Couples za JF ni hizi...!

hivi couples za JF ni fixed au tunaruhusiwa kubadili??na akina cameroon wanaruhusiwa au hapana?:bump2:
hahhaha
Watu akianza taja ID za cameroon hapa hapata tosha:washing:
 

Mzee wa Hungumalwa mbona hv?
 
Wapi aise naona urafiki wa mashaka hapa
Sehemu ukishaingiza kinanihiii chako bana mimi naona soo kuingia tena hapo

Mimi bado..... Labda tukifika Lindi..... Lkn Urafiki uko palepale.... Kama ni hivyo ngoja nikuachie nirudi kwa zamani...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…