Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,967
- 11,212
This is what is gonna happen within the next month
Paracetamol zitaadimika
Wagonjwa watalalamika
Serikari itasema kawaida huwa wanaoda kutokana na historical data za matumizi na MSD walikuwa na stock ya kutosha.
Lakini wanakubali kuna uhaba umesababishwa na gonjwa la Korona na wameshatoa order zipo njiani (kufika hadi kusambazwa kama mwezi)
A lot of people will suffer kwa muda huo na pengine kupoteza maisha kwa sababu ya uzembe na kukosa mipango.
I take wagers on that occurrence
Paracetamol zitaadimika
Wagonjwa watalalamika
Serikari itasema kawaida huwa wanaoda kutokana na historical data za matumizi na MSD walikuwa na stock ya kutosha.
Lakini wanakubali kuna uhaba umesababishwa na gonjwa la Korona na wameshatoa order zipo njiani (kufika hadi kusambazwa kama mwezi)
A lot of people will suffer kwa muda huo na pengine kupoteza maisha kwa sababu ya uzembe na kukosa mipango.
I take wagers on that occurrence