Kama umesoma makala toka mwanzo na kuelewa, nilokuwa naongelea kuhusu chimbuko la mafia.. Ilivyoanzishwa, kuenea na kushamiri kwake..
Sijaongelea mafia nchini marekani kwa kuwa hilo halikuwa lengo la makala hii (mafia haikuanzia Marekani)
Mafia ilianza kuingia Marekani sababu kuu ni baada ya kuandamwa na Benito Mussolin nchini Italia ndipo mabosi wengi wakatawanyika kukimbilia nchi mbali mbali ikiwemo marekani (nimeeleza kidogo kwenye makal).
Kwahiyo, halikuwa lengo la makala hii kuongelea Mafia waliotawanyika katika nchi mbali mbali.. Nimelenga kuonyesha chimbuko lao na jinsi ilivyoshamiri..