Corona: Orodha ya wahanga, sampuli

Corona: Orodha ya wahanga, sampuli

Kwani tukiamua kujitoa ufahamu kuwa hakuna ugonjwa wa corona Tanzania huku watu wakiwa wanakufa Kila siku ndo unapata faida gani?Siku huyu aliyeondoa ubongo wenu kwenye vichwa vyenu akifyekwa na corona labda akili zitawarudia
Chanjo zipo, mmeletewa, si mkachome watu wapige pesa za mikopo ya chanjo? Nani kawazuia?
 
Huyu mchizi sijui corona ilimpa nini aiseeh!
Eti jamaa yangu mbona pigo za namna hii kila siku.UK nao hawatoi takwimu waanzishie nyuzi basi!
Wewe una shida kubwa sio bure.
Hili jamaa sijui nilitaahira, nashangaa sana
 
Umetumwa na mabeberu wewe,si Bure.

Heri kutumwa na beberu kupigania maisha ya watu kuliko kutumwa na shetani kuwa wakala wa vifo.

Kwa kila kifo ...

Hatutawaacha salama.

Habari yenyewe ndiyo hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom