T Tunapita1 JF-Expert Member Aug 16, 2020 561 1,006 Aug 21, 2020 #1 Huu msemo wangu nataka utumike kama Fasihi mashuleni ila kwanza nataka ili wazo niende cosota kupata usajili. "Kufuga ndevu nikupenda wembe sh. Mia" Ushauri je naweza kwenda Cosota kuusajili msemo wangu?
Huu msemo wangu nataka utumike kama Fasihi mashuleni ila kwanza nataka ili wazo niende cosota kupata usajili. "Kufuga ndevu nikupenda wembe sh. Mia" Ushauri je naweza kwenda Cosota kuusajili msemo wangu?
Fall Army Worm JF-Expert Member Jan 8, 2015 19,331 14,257 Aug 21, 2020 #3 Hivi wanaosajili misemo ni Cosota au Bakita??.
Majan JF-Expert Member Jul 2, 2015 1,165 1,515 Aug 21, 2020 #4 Hivi ktk kusajili kuna tozo yoyote? Na baada yakusajili kuna ada yoyote yakulipia kila mwaka au ukifanikiwa kusajili ndo ushamaliza kila kitu
Hivi ktk kusajili kuna tozo yoyote? Na baada yakusajili kuna ada yoyote yakulipia kila mwaka au ukifanikiwa kusajili ndo ushamaliza kila kitu
Kamukhm JF-Expert Member Aug 30, 2015 2,799 4,195 Aug 22, 2020 #5 Kubali kiaina said: Sasa wembe ukipanda bei ikawa sio mia tena, vipi hapo mkuu? Click to expand... "Daladala" nauili sio Tsh. Tano (dala) tena, ni 400 sasa na bado tunatiririka na Daladala tu.
Kubali kiaina said: Sasa wembe ukipanda bei ikawa sio mia tena, vipi hapo mkuu? Click to expand... "Daladala" nauili sio Tsh. Tano (dala) tena, ni 400 sasa na bado tunatiririka na Daladala tu.
Castr JF-Expert Member Apr 5, 2014 31,946 63,944 Aug 22, 2020 #6 Njoo gheto uje kuusajili kwa vitendo
Kiboko ya Jiwe JF-Expert Member Apr 7, 2020 12,693 36,080 Aug 22, 2020 #7 Kuna mahali ungeweka semi colon ili msomaji asihangaike. Nimesoma mara mbili sijaelewa, mara ya tatu nimeelewa.
Kuna mahali ungeweka semi colon ili msomaji asihangaike. Nimesoma mara mbili sijaelewa, mara ya tatu nimeelewa.