Bado hujitambuijua wewe kila kitu 😂😂😂.
you are very petty. badala ya kujadili hoja, unajadili vitu visivyokua na msingi.
Bado hujitambuijua wewe kila kitu 😂😂😂.
you are very petty. badala ya kujadili hoja, unajadili vitu visivyokua na msingi.
wacha mipasho dogo...Bado hujitambui
pipe dreams 😁😁Mpuuzi huyu mama! $2B tungeenda wenyewe tu. Construction period of 6yrs!!??
Tusijifiche ama kuficha incompetence kwenye kichaka cha feasibility. Mama uwezo mdogo!kwahiyo wewe unajua zaidi ya waliofanya feasibility study?
Nauliza tena wewe unajua tunnels ngapi na kadaraja mangapi yanahitajika mpaka huko Burundi?Tusijifiche ama kuficha incompetence kwenye kichaka cha feasibility. Mama uwezo mdogo!
Keep on justifying incompetence and mediocrity!Nauliza tena wewe unajua tunnels ngapi na kadaraja mangapi yanahitajika mpaka huko Burundi?
mara ngapi zinakwama na hakuna tamko lolote kutoka kwa Trc tena baada ya masaa mengi kupita?Unaokoteza tu posts online kwa kujifurahisha. Ikikwama utaona tamko kwenye ukurasa wa TRC: FB, Twitter, IG.
Hakuna day kumetokea tatizo kukakosa tamko.mara ngapi zinakwama na hakuna tamko lolote kutoka kwa Trc tena baada ya masaa mengi kupita?
mara nyingi sana,,, huwa wanajitahidi sana kuficha hadi kuleta wanajeshi kutishia watu. atakayeoneka ameshika simu tu, yupo hatarini kuliwa shaba.Hakuna day kumetokea tatizo kukakosa tamko.
Aliyeko site anakuambia axle load ni 35 ila mkunya kutoka kibera hataki
MY TAKE
The only bridge in East and ecentral Africa of over 400 m that can withstand a train of axle load of 35t!