Corona: Orodha ya wahanga, sampuli

Corona: Orodha ya wahanga, sampuli

IMG_20200718_161854.jpg
IMG_20200718_161847.jpg
 
Mkuu kwa sasa hao wanakufa hatuwaoni,Ila siku akifa yeye ndo tutaanza kuwaona,acha twende kwenye kampeni Kama tutakuwa tumefika huko lakini
Hatuwaoni kvp ina maana hawana ndugu,jirani,rafiki au wafanyakazi wenzao? ni wapi huko wanapokufa hadi tusiwaone na wanazikwa na nani? hili suala linashangaza sana! Sasa hata akifa Magufuli tofauti ipo wapi?
 
Precaution mkuu, si kwa maana ya kutisha wala kusababisha taharuki!!
Mtu anaogopa kuambiwa tu "watu wanakufa" halafu mtu huyo huyo anaomba uamirijeshi mkuu wa majeshi yote!!
 
Hii corona ya afrika ni ya kushangaza kweli,haioneshi tofauti zozote kwa mwenye kuchukua tahadhari wala asiyechukua tahadhari.
 
Duh! Wejamaa kweli ni vacuous popinjay

Niambie unafaidika na nini tukiwa na wagonjwa wengi na vifo vingi?

Vacuous popinjay wewe hivi mnafaidika na nini tukiwa na wagonjwa wengi na vifo vingi?

Mmelikoroga kweri kweri na bado mnaendelea.

Hadi wafe wangapi?

Hongereni maprofesa Mwandosya, Bisanda, TLS, Balozi Kagasheki na wote mnaopaza sauti zenu within this very hostile environment.


Why the hostility?

Wana manufaa gani na vifo mamburula hawa?
 
Corona ipo vyema kuchukua tahadhari wewe binafsi na familia yako.
Ukionaje unajilock down au unaacha kazi ili utulie ndani isikupate na usife ( Mbona simple tu)
Wapo ndugu zetu walotangulia tunamshukuru Mungu hata katika hayo na sisi sote tutakufa kwa wakati wetu
Tunashindwa kupambana na Korona sababu baadhi ya watu mnaleta taharuki na hofu ni mbaya siku zote lazima tuadhibiwe tu maaana ufahamu wetu unawategemea watu tena na si Mungu.
By the way Dunia tunapita shida iko wapi? Tutubu tutende mema hatujui kesho yetu, ukikaidi sawa lakini Dunia si mali yetu iwe kwa corona ama si kwa corona kwa lolote.
 
Corona ipo vyema kuchukua tahadhari wewe binafsi na familia yako.
Ukionaje unajilock down au unaacha kazi ili utulie ndani isikupate na usife ( Mbona simple tu)
Wapo ndugu zetu walotangulia tunamshukuru Mungu hata katika hayo na sisi sote tutakufa kwa wakati wetu
Tunashindwa kupambana na Korona sababu baadhi ya watu mnaleta taharuki na hofu ni mbaya siku zote lazima tuadhibiwe tu maaana ufahamu wetu unawategemea watu tena na si Mungu.
By the way Dunia tunapita shida iko wapi? Tutubu tutende mema hatujui kesho yetu, ukikaidi sawa lakini Dunia si mali yetu iwe kwa corona ama si kwa corona kwa lolote.

Mawazo duni kabisa ya aliyejikatia tamaa au kueleza wasiojitambua au walioko katika tamaa peke yake.

Kwanini hampendekezi mahospitali kufungwa? Kwanini kununua madawa au vfaa tiba? Kwanini kujihami na lolote?

Ya kuwa hatq kwanini kufanya lolote, zaidi ya kukesha misikitini na makanisani kumlilia Mungu mwingi wa rehema?

Kama kufa si tutakufa tu?

Mawazo ya kijima namna hii si bakini nayo hapo Lumumba tu. Mawazo ya namna hii hayana nafasi katika jamii yoyote iliyostaarabika jombi.

IMG_20210218_174254_207.jpg


Tafadhali mtambue tupo wengi ambao hatumo katika umburula wenu huo uliopitiliza.
 
Mawazo duni kabisa ya aliyejikatia tamaa au kueleza wasiojitambua au walioko katika tamaa peke yake.

Kwanini hampendekezi mahospitali kufungwa? Kwanini kununua madawa au vfaa tiba? Kwanini kujihami na lolote?

Kama kufa si tutakufa tu?

Mawazo ya kijima namna hii bakini nayo Lumumba tu. Mawazo ya namna hii hayana nafasi katika jamii yoyote iliyostaarabika.

View attachment 1705981

Tafadhali mtambue tupo wengi ambao hatumo katika umburula huo uliopitiliza.

Relax. Be hamble already in a war no need to fear. Kila mtu sasa ashike alichonacho chenye kumpa tumaini.
 
Duh! Wejamaa kweli ni vacuous popinjay

Niambie unafaidika na nini tukiwa na wagonjwa wengi na vifo vingi?

Vacuous popinjay unaendelea kunufaika nini tunapoendelea kuwa na wagonjwa na vifo vingi?
 
Ni lipumbavu tu! Majitu mengine sijui yakoje? Hili jamaa si ndilo lilikomalia kwamba kwenye shule zilizofunguliwa kuna vifo vingi vya Corona?

Ungalipo ewe mwenye akili?
 
Corona ipo vyema kuchukua tahadhari wewe binafsi na familia yako.
Ukionaje unajilock down au unaacha kazi ili utulie ndani isikupate na usife ( Mbona simple tu)
Wapo ndugu zetu walotangulia tunamshukuru Mungu hata katika hayo na sisi sote tutakufa kwa wakati wetu
Tunashindwa kupambana na Korona sababu baadhi ya watu mnaleta taharuki na hofu ni mbaya siku zote lazima tuadhibiwe tu maaana ufahamu wetu unawategemea watu tena na si Mungu.
By the way Dunia tunapita shida iko wapi? Tutubu tutende mema hatujui kesho yetu, ukikaidi sawa lakini Dunia si mali yetu iwe kwa corona ama si kwa corona kwa lolote.

Hayupo aogopaye kufa wala anayetaka kuishi milele ila mambo yote iko hapa:


No wonder we are poor!

Hapo ndipo tofauti ilipo.
 
Ni lipumbavu tu! Majitu mengine sijui yakoje? Hili jamaa si ndilo lilikomalia kwamba kwenye shule zilizofunguliwa kuna vifo vingi vya Corona?

Hadi tulipo lipumbavu litakuwa linafahamika.

Kama ilivyo kwa Jair Bolsonaro haijali itachukua muda gani.

Mtakuwa kwa mlichofanya kuangamiza watu wasio na hatia.
 
Katika ule mukthadha wa kukubali kutokubaliana, ikumbukwe kuwa iliombwa watu kuweka orodha ya wahanga wote wa hizi changamoto za kupumua, kila inapowezekana.

Kuondoa tashwishi hapa ninaweka tarehe tulizopoteza wanasheria nguli hadi kufikia 09.07.2020 idadi yao mbele katika mabano (kama sampuli). Hawa na tarehe zao ni kutoka katika orodha halisi:

1. 01.04. (1)
2. 02.04. (1)
3. 06.04. (1)
4. 27.04. (1)
5. 28.04. (3)
6. 30.04. (1)
7. 03.05. (2)
8. 04.05. (2)
9. 05.05. (1)
10. 16.05. (1)
11. 20.05. (1)
12. 30.05. (1)
13. 06.06. (2)
14. 09.07. (1)

Hii na ionekane kama wito wa kuamshwa.

Orodha hizi zinaendelea kuhuishwa kwa wahanga wote. Orodha kamili zikizingatia taarifa zote kwa kila mhanga.

Kwa hakika siku moja, jina moja moja litasomwa mbele zetu sote kila mmoja kwa mchango wake.
Na za malaria vipi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom