Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,556
- 7,385
Umeambiwa usipigane mabusu Wala kufunua vi chupi
Unaweza kutoa mfano wa jambo gani Serikali ya Tanzania iliishawahi kulipuuzia na likaleta madhara nchini?Wengi tumeambiwa kuhusiana na ugonjwa wa Corona. Na wengi tunaamini kuwa sasa tunauelewa.
Tunapojihadhari na ugonjwa huu, mategemeo yetu makubwa ni serikali na wataalam wa afya, ambao tunadhani kuwa wana ufahamu zaidi kuliko sisi tusio watu wa fani ya tiba.
Jambo moja tunalotakiwa kujua ni kuwa mpaka sasa, kwenye ugonjwa huu, wote ni layman. Na inawezekana, mtu asiye mtaalam wa tiba, kama anajishughulisha kuufahamu ugonjwa huu kwa kupitoa maandiko mbalimbali ya wataalam wa huko ambako upo, akawa na uelewa mkubwa zaidi kuwazidi wasemaji wa serikali au madaktari wetu.
Watu wasiitegemee sana serikali wala madaktari bali wajitahidi kuujua ukweli kuhusiana na ugonjwa huu. Mpaka sasa kuna madudu mengi tayari yamefanywa na serikali, ambayo kwa watu wanaouelewa ugonjwa huu, wasingefanya. Labda tu tumekingwa kwa neema ya Mungu tu lakini siyo kutokana na umakini wa Serikali.
1) Siku za karibuni serikali iliruhusu watalii toka China wakati nchi nyingine zimepiga marufuku ndege kutua nchini mwao kutokea China, achilia mbali kupokea watalii wa Kichina
2) Karibuni tena, pale JKN airport kuna watu wagonjwa ambao dalili zilionekana kushabihiana na zile za Corona, walipimwa na kuonekana negative, wakaruhusiwa kuingia mitaani. Ukweli ni kwamba siyo wagonjwa wote au watu wenye coronavirus, virusi hivyo huonekana kwenye vipimo. Inaonekana watu hawa wa serikali bado hawajaujua huu ugonjwa.
Tafiti za karibuni kabisa zinaonesha mambo yafuatayo:
1) Kirusi cha Corona kinaambukizwa zaidi kwa kushika sehemu aliyoishika mwathirika kuliko kwa njia ya kukohoa.
2) Kirusi cha Corona siyo airborn bali ni huenea kwa droplets za mate. Wale wanaoongea mpaka wanatema mate, kama ameathirika, ni wasambazaji wazuri
3) Kirusi cha Corona, kwa mfano muathirika akishika kwenye meza au akakoholea kwenye meza kinaweza kuishi hapo kwa siku kadhaa, hakuna anayejua kina uwezo wa kukaa siku ngapi. Kwa hiyo kwenye milango, ngazi, viti, meza, hata simu zetu - vyote vinaweza kueneza kwa kasi zaidi kuliko kushikana na kukohoa
4) Kirusi cha corona, kimeonekana kina uwezo wa kujificha na kisionekane kwenye vipimo. Inaaminika ni katika hatua zake fulani tu, ndiyo huonekana kiurahisi. Baadhi ya wagonjwa waliotibiwa, na kupimwa na kuonekana negative, baadaye walionekana wana uwezo wa kuendelea kuambukiza, wengine baadaye walionekana tena positive, na wengine walikufa baada ya kuruhusiwa na kutajwa kuwa wamepona.
Hiki kirusi siyo cha mzaha, kama ambavyo serikali yetu imekuwa ikichukulia.
Kenya tayari, DRC tayari, Rwanda tayari, Botswana tayari - Hatupo salama kama tunavyofikiria. Chukua tahadhari binafsi kuliko kuitegemea sana Serikali.
Serikali yetu inafahamika. Ni nyepesi sana kushugulikia mambo yanayotishia kupokonywa utawala na madaraka lakini siyo kwenye mambo ya msingi yanayohusu uhai, usalama na maisha ya wananchi wote.
Ikitokea ugonjwa huu ukaingia nchini mwetu, mzazi chukua hatua zako binafsi kama vile kumzuia mwanao kwenda shule kuliko kusubiri mpaka Serikali itangaze.
Kama una uwezo wa kuepuka usafiri wa umma, epuka kuanzia sasa kuliko kusubiri siku Serikali itakapotangaza. Watatangaza pale ambao tayari hali imekwishakuwa mbaya. Kama siyo lazima sana kusafiri, acha kusafiri kuanzia sasa, hii ni pamoja na safari za ndani.
Can you get coronavirus twice?
Ww ni mchochezi!!!Wengi tumeambiwa kuhusiana na ugonjwa wa Corona. Na wengi tunaamini kuwa sasa tunauelewa.
Tunapojihadhari na ugonjwa huu, mategemeo yetu makubwa ni serikali na wataalam wa afya, ambao tunadhani kuwa wana ufahamu zaidi kuliko sisi tusio watu wa fani ya tiba.
Jambo moja tunalotakiwa kujua ni kuwa mpaka sasa, kwenye ugonjwa huu, wote ni layman. Na inawezekana, mtu asiye mtaalam wa tiba, kama anajishughulisha kuufahamu ugonjwa huu kwa kupitoa maandiko mbalimbali ya wataalam wa huko ambako upo, akawa na uelewa mkubwa zaidi kuwazidi wasemaji wa serikali au madaktari wetu.
Watu wasiitegemee sana serikali wala madaktari bali wajitahidi kuujua ukweli kuhusiana na ugonjwa huu. Mpaka sasa kuna madudu mengi tayari yamefanywa na serikali, ambayo kwa watu wanaouelewa ugonjwa huu, wasingefanya. Labda tu tumekingwa kwa neema ya Mungu tu lakini siyo kutokana na umakini wa Serikali.
1) Siku za karibuni serikali iliruhusu watalii toka China wakati nchi nyingine zimepiga marufuku ndege kutua nchini mwao kutokea China, achilia mbali kupokea watalii wa Kichina
2) Karibuni tena, pale JKN airport kuna watu wagonjwa ambao dalili zilionekana kushabihiana na zile za Corona, walipimwa na kuonekana negative, wakaruhusiwa kuingia mitaani. Ukweli ni kwamba siyo wagonjwa wote au watu wenye coronavirus, virusi hivyo huonekana kwenye vipimo. Inaonekana watu hawa wa serikali bado hawajaujua huu ugonjwa.
Tafiti za karibuni kabisa zinaonesha mambo yafuatayo:
1) Kirusi cha Corona kinaambukizwa zaidi kwa kushika sehemu aliyoishika mwathirika kuliko kwa njia ya kukohoa.
2) Kirusi cha Corona siyo airborn bali ni huenea kwa droplets za mate. Wale wanaoongea mpaka wanatema mate, kama ameathirika, ni wasambazaji wazuri
3) Kirusi cha Corona, kwa mfano muathirika akishika kwenye meza au akakoholea kwenye meza kinaweza kuishi hapo kwa siku kadhaa, hakuna anayejua kina uwezo wa kukaa siku ngapi. Kwa hiyo kwenye milango, ngazi, viti, meza, hata simu zetu - vyote vinaweza kueneza kwa kasi zaidi kuliko kushikana na kukohoa
4) Kirusi cha corona, kimeonekana kina uwezo wa kujificha na kisionekane kwenye vipimo. Inaaminika ni katika hatua zake fulani tu, ndiyo huonekana kiurahisi. Baadhi ya wagonjwa waliotibiwa, na kupimwa na kuonekana negative, baadaye walionekana wana uwezo wa kuendelea kuambukiza, wengine baadaye walionekana tena positive, na wengine walikufa baada ya kuruhusiwa na kutajwa kuwa wamepona.
Hiki kirusi siyo cha mzaha, kama ambavyo serikali yetu imekuwa ikichukulia.
Kenya tayari, DRC tayari, Rwanda tayari, Botswana tayari - Hatupo salama kama tunavyofikiria. Chukua tahadhari binafsi kuliko kuitegemea sana Serikali.
Serikali yetu inafahamika. Ni nyepesi sana kushugulikia mambo yanayotishia kupokonywa utawala na madaraka lakini siyo kwenye mambo ya msingi yanayohusu uhai, usalama na maisha ya wananchi wote.
Ikitokea ugonjwa huu ukaingia nchini mwetu, mzazi chukua hatua zako binafsi kama vile kumzuia mwanao kwenda shule kuliko kusubiri mpaka Serikali itangaze.
Kama una uwezo wa kuepuka usafiri wa umma, epuka kuanzia sasa kuliko kusubiri siku Serikali itakapotangaza. Watatangaza pale ambao tayari hali imekwishakuwa mbaya. Kama siyo lazima sana kusafiri, acha kusafiri kuanzia sasa, hii ni pamoja na safari za ndani.
Can you get coronavirus twice?
Wengi walifikiria kama unavyofikiria. Ndiyo maana China iliamua kuiweka kama siri, wakidhania wangedhibiti bila Dunia kujua, lakini mpaka sasa imeshindikana.
Fikiria kuwa ugonjwa huu umeshuhudiwa huko China tangu November mwakajana. Mpaka sasa ni karibia miezi 5, bado hakuna dalili ya kuudhibiti.
Sasa hata waliotajwa kuwa wanepona, baadhi siku 37 baadaye wamekuja kuonekana positive.
Wiki 3 zilizopita vifo vilikuwa 2,000. Sahizi vifo ni zaidi ya 5,000. Maombukizi yamekwishavuka 350,000. Wakati wiki hizo 3 maambukizi yalikuwa chini ya 50,000. Sasa, hapa tunaweza kusema ugonjwa unadhibitiwa?
Ni aheri kuchukua tahadhari zaidi ya inavyotakiwa kuliko kuchukua tahadhari hafifu.
Ufafanuzi mzuri.Mkuu 'Bams',
Unanikumbusha ile habari ya yule binti wa Mzee Malicela na 'Zika'.
Haya magonjwa yanayosababishwa na 'virus' yamekuwepo siku nyingi na husababisha milipo nyakati kadhaa, na kuwa kimya pia kwa nyakati mbalimbali.
Kirusi cha aina moja kinaweza kuwa na 'versions' tofauti tofauti zenye nguvu tofauti za maambukizi.
Chukulia tu kwa mfano, vile vya 'flu' ya kawaida ambavyo ni kama vina msimu wake, kila msimu unaowasili unaweza kukuta ni 'version' tofauti inayohitaji 'vaccine' ya aina yake, tofauti na ile iliyotumika msimu uliopita.
Kwa hiyo, haya magonjwa ya 'virus' ni 'complex' kwa sababu ya hizo 'varieties' zinazolipuka katika misimu mbalimbali.
Hii ya COVID-19 wanasema ni 'novel', yaani ni kama mpya. Haijawahi kuonekana ikisababisha ugonjwa kwa binaadam. Hii ni mara yake ya kwanza. Kwa hiyo, hata wataalam wa mgonjwa haya ya 'virusi' hawakuwa tayari kuukabili kwa chanjo na hata njia za utambuzi (vipimo) kubaini watu walio na ugonjwa.
Na hapo hapo, kama ulivyosema, watu amabao wameshambuliwa na huu ugonjwa, kwa sababu mbalimbali za kimaumbile ya miili, huonyesha matokeo tofautitofauti.
Kiufupi ni kwamba ugonjwa umeleta hofu kubw ambazo pengine haikustahilia kuwa hivyo kwa sababu kadhaa:
- njia za mawasiliano ya haraka zimeenea sana duniani kiasi kwamba wakati mwingine inatia hofu kuzisikia, hasa kama ni taarifa ambazo zinatolewa tu bila ya utaalam nyuma yake.
- Corona ni mpya kuonekana kwa binaadam, haikujulikana jinsi ya kuikabiri haraka
- Mkuu Bams, hebu angalia ugonjwa wa 'mafua' yetu tu ya kawaida hapa hapa Tanzania wakati huu. Hivi kweli unaweza kuniambia kwamba watu wamekuwa wakiugua mafua ya aina hii miaka michache tu iliyopita. Mafua yanayotishia kuua watu, na wengi hata hospitali hawaendi. Hawa watu tunaweza kusema wangejitokeza kwenda kupimwa isingeonekana kuwa ndio Corona? Hili ni swali tu, kwani jibu sina.
Hebu tazama watu waliojitokeza na kusema Corona imewashambulia, Waziri Mkuu Canada, Tom Hanks mcheza movie na mkewe, akina Barkley, yule aliyekuwa mcheza basketball kule Marekani, na wengi wengi tu na hata huenda wapo ambao wamejikalia kimya tu majumbani mwao
Papa hivi karibuni, wiki iliyopita alikuwa hajisikii vizuri, alipima Corona, kumbuka Italy imo kwenye heka heka hadi sasa!
Nimalizie tu kwa kusema: Hata 'Flue" ya kawaida huua watu, hasa wazee na watu ambao kinga za miili yao ni dhaifu kwa sababu mbalimbali. Na milipuko ya flue hutokea mara nyingi tu na watu kupoteza maisha.
Corona mimi siioni kuwa ya ajabu sana kama ilivyotangazwa, ukiondoa tu hiyo sifa yake ya huko kuwa 'novel'.
Hadi sasa ni kiasi gani cha watu waliofariki, 5,000? toka wangapi ambao wamepimwa na kuonekana wanao ugonjwa, laki tatu na ushee?
Huu sio ugonjwa wa hatari sana kama tunavyoaminishwa. Dunia ime'overeact', kwa sababu haiujui ugonjwa wenyewe.
Tanzania tunayo tabia mbaya ya kufichaficha taarifa. Hili sio jambo jema.
Naamini huo ugonjwa tayari upo hapa nchini, hata kama tunagoma kutangaza au vipimo vyetu havijaugundua.
Haya maroboti ya ccm yenyewe kwa kukabidhi akili kwa mwenyekiti basi yanamezeshwa kila kitu hata Kama ni uongo nayo yanameza tu.
Kubwa jinga wewe ugonjwa umeshaua watu zaidi ya 5000 unasema huoni Jipya?? WHO wameshautangaza Kama Global disease wewe uko huko kwenu Maramba-Mawili umejiegeza kwenye chumba chako na kisimu chako Cha Samsung unasema huoni Jipya ...Mkuu 'Bams',
Unanikumbusha ile habari ya yule binti wa Mzee Malicela na 'Zika'.
Haya magonjwa yanayosababishwa na 'virus' yamekuwepo siku nyingi na husababisha milipo nyakati kadhaa, na kuwa kimya pia kwa nyakati mbalimbali.
Kirusi cha aina moja kinaweza kuwa na 'versions' tofauti tofauti zenye nguvu tofauti za maambukizi.
Chukulia tu kwa mfano, vile vya 'flu' ya kawaida ambavyo ni kama vina msimu wake, kila msimu unaowasili unaweza kukuta ni 'version' tofauti inayohitaji 'vaccine' ya aina yake, tofauti na ile iliyotumika msimu uliopita.
Kwa hiyo, haya magonjwa ya 'virus' ni 'complex' kwa sababu ya hizo 'varieties' zinazolipuka katika misimu mbalimbali.
Hii ya COVID-19 wanasema ni 'novel', yaani ni kama mpya. Haijawahi kuonekana ikisababisha ugonjwa kwa binaadam. Hii ni mara yake ya kwanza. Kwa hiyo, hata wataalam wa mgonjwa haya ya 'virusi' hawakuwa tayari kuukabili kwa chanjo na hata njia za utambuzi (vipimo) kubaini watu walio na ugonjwa.
Na hapo hapo, kama ulivyosema, watu amabao wameshambuliwa na huu ugonjwa, kwa sababu mbalimbali za kimaumbile ya miili, huonyesha matokeo tofautitofauti.
Kiufupi ni kwamba ugonjwa umeleta hofu kubw ambazo pengine haikustahilia kuwa hivyo kwa sababu kadhaa:
- njia za mawasiliano ya haraka zimeenea sana duniani kiasi kwamba wakati mwingine inatia hofu kuzisikia, hasa kama ni taarifa ambazo zinatolewa tu bila ya utaalam nyuma yake.
- Corona ni mpya kuonekana kwa binaadam, haikujulikana jinsi ya kuikabiri haraka
- Mkuu Bams, hebu angalia ugonjwa wa 'mafua' yetu tu ya kawaida hapa hapa Tanzania wakati huu. Hivi kweli unaweza kuniambia kwamba watu wamekuwa wakiugua mafua ya aina hii miaka michache tu iliyopita. Mafua yanayotishia kuua watu, na wengi hata hospitali hawaendi. Hawa watu tunaweza kusema wangejitokeza kwenda kupimwa isingeonekana kuwa ndio Corona? Hili ni swali tu, kwani jibu sina.
Hebu tazama watu waliojitokeza na kusema Corona imewashambulia, Waziri Mkuu Canada, Tom Hanks mcheza movie na mkewe, akina Barkley, yule aliyekuwa mcheza basketball kule Marekani, na wengi wengi tu na hata huenda wapo ambao wamejikalia kimya tu majumbani mwao
Papa hivi karibuni, wiki iliyopita alikuwa hajisikii vizuri, alipima Corona, kumbuka Italy imo kwenye heka heka hadi sasa!
Nimalizie tu kwa kusema: Hata 'Flue" ya kawaida huua watu, hasa wazee na watu ambao kinga za miili yao ni dhaifu kwa sababu mbalimbali. Na milipuko ya flue hutokea mara nyingi tu na watu kupoteza maisha.
Corona mimi siioni kuwa ya ajabu sana kama ilivyotangazwa, ukiondoa tu hiyo sifa yake ya huko kuwa 'novel'.
Hadi sasa ni kiasi gani cha watu waliofariki, 5,000? toka wangapi ambao wamepimwa na kuonekana wanao ugonjwa, laki tatu na ushee?
Huu sio ugonjwa wa hatari sana kama tunavyoaminishwa. Dunia ime'overeact', kwa sababu haiujui ugonjwa wenyewe.
Tanzania tunayo tabia mbaya ya kufichaficha taarifa. Hili sio jambo jema.
Naamini huo ugonjwa tayari upo hapa nchini, hata kama tunagoma kutangaza au vipimo vyetu havijaugundua.
Hahahaha elimu elimu elimu .. Tangu lini Home ya Mapafu ikahusiana na Mafua...Mkuu huu ugonjwa ni flue tu kumbuka flue ni moja kati ya magonjwa yanayowatesa sawa wazungu tofauti na sisi na wanakufa sana.....kwao ni habari kubwa kwa kuwa inawauwa
Lakini sisi waafrica tunakufa na malaria na njaa ila kwao si habari kubwa angalia statistic je corona inauwa watu wengi kuliko njaa na malaria jibu ni NO
Kumbuka corona ni “viral disease” every disease transimited by virus does not cured.....na hii ndio huwatesa wazungu
By the way ni ugonjwa hatari ila unakuwa ovarreted sana na media
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wengi tumeambiwa kuhusiana na ugonjwa wa Corona. Na wengi tunaamini kuwa sasa tunauelewa.
Tunapojihadhari na ugonjwa huu, mategemeo yetu makubwa ni serikali na wataalam wa afya, ambao tunadhani kuwa wana ufahamu zaidi kuliko sisi tusio watu wa fani ya tiba.
Jambo moja tunalotakiwa kujua ni kuwa mpaka sasa, kwenye ugonjwa huu, wote ni layman. Na inawezekana, mtu asiye mtaalam wa tiba, kama anajishughulisha kuufahamu ugonjwa huu kwa kupitoa maandiko mbalimbali ya wataalam wa huko ambako upo, akawa na uelewa mkubwa zaidi kuwazidi wasemaji wa serikali au madaktari wetu.
Watu wasiitegemee sana serikali wala madaktari bali wajitahidi kuujua ukweli kuhusiana na ugonjwa huu. Mpaka sasa kuna madudu mengi tayari yamefanywa na serikali, ambayo kwa watu wanaouelewa ugonjwa huu, wasingefanya. Labda tu tumekingwa kwa neema ya Mungu tu lakini siyo kutokana na umakini wa Serikali.
1) Siku za karibuni serikali iliruhusu watalii toka China wakati nchi nyingine zimepiga marufuku ndege kutua nchini mwao kutokea China, achilia mbali kupokea watalii wa Kichina
2) Karibuni tena, pale JKN airport kuna watu wagonjwa ambao dalili zilionekana kushabihiana na zile za Corona, walipimwa na kuonekana negative, wakaruhusiwa kuingia mitaani. Ukweli ni kwamba siyo wagonjwa wote au watu wenye coronavirus, virusi hivyo huonekana kwenye vipimo. Inaonekana watu hawa wa serikali bado hawajaujua huu ugonjwa.
Tafiti za karibuni kabisa zinaonesha mambo yafuatayo:
1) Kirusi cha Corona kinaambukizwa zaidi kwa kushika sehemu aliyoishika mwathirika kuliko kwa njia ya kukohoa.
2) Kirusi cha Corona siyo airborn bali ni huenea kwa droplets za mate. Wale wanaoongea mpaka wanatema mate, kama ameathirika, ni wasambazaji wazuri
3) Kirusi cha Corona, kwa mfano muathirika akishika kwenye meza au akakoholea kwenye meza kinaweza kuishi hapo kwa siku kadhaa, hakuna anayejua kina uwezo wa kukaa siku ngapi. Kwa hiyo kwenye milango, ngazi, viti, meza, hata simu zetu - vyote vinaweza kueneza kwa kasi zaidi kuliko kushikana na kukohoa
4) Kirusi cha corona, kimeonekana kina uwezo wa kujificha na kisionekane kwenye vipimo. Inaaminika ni katika hatua zake fulani tu, ndiyo huonekana kiurahisi. Baadhi ya wagonjwa waliotibiwa, na kupimwa na kuonekana negative, baadaye walionekana wana uwezo wa kuendelea kuambukiza, wengine baadaye walionekana tena positive, na wengine walikufa baada ya kuruhusiwa na kutajwa kuwa wamepona.
Hiki kirusi siyo cha mzaha, kama ambavyo serikali yetu imekuwa ikichukulia.
Kenya tayari, DRC tayari, Rwanda tayari, Botswana tayari - Hatupo salama kama tunavyofikiria. Chukua tahadhari binafsi kuliko kuitegemea sana Serikali.
Serikali yetu inafahamika. Ni nyepesi sana kushugulikia mambo yanayotishia kupokonywa utawala na madaraka lakini siyo kwenye mambo ya msingi yanayohusu uhai, usalama na maisha ya wananchi wote.
Ikitokea ugonjwa huu ukaingia nchini mwetu, mzazi chukua hatua zako binafsi kama vile kumzuia mwanao kwenda shule kuliko kusubiri mpaka Serikali itangaze.
Kama una uwezo wa kuepuka usafiri wa umma, epuka kuanzia sasa kuliko kusubiri siku Serikali itakapotangaza. Watatangaza pale ambao tayari hali imekwishakuwa mbaya. Kama siyo lazima sana kusafiri, acha kusafiri kuanzia sasa, hii ni pamoja na safari za ndani.
Can you get coronavirus twice?
Umefanya vema kumweleza. Airborn disease ni magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya hewa lakini jwa corona ni tofauti. Hii inaambukizwa kwa direct contacts. Contacts hizi inaweza kuwa kushikana na mgonjwa mwenye vijidudu mkononi, kushika sehemu iliyoshikwa na mtu ambaye mikono yake ilikuwa na virusi, au kwa kugusa droplets za mate ya mtu mgonjwa anapokohoa.
Mungu atusaidieWw ni mchochezi!!!
Haiwezekani utoe taarifa zinazokinzana na zile zilizotolewa na sirikali yetu tukufu ya awamu ya5!
Nia yako ni nn? Unataka kuleta taharuki kwa wananchi?
Sirikali ilishasema imejipanga vyema kupambana na covid 19 isiingie nchini, halafu ww unataka kutuambia nn? Tukuamini ww au sirikali yetu?
Hujaona hatua zilizochukuliwa na sirikali yetu kuhakikisha tunapambana na corona? Labda kama hujafahamu mpaka sasa nikufahamishe tu ni kama ifuatavyo:
1. Tumeruhusu ndege zilizobeba watalii kutoka China kutua hapa kwetu, hii ni kutokana na uhusiano mzuri tulionao na wachina. Hii itasaidia pato la taifa kukua, hivyo tutapata pesa nyingi zitakazotusaidia kupambana na corona.
2.Wale wazungu 6 waliotua KIA jana 13/03/2020 baadhi wakiwa na dalili za maambukizi tumegundua kuwa ni negative baada ya kuwafanyia vipimo na hvyo tumewaruhusu waendelee na mishe zao,tumeona siyo vyema kuwa karantini siku 14 maana tunaamini vipimo vyetu.
Hivyo ww mtoa post acha UCHOCHEZI!
Hayo madhara mwisho wa siku yanatangazwa na nani?Unaweza kutoa mfano wa jambo gani Serikali ya Tanzania iliishawahi kulipuuzia na likaleta madhara nchini?
Bogus wwWw ni mchochezi!!!
Haiwezekani utoe taarifa zinazokinzana na zile zilizotolewa na sirikali yetu tukufu ya awamu ya5!
Nia yako ni nn? Unataka kuleta taharuki kwa wananchi?
Sirikali ilishasema imejipanga vyema kupambana na covid 19 isiingie nchini, halafu ww unataka kutuambia nn? Tukuamini ww au sirikali yetu?
Hujaona hatua zilizochukuliwa na sirikali yetu kuhakikisha tunapambana na corona? Labda kama hujafahamu mpaka sasa nikufahamishe tu ni kama ifuatavyo:
1. Tumeruhusu ndege zilizobeba watalii kutoka China kutua hapa kwetu, hii ni kutokana na uhusiano mzuri tulionao na wachina. Hii itasaidia pato la taifa kukua, hivyo tutapata pesa nyingi zitakazotusaidia kupambana na corona.
2.Wale wazungu 6 waliotua KIA jana 13/03/2020 baadhi wakiwa na dalili za maambukizi tumegundua kuwa ni negative baada ya kuwafanyia vipimo na hvyo tumewaruhusu waendelee na mishe zao,tumeona siyo vyema kuwa karantini siku 14 maana tunaamini vipimo vyetu.
Hivyo ww mtoa post acha UCHOCHEZI!
Ni sawa na kusema Hakuna wizi kwasababu Hakuna mwiz aliekamatwa.Bams, mamlaka ya anga imechukua hatua kukabiliana na ugonjwa huu.
Kama kusingekuwa na hatua za kisasa za kupambana na janga hili leo hii tungekuwa na wagonjwa wengi sana lakini hakuna akiyeripotiwa mpaka jumapili hii.
Tatizo letu kila tunalolifanya tunaona kama tunakosea na kila analofanya mgeni tunaona lipo sahihi.
Kunaweza kuwepo wagonjwa walioingia nchini kwa usafiri wa mabasi mfano kutoka Nairobi kuja Dar au kutoka Uganda kupitia mutukura mpaka Bukoba na wakaelekea Mwanza.