Kupuuzwa na mjinga ni faraja.Nakupuuza.
Kupuuzwa na mjinga ni faraja.Nakupuuza.
Kama imekupa furaha kunitukania marehemu Mama yangu, Mungu akubariki.Mjinga mamakoooooo.
Hii inaweza kuwa imekupa " ban"Utalii uko hatarini kuanguka kabisa nchi hii.
Hii inaweza kuwa imekupa " ban"
Wanyakusa banaMungu wabariki Wazungu
Wakusaidieje ?Wanyakusa bana
Tz ndo mpya.Wewe mleta mada ndio unaona leo? Hata Rwanda imo siku nyingi mbona.
Wajinga kweli Hawa, kwani lazima kwenda kwao!!!???, Kila mtu apambane na Hali yake.
Wao wanataja 'vaccine', bali sisi tunalitaja jina la Mungu aliye hai! Wao wanaanguka na kuinama, sisi tunainuka na kusimama! Mungu Muumbaji, teta nao wanaoteta nasi, pigana nao wanaopigana nasi! Wefedheheshwe, warudishwe nyuma, kwa maana wanaizongazonga Tanzania iliyoamua kukukimbilia Wewe, amina!Hii ndio Tweet yao:
"This is important information for British Nationals travelling from Tanzania to the UK. As Tanzania is a red list country, you must book hotel quarantine before you travel."
=====
View attachment 1703060
"
mwaka Jana nimetoka huko kwao uk niya kawaida tu,yaliyoko kule hata china, yapoSio lazima kwa mtu kama wewe ambaye maisha yako yote yanaweza kuanzia na kuishia huko gamboshi
Yote haya sawa lakini utasikia "UK iko bega kwa bega na serekali ya Tanzania na itaendelea ku-support bajeti ya nchi maradufu".Hii ndio Tweet yao:
"This is important information for British Nationals travelling from Tanzania to the UK. As Tanzania is a red list country, you must book hotel quarantine before you travel."
=====
View attachment 1703060
"
Kufurahia au kumtakia majanga mwanadamu mwenzako ni ushetani kama ushetani mwingine.......haijalishi umefanywa na nani......
Ubaya ni ubaya haijalishwi umefanywa na nani.....na wema ni wema haujalishi umefanywa na nani........je, wanachofanya ccm wakitumia vyombo vya dola, tume ya uchaguzi, na msajili wa vyama vya siasa, dhidi ya wapinzani, ni ushetani?
Jitihada au wendawazimu! Jitihada kusambaza chanjo ambayo haikingi na virusi vipya vinavyoibuka. Tz haiwezi kujihusisha na huo wendawazimu. Unaagiza chanjo leo kesho kuna kirusi kingine kinachohitaji chanjo nyingine!Tanzania ni nchi inayohujumu jitihada za dunia kwenye mapambano dhidi ya Corona.
Haya mna mikakati gani mpaka sasa?Jitihada au wendawazimu! Jitihada kusambaza chanjo ambayo haikingi na virusi vipya vinavyoibuka. Tz haiwezi kujihusisha na huo wendawazimu. Unaagiza chanjo leo kesho kuna kirusi kingine kinachohitaji chanjo nyingine!
Au unazungumzia huo wendawazimu wa vyeti vya corona! Unapima leo majibu kesho. Unaenda airport au kwenye ndege unapata corona ila ukifika kwenye destination yako unaonesha cheti kinachoonesha huna corona.
Bob Marley alishasema "You can fool some people for some time or all people for some time, but you can't fool all the people all the time".
Nyie nyumbu na nyumbu wenzenu wa Ulaya mmekubali kuicheza ngoma ya hao mashetani wanaotengeneza hivyo virusi. Ila kuna siye tunaoona huo ni wendawazimu tumekataa kuwa fooled.
Chanjo haijatazamiwa kwa miezi 18 kama taratibu zao wenyewe zinavyosema lakina unaambiwa ina ufanisi wa 90%. Ukiwa nyumbu kama Kenya unakubali. Wanakukopesha unaagiza chanjo. Kesho kuna kirusi kipya hakina chanjo. Watakukopesha utaagiza chanjo zingine! Wendawazimu.
Usiropoke usichokijua.Jitihada au wendawazimu! Jitihada kusambaza chanjo ambayo haikingi na virusi vipya vinavyoibuka. Tz haiwezi kujihusisha na huo wendawazimu. Unaagiza chanjo leo kesho kuna kirusi kingine kinachohitaji chanjo nyingine!
Au unazungumzia huo wendawazimu wa vyeti vya corona! Unapima leo majibu kesho. Unaenda airport au kwenye ndege unapata corona ila ukifika kwenye destination yako unaonesha cheti kinachoonesha huna corona.
Bob Marley alishasema "You can fool some people for some time or all people for some time, but you can't fool all the people all the time".
Nyie nyumbu na nyumbu wenzenu wa Ulaya mmekubali kuicheza ngoma ya hao mashetani wanaotengeneza hivyo virusi. Ila kuna siye tunaoona huo ni wendawazimu tumekataa kuwa fooled.
Chanjo haijatazamiwa kwa miezi 18 kama taratibu zao wenyewe zinavyosema lakina unaambiwa ina ufanisi wa 90%. Ukiwa nyumbu kama Kenya unakubali. Wanakukopesha unaagiza chanjo. Kesho kuna kirusi kipya hakina chanjo. Watakukopesha utaagiza chanjo zingine! Wendawazimu.
Mmekomaa mnashika bango bila kutumia akili. Uk chanjo imepunguza vifo kwa 60% lini!???... Kutoka watu wangapi kwa siku mpaka wangapi?.. kwa takwimu za Jana wamekufa watu 799 ndo wamepungua?, Angalia trend yao ya tangu mwaka jana halafu uone na ulichoandika hapa. Halafu chanjo yao ya AstraZeneca ilinunuliwa last week na South Africa chanjo mil.1 ndani ya siku chache ikaonekana haifai kupambana na kirusi kipya cha COVID ambacho kimeshasambaa duniani kote Sasa hivi. Kuna chuo Australia kilitoa chanjo December ndani ya wiki ikaonekana wanaochanjwa wakipima HIV wanakutwa +ve Ila msivyo na akili mmekomalia chanjo. Muda uliowekwa WHO wa research ya chanjo yoyote ni miezi 18, Ila last year march wameanza research November tayari Wana chanjo na mafala mnashangilia tu.Usiropoke usichokijua.
Taarifa rasmi za utafiti:
1) Matumizi ya chanjo UK, yamepunguza vifo kwa 60%
2) Matumizi ya chanjo Israel yameounguza vifo kwa 94%
Wenzetu wanaenda kwa tafiti na takwimu, sisi maabara yetu ipo kichwani mwa Magufuli. Yeye ndiyo maabara, yeye ndiye research centre, yeye ndiye database - upumbavu mkubwa!
Dunia ya wenye akili, siku zote ni utafiti na takwimu, siyo huu uwendawazimu wa matamko.
Sina uhakika kama una uelewa wa kutosha katika masuala ya tiba. WHO haijaweka muda wa chanjo kupatikana na haijawahi kuweka muda kwa chanjo yoyote.Mmekomaa mnashika bango bila kutumia akili. Uk chanjo imepunguza vifo kwa 60% lini!???... Kutoka watu wangapi kwa siku mpaka wangapi?.. kwa takwimu za Jana wamekufa watu 799 ndo wamepungua?, Angalia trend yao ya tangu mwaka jana halafu uone na ulichoandika hapa. Halafu chanjo yao ya AstraZeneca ilinunuliwa last week na South Africa chanjo mil.1 ndani ya siku chache ikaonekana haifai kupambana na kirusi kipya cha COVID ambacho kimeshasambaa duniani kote Sasa hivi. Kuna chuo Australia kilitoa chanjo December ndani ya wiki ikaonekana wanaochanjwa wakipima HIV wanakutwa +ve Ila msivyo na akili mmekomalia chanjo. Muda uliowekwa WHO wa research ya chanjo yoyote ni miezi 18, Ila last year march wameanza research November tayari Wana chanjo na mafala mnashangilia tu.