Coronavirus - Bado Mengi Hayajulikani

Coronavirus - Bado Mengi Hayajulikani

Wengi tumeambiwa kuhusiana na ugonjwa wa Corona. Na wengi tunaamini kuwa sasa tunauelewa.

Tunapojihadhari na ugonjwa huu, mategemeo yetu makubwa ni serikali na wataalam wa afya, ambao tunadhani kuwa wana ufahamu zaidi kuliko sisi tusio watu wa fani ya tiba.

Jambo moja tunalotakiwa kujua ni kuwa mpaka sasa, kwenye ugonjwa huu, wote ni layman. Na inawezekana, mtu asiye mtaalam wa tiba, kama anajishughulisha kuufahamu ugonjwa huu kwa kupitoa maandiko mbalimbali ya wataalam wa huko ambako upo, akawa na uelewa mkubwa zaidi kuwazidi wasemaji wa serikali au madaktari wetu.

Watu wasiitegemee sana serikali wala madaktari bali wajitahidi kuujua ukweli kuhusiana na ugonjwa huu. Mpaka sasa kuna madudu mengi tayari yamefanywa na serikali, ambayo kwa watu wanaouelewa ugonjwa huu, wasingefanya. Labda tu tumekingwa kwa neema ya Mungu tu lakini siyo kutokana na umakini wa Serikali.

1) Siku za karibuni serikali iliruhusu watalii toka China wakati nchi nyingine zimepiga marufuku ndege kutua nchini mwao kutokea China, achilia mbali kupokea watalii wa Kichina

2) Karibuni tena, pale JKN airport kuna watu wagonjwa ambao dalili zilionekana kushabihiana na zile za Corona, walipimwa na kuonekana negative, wakaruhusiwa kuingia mitaani. Ukweli ni kwamba siyo wagonjwa wote au watu wenye coronavirus, virusi hivyo huonekana kwenye vipimo. Inaonekana watu hawa wa serikali bado hawajaujua huu ugonjwa.

Tafiti za karibuni kabisa zinaonesha mambo yafuatayo:

1) Kirusi cha Corona kinaambukizwa zaidi kwa kushika sehemu aliyoishika mwathirika kuliko kwa njia ya kukohoa.

2) Kirusi cha Corona siyo airborn bali ni huenea kwa droplets za mate. Wale wanaoongea mpaka wanatema mate, kama ameathirika, ni wasambazaji wazuri

3) Kirusi cha Corona, kwa mfano muathirika akishika kwenye meza au akakoholea kwenye meza kinaweza kuishi hapo kwa siku kadhaa, hakuna anayejua kina uwezo wa kukaa siku ngapi. Kwa hiyo kwenye milango, ngazi, viti, meza, hata simu zetu - vyote vinaweza kueneza kwa kasi zaidi kuliko kushikana na kukohoa

4) Kirusi cha corona, kimeonekana kina uwezo wa kujificha na kisionekane kwenye vipimo. Inaaminika ni katika hatua zake fulani tu, ndiyo huonekana kiurahisi. Baadhi ya wagonjwa waliotibiwa, na kupimwa na kuonekana negative, baadaye walionekana wana uwezo wa kuendelea kuambukiza, wengine baadaye walionekana tena positive, na wengine walikufa baada ya kuruhusiwa na kutajwa kuwa wamepona.

Hiki kirusi siyo cha mzaha, kama ambavyo serikali yetu imekuwa ikichukulia.

Kenya tayari, DRC tayari, Rwanda tayari, Botswana tayari - Hatupo salama kama tunavyofikiria. Chukua tahadhari binafsi kuliko kuitegemea sana Serikali.

Serikali yetu inafahamika. Ni nyepesi sana kushugulikia mambo yanayotishia kupokonywa utawala na madaraka lakini siyo kwenye mambo ya msingi yanayohusu uhai, usalama na maisha ya wananchi wote.

Ikitokea ugonjwa huu ukaingia nchini mwetu, mzazi chukua hatua zako binafsi kama vile kumzuia mwanao kwenda shule kuliko kusubiri mpaka Serikali itangaze.

Kama una uwezo wa kuepuka usafiri wa umma, epuka kuanzia sasa kuliko kusubiri siku Serikali itakapotangaza. Watatangaza pale ambao tayari hali imekwishakuwa mbaya. Kama siyo lazima sana kusafiri, acha kusafiri kuanzia sasa, hii ni pamoja na safari za ndani.

Can you get coronavirus twice?
Unaweza kutoa mfano wa jambo gani Serikali ya Tanzania iliishawahi kulipuuzia na likaleta madhara nchini?
 
Wengi tumeambiwa kuhusiana na ugonjwa wa Corona. Na wengi tunaamini kuwa sasa tunauelewa.

Tunapojihadhari na ugonjwa huu, mategemeo yetu makubwa ni serikali na wataalam wa afya, ambao tunadhani kuwa wana ufahamu zaidi kuliko sisi tusio watu wa fani ya tiba.

Jambo moja tunalotakiwa kujua ni kuwa mpaka sasa, kwenye ugonjwa huu, wote ni layman. Na inawezekana, mtu asiye mtaalam wa tiba, kama anajishughulisha kuufahamu ugonjwa huu kwa kupitoa maandiko mbalimbali ya wataalam wa huko ambako upo, akawa na uelewa mkubwa zaidi kuwazidi wasemaji wa serikali au madaktari wetu.

Watu wasiitegemee sana serikali wala madaktari bali wajitahidi kuujua ukweli kuhusiana na ugonjwa huu. Mpaka sasa kuna madudu mengi tayari yamefanywa na serikali, ambayo kwa watu wanaouelewa ugonjwa huu, wasingefanya. Labda tu tumekingwa kwa neema ya Mungu tu lakini siyo kutokana na umakini wa Serikali.

1) Siku za karibuni serikali iliruhusu watalii toka China wakati nchi nyingine zimepiga marufuku ndege kutua nchini mwao kutokea China, achilia mbali kupokea watalii wa Kichina

2) Karibuni tena, pale JKN airport kuna watu wagonjwa ambao dalili zilionekana kushabihiana na zile za Corona, walipimwa na kuonekana negative, wakaruhusiwa kuingia mitaani. Ukweli ni kwamba siyo wagonjwa wote au watu wenye coronavirus, virusi hivyo huonekana kwenye vipimo. Inaonekana watu hawa wa serikali bado hawajaujua huu ugonjwa.

Tafiti za karibuni kabisa zinaonesha mambo yafuatayo:

1) Kirusi cha Corona kinaambukizwa zaidi kwa kushika sehemu aliyoishika mwathirika kuliko kwa njia ya kukohoa.

2) Kirusi cha Corona siyo airborn bali ni huenea kwa droplets za mate. Wale wanaoongea mpaka wanatema mate, kama ameathirika, ni wasambazaji wazuri

3) Kirusi cha Corona, kwa mfano muathirika akishika kwenye meza au akakoholea kwenye meza kinaweza kuishi hapo kwa siku kadhaa, hakuna anayejua kina uwezo wa kukaa siku ngapi. Kwa hiyo kwenye milango, ngazi, viti, meza, hata simu zetu - vyote vinaweza kueneza kwa kasi zaidi kuliko kushikana na kukohoa

4) Kirusi cha corona, kimeonekana kina uwezo wa kujificha na kisionekane kwenye vipimo. Inaaminika ni katika hatua zake fulani tu, ndiyo huonekana kiurahisi. Baadhi ya wagonjwa waliotibiwa, na kupimwa na kuonekana negative, baadaye walionekana wana uwezo wa kuendelea kuambukiza, wengine baadaye walionekana tena positive, na wengine walikufa baada ya kuruhusiwa na kutajwa kuwa wamepona.

Hiki kirusi siyo cha mzaha, kama ambavyo serikali yetu imekuwa ikichukulia.

Kenya tayari, DRC tayari, Rwanda tayari, Botswana tayari - Hatupo salama kama tunavyofikiria. Chukua tahadhari binafsi kuliko kuitegemea sana Serikali.

Serikali yetu inafahamika. Ni nyepesi sana kushugulikia mambo yanayotishia kupokonywa utawala na madaraka lakini siyo kwenye mambo ya msingi yanayohusu uhai, usalama na maisha ya wananchi wote.

Ikitokea ugonjwa huu ukaingia nchini mwetu, mzazi chukua hatua zako binafsi kama vile kumzuia mwanao kwenda shule kuliko kusubiri mpaka Serikali itangaze.

Kama una uwezo wa kuepuka usafiri wa umma, epuka kuanzia sasa kuliko kusubiri siku Serikali itakapotangaza. Watatangaza pale ambao tayari hali imekwishakuwa mbaya. Kama siyo lazima sana kusafiri, acha kusafiri kuanzia sasa, hii ni pamoja na safari za ndani.

Can you get coronavirus twice?
Ww ni mchochezi!!!
Haiwezekani utoe taarifa zinazokinzana na zile zilizotolewa na sirikali yetu tukufu ya awamu ya5!
Nia yako ni nn? Unataka kuleta taharuki kwa wananchi?
Sirikali ilishasema imejipanga vyema kupambana na covid 19 isiingie nchini, halafu ww unataka kutuambia nn? Tukuamini ww au sirikali yetu?
Hujaona hatua zilizochukuliwa na sirikali yetu kuhakikisha tunapambana na corona? Labda kama hujafahamu mpaka sasa nikufahamishe tu ni kama ifuatavyo:
1. Tumeruhusu ndege zilizobeba watalii kutoka China kutua hapa kwetu, hii ni kutokana na uhusiano mzuri tulionao na wachina. Hii itasaidia pato la taifa kukua, hivyo tutapata pesa nyingi zitakazotusaidia kupambana na corona.
2.Wale wazungu 6 waliotua KIA jana 13/03/2020 baadhi wakiwa na dalili za maambukizi tumegundua kuwa ni negative baada ya kuwafanyia vipimo na hvyo tumewaruhusu waendelee na mishe zao,tumeona siyo vyema kuwa karantini siku 14 maana tunaamini vipimo vyetu.

Hivyo ww mtoa post acha UCHOCHEZI!
 
Wengi walifikiria kama unavyofikiria. Ndiyo maana China iliamua kuiweka kama siri, wakidhania wangedhibiti bila Dunia kujua, lakini mpaka sasa imeshindikana.

Fikiria kuwa ugonjwa huu umeshuhudiwa huko China tangu November mwakajana. Mpaka sasa ni karibia miezi 5, bado hakuna dalili ya kuudhibiti.

Sasa hata waliotajwa kuwa wanepona, baadhi siku 37 baadaye wamekuja kuonekana positive.

Wiki 3 zilizopita vifo vilikuwa 2,000. Sahizi vifo ni zaidi ya 5,000. Maombukizi yamekwishavuka 350,000. Wakati wiki hizo 3 maambukizi yalikuwa chini ya 50,000. Sasa, hapa tunaweza kusema ugonjwa unadhibitiwa?

Ni aheri kuchukua tahadhari zaidi ya inavyotakiwa kuliko kuchukua tahadhari hafifu.

Mkuu huu ugonjwa ni flue tu kumbuka flue ni moja kati ya magonjwa yanayowatesa sawa wazungu tofauti na sisi na wanakufa sana.....kwao ni habari kubwa kwa kuwa inawauwa

Lakini sisi waafrica tunakufa na malaria na njaa ila kwao si habari kubwa angalia statistic je corona inauwa watu wengi kuliko njaa na malaria jibu ni NO

Kumbuka corona ni “viral disease” every disease transimited by virus does not cured.....na hii ndio huwatesa wazungu

By the way ni ugonjwa hatari ila unakuwa ovarreted sana na media


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu 'Bams',
Unanikumbusha ile habari ya yule binti wa Mzee Malicela na 'Zika'.

Haya magonjwa yanayosababishwa na 'virus' yamekuwepo siku nyingi na husababisha milipo nyakati kadhaa, na kuwa kimya pia kwa nyakati mbalimbali.
Kirusi cha aina moja kinaweza kuwa na 'versions' tofauti tofauti zenye nguvu tofauti za maambukizi.

Chukulia tu kwa mfano, vile vya 'flu' ya kawaida ambavyo ni kama vina msimu wake, kila msimu unaowasili unaweza kukuta ni 'version' tofauti inayohitaji 'vaccine' ya aina yake, tofauti na ile iliyotumika msimu uliopita.

Kwa hiyo, haya magonjwa ya 'virus' ni 'complex' kwa sababu ya hizo 'varieties' zinazolipuka katika misimu mbalimbali.

Hii ya COVID-19 wanasema ni 'novel', yaani ni kama mpya. Haijawahi kuonekana ikisababisha ugonjwa kwa binaadam. Hii ni mara yake ya kwanza. Kwa hiyo, hata wataalam wa mgonjwa haya ya 'virusi' hawakuwa tayari kuukabili kwa chanjo na hata njia za utambuzi (vipimo) kubaini watu walio na ugonjwa.
Na hapo hapo, kama ulivyosema, watu amabao wameshambuliwa na huu ugonjwa, kwa sababu mbalimbali za kimaumbile ya miili, huonyesha matokeo tofautitofauti.

Kiufupi ni kwamba ugonjwa umeleta hofu kubw ambazo pengine haikustahilia kuwa hivyo kwa sababu kadhaa:

- njia za mawasiliano ya haraka zimeenea sana duniani kiasi kwamba wakati mwingine inatia hofu kuzisikia, hasa kama ni taarifa ambazo zinatolewa tu bila ya utaalam nyuma yake.

- Corona ni mpya kuonekana kwa binaadam, haikujulikana jinsi ya kuikabiri haraka

- Mkuu Bams, hebu angalia ugonjwa wa 'mafua' yetu tu ya kawaida hapa hapa Tanzania wakati huu. Hivi kweli unaweza kuniambia kwamba watu wamekuwa wakiugua mafua ya aina hii miaka michache tu iliyopita. Mafua yanayotishia kuua watu, na wengi hata hospitali hawaendi. Hawa watu tunaweza kusema wangejitokeza kwenda kupimwa isingeonekana kuwa ndio Corona? Hili ni swali tu, kwani jibu sina.

Hebu tazama watu waliojitokeza na kusema Corona imewashambulia, Waziri Mkuu Canada, Tom Hanks mcheza movie na mkewe, akina Barkley, yule aliyekuwa mcheza basketball kule Marekani, na wengi wengi tu na hata huenda wapo ambao wamejikalia kimya tu majumbani mwao

Papa hivi karibuni, wiki iliyopita alikuwa hajisikii vizuri, alipima Corona, kumbuka Italy imo kwenye heka heka hadi sasa!

Nimalizie tu kwa kusema: Hata 'Flue" ya kawaida huua watu, hasa wazee na watu ambao kinga za miili yao ni dhaifu kwa sababu mbalimbali. Na milipuko ya flue hutokea mara nyingi tu na watu kupoteza maisha.

Corona mimi siioni kuwa ya ajabu sana kama ilivyotangazwa, ukiondoa tu hiyo sifa yake ya huko kuwa 'novel'.
Hadi sasa ni kiasi gani cha watu waliofariki, 5,000? toka wangapi ambao wamepimwa na kuonekana wanao ugonjwa, laki tatu na ushee?
Huu sio ugonjwa wa hatari sana kama tunavyoaminishwa. Dunia ime'overeact', kwa sababu haiujui ugonjwa wenyewe.

Tanzania tunayo tabia mbaya ya kufichaficha taarifa. Hili sio jambo jema.
Naamini huo ugonjwa tayari upo hapa nchini, hata kama tunagoma kutangaza au vipimo vyetu havijaugundua.
Ufafanuzi mzuri.
 
Mkuu 'Bams',
Unanikumbusha ile habari ya yule binti wa Mzee Malicela na 'Zika'.

Haya magonjwa yanayosababishwa na 'virus' yamekuwepo siku nyingi na husababisha milipo nyakati kadhaa, na kuwa kimya pia kwa nyakati mbalimbali.
Kirusi cha aina moja kinaweza kuwa na 'versions' tofauti tofauti zenye nguvu tofauti za maambukizi.

Chukulia tu kwa mfano, vile vya 'flu' ya kawaida ambavyo ni kama vina msimu wake, kila msimu unaowasili unaweza kukuta ni 'version' tofauti inayohitaji 'vaccine' ya aina yake, tofauti na ile iliyotumika msimu uliopita.

Kwa hiyo, haya magonjwa ya 'virus' ni 'complex' kwa sababu ya hizo 'varieties' zinazolipuka katika misimu mbalimbali.

Hii ya COVID-19 wanasema ni 'novel', yaani ni kama mpya. Haijawahi kuonekana ikisababisha ugonjwa kwa binaadam. Hii ni mara yake ya kwanza. Kwa hiyo, hata wataalam wa mgonjwa haya ya 'virusi' hawakuwa tayari kuukabili kwa chanjo na hata njia za utambuzi (vipimo) kubaini watu walio na ugonjwa.
Na hapo hapo, kama ulivyosema, watu amabao wameshambuliwa na huu ugonjwa, kwa sababu mbalimbali za kimaumbile ya miili, huonyesha matokeo tofautitofauti.

Kiufupi ni kwamba ugonjwa umeleta hofu kubw ambazo pengine haikustahilia kuwa hivyo kwa sababu kadhaa:

- njia za mawasiliano ya haraka zimeenea sana duniani kiasi kwamba wakati mwingine inatia hofu kuzisikia, hasa kama ni taarifa ambazo zinatolewa tu bila ya utaalam nyuma yake.

- Corona ni mpya kuonekana kwa binaadam, haikujulikana jinsi ya kuikabiri haraka

- Mkuu Bams, hebu angalia ugonjwa wa 'mafua' yetu tu ya kawaida hapa hapa Tanzania wakati huu. Hivi kweli unaweza kuniambia kwamba watu wamekuwa wakiugua mafua ya aina hii miaka michache tu iliyopita. Mafua yanayotishia kuua watu, na wengi hata hospitali hawaendi. Hawa watu tunaweza kusema wangejitokeza kwenda kupimwa isingeonekana kuwa ndio Corona? Hili ni swali tu, kwani jibu sina.

Hebu tazama watu waliojitokeza na kusema Corona imewashambulia, Waziri Mkuu Canada, Tom Hanks mcheza movie na mkewe, akina Barkley, yule aliyekuwa mcheza basketball kule Marekani, na wengi wengi tu na hata huenda wapo ambao wamejikalia kimya tu majumbani mwao

Papa hivi karibuni, wiki iliyopita alikuwa hajisikii vizuri, alipima Corona, kumbuka Italy imo kwenye heka heka hadi sasa!

Nimalizie tu kwa kusema: Hata 'Flue" ya kawaida huua watu, hasa wazee na watu ambao kinga za miili yao ni dhaifu kwa sababu mbalimbali. Na milipuko ya flue hutokea mara nyingi tu na watu kupoteza maisha.

Corona mimi siioni kuwa ya ajabu sana kama ilivyotangazwa, ukiondoa tu hiyo sifa yake ya huko kuwa 'novel'.
Hadi sasa ni kiasi gani cha watu waliofariki, 5,000? toka wangapi ambao wamepimwa na kuonekana wanao ugonjwa, laki tatu na ushee?
Huu sio ugonjwa wa hatari sana kama tunavyoaminishwa. Dunia ime'overeact', kwa sababu haiujui ugonjwa wenyewe.

Tanzania tunayo tabia mbaya ya kufichaficha taarifa. Hili sio jambo jema.
Naamini huo ugonjwa tayari upo hapa nchini, hata kama tunagoma kutangaza au vipimo vyetu havijaugundua.
Kubwa jinga wewe ugonjwa umeshaua watu zaidi ya 5000 unasema huoni Jipya?? WHO wameshautangaza Kama Global disease wewe uko huko kwenu Maramba-Mawili umejiegeza kwenye chumba chako na kisimu chako Cha Samsung unasema huoni Jipya ...


Kila nchi inayojielewa inachukua hatua stahiki ili kujizuia na hayo maambukizi wewe unaleta blablaaaaa zako hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huu ugonjwa ni flue tu kumbuka flue ni moja kati ya magonjwa yanayowatesa sawa wazungu tofauti na sisi na wanakufa sana.....kwao ni habari kubwa kwa kuwa inawauwa

Lakini sisi waafrica tunakufa na malaria na njaa ila kwao si habari kubwa angalia statistic je corona inauwa watu wengi kuliko njaa na malaria jibu ni NO

Kumbuka corona ni “viral disease” every disease transimited by virus does not cured.....na hii ndio huwatesa wazungu

By the way ni ugonjwa hatari ila unakuwa ovarreted sana na media


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahahaha elimu elimu elimu .. Tangu lini Home ya Mapafu ikahusiana na Mafua...


Hii nchi elimu Ni tatizo Sana aiseeh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
serikali ya awamu ya 5 ni zero kwenye afya
Wengi tumeambiwa kuhusiana na ugonjwa wa Corona. Na wengi tunaamini kuwa sasa tunauelewa.

Tunapojihadhari na ugonjwa huu, mategemeo yetu makubwa ni serikali na wataalam wa afya, ambao tunadhani kuwa wana ufahamu zaidi kuliko sisi tusio watu wa fani ya tiba.

Jambo moja tunalotakiwa kujua ni kuwa mpaka sasa, kwenye ugonjwa huu, wote ni layman. Na inawezekana, mtu asiye mtaalam wa tiba, kama anajishughulisha kuufahamu ugonjwa huu kwa kupitoa maandiko mbalimbali ya wataalam wa huko ambako upo, akawa na uelewa mkubwa zaidi kuwazidi wasemaji wa serikali au madaktari wetu.

Watu wasiitegemee sana serikali wala madaktari bali wajitahidi kuujua ukweli kuhusiana na ugonjwa huu. Mpaka sasa kuna madudu mengi tayari yamefanywa na serikali, ambayo kwa watu wanaouelewa ugonjwa huu, wasingefanya. Labda tu tumekingwa kwa neema ya Mungu tu lakini siyo kutokana na umakini wa Serikali.

1) Siku za karibuni serikali iliruhusu watalii toka China wakati nchi nyingine zimepiga marufuku ndege kutua nchini mwao kutokea China, achilia mbali kupokea watalii wa Kichina

2) Karibuni tena, pale JKN airport kuna watu wagonjwa ambao dalili zilionekana kushabihiana na zile za Corona, walipimwa na kuonekana negative, wakaruhusiwa kuingia mitaani. Ukweli ni kwamba siyo wagonjwa wote au watu wenye coronavirus, virusi hivyo huonekana kwenye vipimo. Inaonekana watu hawa wa serikali bado hawajaujua huu ugonjwa.

Tafiti za karibuni kabisa zinaonesha mambo yafuatayo:

1) Kirusi cha Corona kinaambukizwa zaidi kwa kushika sehemu aliyoishika mwathirika kuliko kwa njia ya kukohoa.

2) Kirusi cha Corona siyo airborn bali ni huenea kwa droplets za mate. Wale wanaoongea mpaka wanatema mate, kama ameathirika, ni wasambazaji wazuri

3) Kirusi cha Corona, kwa mfano muathirika akishika kwenye meza au akakoholea kwenye meza kinaweza kuishi hapo kwa siku kadhaa, hakuna anayejua kina uwezo wa kukaa siku ngapi. Kwa hiyo kwenye milango, ngazi, viti, meza, hata simu zetu - vyote vinaweza kueneza kwa kasi zaidi kuliko kushikana na kukohoa

4) Kirusi cha corona, kimeonekana kina uwezo wa kujificha na kisionekane kwenye vipimo. Inaaminika ni katika hatua zake fulani tu, ndiyo huonekana kiurahisi. Baadhi ya wagonjwa waliotibiwa, na kupimwa na kuonekana negative, baadaye walionekana wana uwezo wa kuendelea kuambukiza, wengine baadaye walionekana tena positive, na wengine walikufa baada ya kuruhusiwa na kutajwa kuwa wamepona.

Hiki kirusi siyo cha mzaha, kama ambavyo serikali yetu imekuwa ikichukulia.

Kenya tayari, DRC tayari, Rwanda tayari, Botswana tayari - Hatupo salama kama tunavyofikiria. Chukua tahadhari binafsi kuliko kuitegemea sana Serikali.

Serikali yetu inafahamika. Ni nyepesi sana kushugulikia mambo yanayotishia kupokonywa utawala na madaraka lakini siyo kwenye mambo ya msingi yanayohusu uhai, usalama na maisha ya wananchi wote.

Ikitokea ugonjwa huu ukaingia nchini mwetu, mzazi chukua hatua zako binafsi kama vile kumzuia mwanao kwenda shule kuliko kusubiri mpaka Serikali itangaze.

Kama una uwezo wa kuepuka usafiri wa umma, epuka kuanzia sasa kuliko kusubiri siku Serikali itakapotangaza. Watatangaza pale ambao tayari hali imekwishakuwa mbaya. Kama siyo lazima sana kusafiri, acha kusafiri kuanzia sasa, hii ni pamoja na safari za ndani.

Can you get coronavirus twice?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bams, mamlaka ya anga imechukua hatua kukabiliana na ugonjwa huu.

Kama kusingekuwa na hatua za kisasa za kupambana na janga hili leo hii tungekuwa na wagonjwa wengi sana lakini hakuna akiyeripotiwa mpaka jumapili hii.

Tatizo letu kila tunalolifanya tunaona kama tunakosea na kila analofanya mgeni tunaona lipo sahihi.
 
Umefanya vema kumweleza. Airborn disease ni magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya hewa lakini jwa corona ni tofauti. Hii inaambukizwa kwa direct contacts. Contacts hizi inaweza kuwa kushikana na mgonjwa mwenye vijidudu mkononi, kushika sehemu iliyoshikwa na mtu ambaye mikono yake ilikuwa na virusi, au kwa kugusa droplets za mate ya mtu mgonjwa anapokohoa.

Vipi ukivuta hewa yenye hizo droplets zenye Corona virus (aeroso). ?!

Kama jibu litakua huwezi ambukizwa basi itakua sio airborne Ila Kama jibu ni kua unaweza ambukizwa basi itakua ni air borne disease.

Halafu mtoa mada anajaribu kuaminisha watu kua madaktari hawaujui ugonjwa huu!! Pathetic!

Kumbuka madaktari wamesoma Kwa kina kirusi Corona darasani Kama topic pamoja na virus vingine vingi tu ambavo wewe huna hata habari Kama vina exist Hadi ukiibuka ugonjwa.
Na niimani yangu kua wewe umesikia kirusi Corona baada ya ugonjwahuu kuibuka.
 
Ww ni mchochezi!!!
Haiwezekani utoe taarifa zinazokinzana na zile zilizotolewa na sirikali yetu tukufu ya awamu ya5!
Nia yako ni nn? Unataka kuleta taharuki kwa wananchi?
Sirikali ilishasema imejipanga vyema kupambana na covid 19 isiingie nchini, halafu ww unataka kutuambia nn? Tukuamini ww au sirikali yetu?
Hujaona hatua zilizochukuliwa na sirikali yetu kuhakikisha tunapambana na corona? Labda kama hujafahamu mpaka sasa nikufahamishe tu ni kama ifuatavyo:
1. Tumeruhusu ndege zilizobeba watalii kutoka China kutua hapa kwetu, hii ni kutokana na uhusiano mzuri tulionao na wachina. Hii itasaidia pato la taifa kukua, hivyo tutapata pesa nyingi zitakazotusaidia kupambana na corona.
2.Wale wazungu 6 waliotua KIA jana 13/03/2020 baadhi wakiwa na dalili za maambukizi tumegundua kuwa ni negative baada ya kuwafanyia vipimo na hvyo tumewaruhusu waendelee na mishe zao,tumeona siyo vyema kuwa karantini siku 14 maana tunaamini vipimo vyetu.

Hivyo ww mtoa post acha UCHOCHEZI!
Mungu atusaidie
 
Ww ni mchochezi!!!
Haiwezekani utoe taarifa zinazokinzana na zile zilizotolewa na sirikali yetu tukufu ya awamu ya5!
Nia yako ni nn? Unataka kuleta taharuki kwa wananchi?
Sirikali ilishasema imejipanga vyema kupambana na covid 19 isiingie nchini, halafu ww unataka kutuambia nn? Tukuamini ww au sirikali yetu?
Hujaona hatua zilizochukuliwa na sirikali yetu kuhakikisha tunapambana na corona? Labda kama hujafahamu mpaka sasa nikufahamishe tu ni kama ifuatavyo:
1. Tumeruhusu ndege zilizobeba watalii kutoka China kutua hapa kwetu, hii ni kutokana na uhusiano mzuri tulionao na wachina. Hii itasaidia pato la taifa kukua, hivyo tutapata pesa nyingi zitakazotusaidia kupambana na corona.
2.Wale wazungu 6 waliotua KIA jana 13/03/2020 baadhi wakiwa na dalili za maambukizi tumegundua kuwa ni negative baada ya kuwafanyia vipimo na hvyo tumewaruhusu waendelee na mishe zao,tumeona siyo vyema kuwa karantini siku 14 maana tunaamini vipimo vyetu.

Hivyo ww mtoa post acha UCHOCHEZI!
Bogus ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bams, mamlaka ya anga imechukua hatua kukabiliana na ugonjwa huu.

Kama kusingekuwa na hatua za kisasa za kupambana na janga hili leo hii tungekuwa na wagonjwa wengi sana lakini hakuna akiyeripotiwa mpaka jumapili hii.

Tatizo letu kila tunalolifanya tunaona kama tunakosea na kila analofanya mgeni tunaona lipo sahihi.
Ni sawa na kusema Hakuna wizi kwasababu Hakuna mwiz aliekamatwa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu kuna sehemu nimesoma kama ni mwanaume ukiugua na ukapona basi unaua na nguvu za kiume
 
Hongera sana mkuu. Umeongea kile ninachokiwaza kila wakati. Ningefurahi hili andiko lifike mbali,lifike kwenye media zingine pia. Andiko limejitosheleza limejaa ukweli mtupu. Ni kweli kabisa serikali yetu nyepesi sana. Ni jambo la kushangaza sana kwamba nchi za dunia ya kwanza zimepiga marufuku ndege zote kutoka maeneo korofi. Eti sisi tunajifanya vidume. Roho imeniuma sana kwenye hili,basi tunaishia kusikitika tu,huwezi kufanya chochote cha kusaidia kwenye nchi kama hii. Hata kujaribu kusaidia kwa kuanzisha maandamano kupinga ruhusa kwa wageni watokao maeneo yaliyoathiliwa,utaishia jera kama sio kuuawa. Roho inaniuma sana kuona kwamba serikali imeuchukulia kama kitu cha kawaida,wakati nchi zilizoendelea watu wanaendelea kupukutika. Sijiamini bado kama kweli hatuna wagonjwa humu nchini kwa idadi ya wageni tuliopokea kuanzia kipindi ambacho wengine wamefunga njia. Inasikitisha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni sawa na kusema Hakuna wizi kwasababu Hakuna mwiz aliekamatwa.



Sent using Jamii Forums mobile app
Kunaweza kuwepo wagonjwa walioingia nchini kwa usafiri wa mabasi mfano kutoka Nairobi kuja Dar au kutoka Uganda kupitia mutukura mpaka Bukoba na wakaelekea Mwanza.

Lakini kingine ambacho ni cha faida kwetu Afrika ni hali ya hewa ya tropiki, kwa siku moja joto kufika nyuzi 29-32 ni jambo la kawaida sana, na kirusi cha corona hakina uwezo wa kuishi joto linapozidi nyuzi 25.
 
Back
Top Bottom