Course hizi za mathematics huwezi kuzisahau

Course hizi za mathematics huwezi kuzisahau

Newera

Senior Member
Joined
Mar 8, 2017
Posts
132
Reaction score
202
Kwa mliosoma mathematics chuo kikuu marufu kama MT huwezi zisahau course hizi mm naanza
NUMBER THEORY
ABSTRACT ALGEBRA
TOPOLOGY
FUNCTIONAL ANALYSIS
REAL ANALYSIS
taja zako zilizokutesa
 
Mimi mwenyewe nimesoma engineering coet na one yangu ya nne lakini sijui hizo hesabu, hizi zitakuwa wanasoma walimu vilaza wanaoingia Chuo na div 2 au 3, Coet hakujawahi kuwa na huu uchafu
 
Calculus and numerical method
.
Nasoma nifanye UE, nilikesha class mpaka saa ya mtihani na supp nikapata.
.
Majira ya saa 9 usiku Kuna mtu alikuja kusoma akanikuta. Akanambia "we dada wenzio wamelala, we unasoma Kama huji kuolewa"?

Nikacheka tuu nikaendelea na msuli wangu.
 
Mimi mwenyewe nimesoma engineering coet na one yangu ya nne lakini sijui hizo hesabu, hizi zitakuwa wanasoma walimu vilaza wanaoingia Chuo na div 2 au 3, Coet hakujawahi kuwa na huu uchafu
Duh braza sio uchafu hata usome kozi gani utaniambia hata algebra and its application hujasoma pia kuna wana walikuwa na one na wamesoma mt chuo
 
Atari algebra and its application ilikaribisha chuo ila ABSTRACT algebra siwezi msahau huyu mdudud
Calculus and numerical method
.
Nasoma nifanye UE, nilikesha class mpaka saa ya mtihani na supp nikapata.
.
Majira ya saa 9 usiku Kuna mtu alikuja kusoma akanikuta. Akanambia "we dada wenzio wamelala, we unasoma Kama huji kuolewa"?

Nikacheka tuu nikaendelea na msuli wangu.
 
Calculus and numerical method
.
Nasoma nifanye UE, nilikesha class mpaka saa ya mtihani na supp nikapata.
.
Majira ya saa 9 usiku Kuna mtu alikuja kusoma akanikuta. Akanambia "we dada wenzio wamelala, we unasoma Kama huji kuolewa"?

Nikacheka tuu nikaendelea na msuli wangu.
Ni mwendo wa kukesha
 
Back
Top Bottom