Course hizi za mathematics huwezi kuzisahau

Course hizi za mathematics huwezi kuzisahau

Chuo sijasoma hesabu; ila kidato cha sita nakumbuka differentiate dy over dx when x approaching zero

hesabu kama huzijui basi ni mama mkwe!!
Utakuwa BAM kama mimi tu wewe
 
Hahahahaha lol! Hongera

Calculus and numerical method [emoji4][emoji4][emoji4]
.
Nasoma nifanye UE, nilikesha class mpaka saa ya mtihani na supp nikapata.
.
Majira ya saa 9 usiku Kuna mtu alikuja kusoma akanikuta. Akanambia "we dada wenzio wamelala, we unasoma Kama huji kuolewa"?

Nikacheka tuu nikaendelea na msuli wangu.
 
Mimi mwenyewe nimesoma engineering coet na one yangu ya nne lakini sijui hizo hesabu, hizi zitakuwa wanasoma walimu vilaza wanaoingia Chuo na div 2 au 3, Coet hakujawahi kuwa na huu uchafu
Ha ha ha, Div 2 kilaza mkuu, mbona hizo division ndo wanazoingilia Coet?
 
Mimi mwenyewe nimesoma engineering coet na one yangu ya nne lakini sijui hizo hesabu, hizi zitakuwa wanasoma walimu vilaza wanaoingia Chuo na div 2 au 3, Coet hakujawahi kuwa na huu uchafu
🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️
 
Foundation of analysis-Mt 100, ilikuwa ni habari nyingine kabisa
Rahisi mno izo MT 100, 127, 120, 234 hakuna MT nisiopata A, changamoto kidogo ilikua MT 233 ya Omary Ila zote ziliishia A
 
Kakiko mnoko sana na Homomorphism zake bila kusahau Schwartz lemma.

😀😀😀😀😀
Alikuwa balaa sana na vi series vyake

Nimiaka mingi imepita sijuwi Kama bado yupo
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Alikuwa balaa sana na vi series vyake

Nimiaka mingi imepita sijuwi Kama bado yupo
Atakuwepo tu aende wapi sasa wakati hayo makozi ya sifa yeye ndo senior ukimwondoa prof Mshimba na kale kakijana kanaitwa Mwanzalima sijui kashapata phd ama vipi maana kitambo sana sijatembelea majengo yao.
 
Atakuwepo tu aende wapi sasa wakati hayo makozi ya sifa yeye ndo senior ukimwondoa prof Mshimba na kale kakijana kanaitwa Mwanzalima sijui kashapata phd ama vipi maana kitambo sana sijatembelea majengo yao.

Umenikumbusha huyu mzee Prof Mshimba

Mzee wa random variable (probability)
 
Umenikumbusha huyu mzee Prof Mshimba

Mzee wa random variable (probability)
Sijui huyu prof Mshimba alipotelea wapi simwoni kabisa wala kusikia habari zake siku hizi ktk anga za wasomi.
 
Rahisi mno izo MT 100, 127, 120, 234 hakuna MT nisiopata A, changamoto kidogo ilikua MT 233 ya Omary Ila zote ziliishia A
Hahaaa aya mkuu ila kuna mrasia mmoja anaitwa dk oliga duh nishida
 
Back
Top Bottom