jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
Umeniuliza mie heeh!Waliokufa au waliobakia?
Umeniuliza mie heeh!Waliokufa au waliobakia?
Ati unasemaje?Kuna picha zinamuonesha mkulu wetu akikohoa kila baada ya sekunde tano tuwe makini.
Kuna picha zinamuonesha mkulu wetu akikohoa kila baada ya sekunde tano tuwe makini.
Corona sio ugonjwa wa kutuweka ndani hata siku moja kama ungekuwa ni ugonjwa wamaana sana tungeshajua mapema sana
Punguza kuogopa vinyago vilivyochongwa na jirani yko
Inasemekana kwa kenge kusikia hadi damu zimtoke masikioni.
Kwani damu tayari zisha kutoka mkuu?
Zikisha kutoka sema mkuu uelimishwe.
Huko unakosema ni kukaa ndani ni dalili ya maluweluwe ya kutokusikia tu.
Kunguru wewe achana na siasa ndo zunakuharibu akili
Mpk huwez kufikiria na akili zako timamu unasuhir habari za kupikwa pikwa
Na leo nimeona gari lenye bendera ya Burundi likiingia Serena Hotel.... nadhani wametuma muwakirishi woyiii twafa
Kama umeweza kujua kuwa Tz corona ipo ya kutosha(ipo kwa wingi) tena bila watu kupimwa ni wazi pia utakuwa unajua ni kiwango cha athari ya corona tulichonacho Tz.Wanaita principal of reciprocity. Wamekuja ndugu zetu kutuhani kama tulivyokwenda kuwahani wao.
Hatuna sababu ya kuhofu Corona yao maana angalau wao sasa hivi wanachukua hatua kweli kweli na hata mipaka wamefunga.
Kama ni Corona sisi sasa hivi tutakuwa ndiyo baba lao. Tunayo ya kutosha hata for export.
Mjukuu ndiye huyo tunaye semezana naye hivi sasa.
Kuna suruhisho mkuu!Mtu mzima anatishwa je mkuu?
Hata Burundi walikuwa wanasema hawakuwa na Corona. Angalia rekodi zao leo zinasema je.
Waliendelea hivyo hivyo pia hata walipokuwa wakiwatimua wale jamaa wa WHO.
Sasa hivi ni government in disarray!
Tungali na nafasi ya kutofika huko.
Unaota siasa?
Huu hauko kwenye jukwaa la siasa.
Jiridhishe kuwa uko jukwaa husika. Hata vyooni jiridhishe jinsia kwanza.
Ndiyo ustaarabu huo.
Mkuu bila watu kupimwa wewe unajuje corona ipo ya kutosha?Wanaita principal of reciprocity. Wamekuja ndugu zetu kutuhani kama tulivyokwenda kuwahani wao.
Hatuna sababu ya kuhofu Corona yao maana angalau wao sasa hivi wanachukua hatua kweli kweli na hata mipaka wamefunga.
Kama ni Corona sisi sasa hivi tutakuwa ndiyo baba lao. Tunayo ya kutosha hata for export.
Mjukuu ndiye huyo tunaye semezana naye hivi sasa.