Coronapocalypse

Ulaya nako wanafanya binge buying?

Sana mkuu na baadhi ya vitu hakuna kwenye shelves
Bidhaa zimepanda bei sana, wamegombania mpaka madawa na disinfectant wipes
Hali ni mbaya kwa kweli na hii nilipiga juzi Sainsbury’s



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Ni hivi..huu ugonjwa umetengenezwa laboratory. Unauwezo kusambaa kwa kasi sana hasa kanda za nyuzi joto chin ya nyuzi 20.

Huu ugonjwa unaweza kupona au ukafa kutegemea na immune status ya mgonjwa. Sasa imelenga kupunguza population kwa kuuwa wanadam wenye weak immune system.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Wazee wa conspiracy theories mnachekesha sana 🤣🤣
 
Mara paap Corona haiwapati weusi popote wakiishi na Wazungu kupona kwao lazima waishi Africa... Dah hapo ndipo tunapohamia Europe na America na Wazungu wote wanakuja Africa.. Watanzania wote Spain na waSpain wote wanahamia Bongo..
 
Mara paap Pompeo mkimbizi wa Corona Tanzania...
 
Wanao recover wanakuwa na 30% reduced lung function na wana gasp for breath hasa wanapotembea kwa kasi
 
Mara paap Corona haiwapati weusi popote wakiishi na Wazungu kupona kwao lazima waishi Africa... Dah hapo ndipo tunapohamia Europe na America na Wazungu wote wanakuja Africa.. Watanzania wote Spain na waSpain wote wanahamia Bongo..

Na haya ni mafanikio ya awamu ya 5.
 
People are so greedy
Yaani wanajaza stock kama hakuna kesho
Hiyo wapi Mkuu maana sio kwa kusafisha huko
Nafikiri baada ya wiki mbili wataanza kuuza tena



Sent from my iPhone using Tapatalk

Hivi siki likitokea janga la kikweli kweli, watu sijui watafanyaje tu!!
 
Hivi siki likitokea janga la kikweli kweli, watu sijui watafanyaje tu!!

Naona watauwana kwa chakula na mpaka trucks za vyakula watateka
Hali ni mbaya kwa kweli ila nao wamezidisha
Mkuu wewe hujajaza chakula
Mimi nasubiri waishiwe hela hawa watu maana wanavyogombania utafikiri wameambiwa ndio mwisho wa production


Sent from my iPhone using Tapatalk
 

Ah wapi!

Mimi siyo ‘panicker’ kabisa.

Sijajaza mivyakula wala toilet paper kuliko ilivyo kawaida.

Bado nawashangaa tu wanaofanya hivyo!

Sasa hivi nimetoka kununua shampoo hapa.

Hali bado iko vilevile. Hebu ona ilivyo kwenye aisle ya mikate na jams.

Jams zipo. Mikate ndo ya kuhesabu.


Kwenye maziwa nako hali si nzuri kivile.



Kule kwenye paper products ni kweupe.



Hawa watu bana 🤣
 
Asilimia kubwa ya wanaopata hayo mafua ya Corona wanapona.

Pia, unaweza kuwa na hayo mafua na wala usijue na yenyewe yakaisha hivyo hivyo.

Panic iliyopo haiendani kabisa na athari zake.
Kumbe ni overrated? ila tatizo idadi ya vifo inatisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…