mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,650
- 37,194
wenye nguvu gani sasa, kama corona imewabaka kuliko sisi, hiyo jeuri wanaitoa wapi!!!!Hapana ila kwa sababu ya ubishi na kejeli zenu hatuna budi kushangilia. Ninyi mna bunduki na rIsasi sisi mikono mitupu. Kwanini tusishangilie mnapokutana na wenye nguvu kuliko ninyi??