DR HAYA LAND JF-Expert Member Dec 26, 2017 18,001 45,511 Apr 4, 2021 #1 Je huu msemo wangu au ushairi pale cosota wanaweza nipatia haki miliki "kufuga ndevu nikupenda wembe sh .100"
Je huu msemo wangu au ushairi pale cosota wanaweza nipatia haki miliki "kufuga ndevu nikupenda wembe sh .100"
MoneyHeist4 JF-Expert Member Jul 10, 2017 2,105 3,068 Apr 4, 2021 #2 Wembe kuwa shilingi 100 sio shida, shida ni kuushika huo wembe na kuuweka kwenye kidevu. Unashangaa unatoka na damu.
Wembe kuwa shilingi 100 sio shida, shida ni kuushika huo wembe na kuuweka kwenye kidevu. Unashangaa unatoka na damu.
DR HAYA LAND JF-Expert Member Dec 26, 2017 18,001 45,511 Apr 4, 2021 Thread starter #3 MoneyHeist4 said: Wembe kuwa shilingi 100 sio shida, shida ni kuushika huo wembe na kuuweka kwenye kidevu. Unashangaa unatoka na damu. Click to expand... πππ
MoneyHeist4 said: Wembe kuwa shilingi 100 sio shida, shida ni kuushika huo wembe na kuuweka kwenye kidevu. Unashangaa unatoka na damu. Click to expand... πππ
edwayne JF-Expert Member Apr 5, 2013 8,879 9,678 Apr 4, 2021 #5 Mpaka hapa umeshakosa hizo Haki Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
Majan JF-Expert Member Jul 2, 2015 1,165 1,515 Apr 4, 2021 #6 Ivi namimi wanaweza kunipa hatimiliki yahuu msemo wangu.."ukiona mwanaume anatoka chumbani kwa Mamayako amejifunga kitenge cha Mamayako basi huyo ndiye Babaako hata kama sio Babaako mzazi"
Ivi namimi wanaweza kunipa hatimiliki yahuu msemo wangu.."ukiona mwanaume anatoka chumbani kwa Mamayako amejifunga kitenge cha Mamayako basi huyo ndiye Babaako hata kama sio Babaako mzazi"