika kila posti zako.

Pili: Kwanini Rais Obama anawanyima usingizi? Maana sasa mnampa term ya tatu. Mashaalah, Mwenyezi Mungu atasikia maombi yenu.

Sasa nionyeshe huo uradical wa Rais Obama.

Kuzozana na huyo Natalia ni sawa na kumpigia mbusi gitaa, msee.

Inawezekana mnaelewana labda sababu wote wawili ni mambusi tuu.

Kumambusi + Mbusi Msee = Mbusi Msuri tuu
 
Back
Top Bottom