Coronapocalypse

Kumbe ni overrated? ila tatizo idadi ya vifo inatisha.
Idadi ya vifo inatisha lakini against what?? Namba ya waathirika wote??

Ni hivi.... Mortality rate ya Hii virus ni 3-4% kwa takwimu za wiki iliyopita yaani katika kila watu 100 walioambukizwa basi ni watatu pekee wanaofariki.

Kwahiyo ukisikia watu elfu tatu wamekufa mpaka sasa then fahamu kuna watu laki moja wamesurvive mpaka sasa.
 


Nasikia Seattle wamepata chanjo
Waambie wasipanic
Sisi huku hata barabara ni tupu unaweza kulala



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Ina maana vyombo vikubwa vya habari mfano CNN,BBC n.k vinalikuza tu hili gonjwa? Au sababu limeanzia China?
 
Kuna uzi niliwaambia watu hili jambo kuwa waathirika wengi wana recover jamaa wakanicheka kinyama.
huu ugojwa ni wakawaida sanaa sema midia zime ukuza mnooo ila takwimu zina kataa kusema kuwa ni ugojwa hatari tena kwa africa watu weusi hatuna sababu yakuogopa sababu hakuna historia ya virusi vya jamii ya mafua kuwahi kuwa tishio kwa mtu mweusi mwenye asili ya bara la africa.

Na ndiomana pamoja na virusi hivi kubainika katika baadhi ya nchi za africa bado kasi ya usambaji na madhara ya virusi vya corona kwa afya ya mtu mweusi ni nadra sana watu wafwatilie data na sio kupanic kwa porojo za vyombo vikuu vya habari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona inachinibla tu ni kwamba inasababisha mambo yasiende.

Ila it is not that deadly.

Hata ikinipata probability ya kupona ni kubwa kuliko kufa. Hainitishi.
 

Nasikia Seattle wamepata chanjo
Waambie wasipanic
Sisi huku hata barabara ni tupu unaweza kulala



Sent from my iPhone using Tapatalk

Hata pande hizi barabara ni tupu!

Watoto wanasoma kupitia iPads.

Wazazi wanabeba boksi kupitia laptops.
 
I can understand the hype and panick behind over-buying of saniters, and masks.
Ila toilet papers? Why? Hivi toilet papers zinakuzuia vipi against corona au zinakusaidia vipi pale unapopata COVID-19?
Nyani Ngabu
 
I can understand the hype and panick behind over-buying of saniters, and masks.
Ila toilet papers? Why? Hivi toilet papers zinakuzuia vipi against corona au zinakusaidia vipi pale unapopata COVID-19?
Nyani Ngabu

Hata sielewi aisee!!

Watu hadi wanapigana kwenye supermarkets kwa ajili ya toilet paper.

Huu ni umajinuni kabisa.

 
haya ni mafua tu kwa african ila hawa wenzetu ndio ina madhara ( biological )
 
Wanajihami mapema huenda wakaambiwa wasalie majumbani mwao siku zijazo.
Anyways, labda ni utofauti wa culture and habits.
Mimi hata nikijua kuwa nitalazimika kutotoa nje ya nyumba kwa siku kadhaa, and i have to stock-pile my needs; Toilet papers hata sitaifikiria kabisa, maana natumia maji, swafiiiiii kabisa, mi toilet paper ya kazi gani sasa?
Hapa ndo mtu una appreciate vizuri utofauti wa mahitaji kulingana na tamaduni na tabia.
Proved
 

Una mawazo kama yangu!

Kama nipo ndani tu na hakuna shida ya maji na hakuna hofu ya kwamba kutakuwa na shida ya maji, kila nikienda haja kubwa nitaoga tu.

Sina matumizi ya lazima ya karatasi za chooni niwapo kwangu.
 
Hizo tishu za msalani ndizo wanatumia kama vifungashio vya pua? Kwa nini wanazikimbilia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…