Zurie
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 1,745
- 4,277
Wizara ya Afya imesema kwamba majibu ya sampuli za watu 27 waliokuwa wanahisiwa kuwa na virusi vya #COVID19 yameonesha hawana maambukizi
Watu hao ni wale wote waliokutana na dereva taksi aliyemuendesha mgonjwa wa kwanza wa virusi hivyo nchini
Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Udhibiti na Ufuatiliaji wa Magonjwa ya Mlipuko, Dkt. Janet Mghamba amesema wamejiridhisha kwa kina kwani wamefanya vipimo mara 3 na vyote vimekuja salama
Watu hao ni wale wote waliokutana na dereva taksi aliyemuendesha mgonjwa wa kwanza wa virusi hivyo nchini
Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Udhibiti na Ufuatiliaji wa Magonjwa ya Mlipuko, Dkt. Janet Mghamba amesema wamejiridhisha kwa kina kwani wamefanya vipimo mara 3 na vyote vimekuja salama