Corona: Msikiti Ngazija uliopo Posta jijini Dar es Salaam wafungwa kwa siku 21 kuepusha misongamano ya waumini

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,946
141,920
Msikiti wa Ngazija uliopo Posta jijini Dar umefungwa kwa muda wa siku 21 kuanzia tarehe 30/03/2020 hadi 19/04/2020 kama hatua ya kupunguza mikusanyiko ya watu.

Uongozi wa Msikiti umesema Uamuzi huo ni mgumu lakini hauna budi kuchukuliwa ili kuwanusuru waumini na risk ya kuweza kupeana maambukizi ya Corona.

1585632711783.png

Niendelee kuwatakia kwaresma njema!
 
Wafunge salama.
Utamwekea kofuli Mungu wa kweli?

Vitabu vitakatifu vinasema tuwatii wenye mamlaka

Sasa sijui huo msikiti unasoma vitabu gani vitakatifu. Anyway mungu wao awasaidie
 
Hawa waislam nawapa kongole, hayo ndio matumizi bora ya ufahamu na akili tulizopewa. Kuabudu sio lazima twende kulundikana misikitini na makanisani, hasa kipindi hiki ambapo kuna tishio kubwa kidunia, hata nyumbani Mungu atasikia vilio vyetu.

Hili gonjwa tusipokuwa makini linaweza kuweka rekodi ya kusikitisha sana.
 
hapa kijiweni kwetu kuna wazee wameitikia wito wa raisi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kazi ipo na mgonjwa mmoja wa corona kafariki mloganzila huko leo
Msikiti wa Ngazija uliopo Posta jijini Dar umefungwa kwa muda wa siku 21 kuanzia tarehe 30/03/2020 hadi 19/04/2020 kama hatua ya kupunguza mikusanyiko ya watu.

Uongozi wa Msikiti umesema Uamuzi huo ni mgumu lakini hauna budi kuchukuliwa ili kuwanusuru waumini na risk ya kuweza kupeana maambukizi ya Corona.


Niendelee kuwatakia kwaresma njema!
 
Wao si wanaamini mungu yupo kila sehemu waswalie nyunbani kama wengine wanavyoswalia kwao
Wafunge salama.
Utamwekea kofuli Mungu wa kweli?

Vitabu vitakatifu vinasema tuwatii wenye mamlaka

Sasa sijui huo msikiti unasoma vitabu gani vitakatifu. Anyway mungu wao awasaidie
 
Sasa sisi ambao hatuna kazi tunaendaga kulala huko msikitini mchana kupoteza muda tutalala wapi tena
Msikiti wa Ngazija uliopo Posta jijini Dar umefungwa kwa muda wa siku 21 kuanzia tarehe 30/03/2020 hadi 19/04/2020 kama hatua ya kupunguza mikusanyiko ya watu.

Uongozi wa Msikiti umesema Uamuzi huo ni mgumu lakini hauna budi kuchukuliwa ili kuwanusuru waumini na risk ya kuweza kupeana maambukizi ya Corona.


Niendelee kuwatakia kwaresma njema!
 
Kwa mazingira ya msikiti wa Ngazija kulikuwa na ulazima wa kufungwa! kwasababu upo city centre na asilimia mia ya wanaofanya ibada pale ni wafanyakazi wa maofisini
 
Msikiti wa Ngazija uliopo Posta jijini Dar umefungwa kwa muda wa siku 21 kuanzia tarehe 30/03/2020 hadi 19/04/2020 kama hatua ya kupunguza mikusanyiko ya watu.

Uongozi wa Msikiti umesema Uamuzi huo ni mgumu lakini hauna budi kuchukuliwa ili kuwanusuru waumini na risk ya kuweza kupeana maambukizi ya Corona.


Niendelee kuwatakia kwaresma njema!
hawa mabedui tu, mbona hawajafungia makanisa yao?
 
Back
Top Bottom