Corona yasitisha Vita Bara Afrika

Corona yasitisha Vita Bara Afrika

Wamegundua ugaidi unalipa kidogo wameamua kuamia kwenye corona kunakowalipa zaidi! Mungu atawanyoosha!
 
Wamegundua ugaidi unalipa kidogo wameamua kuamia kwenye corona kunakowalipa zaidi! Mungu atawanyoosha!
IMG_20210218_174254_207.jpg
 
Wababe wa Vita barani. Wamejipa lockdown kusikilizia Kirusi Cha Korona. Hakuna Cha Somalia, Congo wala Central African Republic.
**Hakuna mbabe kwenye kubanwa mbavu.
wachochezi wamejifungia fund hawana ya kuuwa watu....nani atawauzia silaha wamejifungia ndani wakilianzisha watakufa
 
Hahahahha wasomali body immunity yao iko chini Sana uwezi amini
 
Back
Top Bottom