Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 19,075
- 41,553
Sawa boss, hv ulinambia hesabu yako kwa wiki nkuletee sh ngapi?Leo mtajulikana tu Bodaboda. Katikati ya jiji lazima mtoke tu.
Sawa boss, hv ulinambia hesabu yako kwa wiki nkuletee sh ngapi?Leo mtajulikana tu Bodaboda. Katikati ya jiji lazima mtoke tu.
Bodaboda forum 4Sawa boss, hv ulinambia hesabu yako kwa wiki nkuletee sh ngapi?
Mkuu kwa uwezo wako mkubwa kwa sasa unafaa kuwa na helicopta kama tatu hivi. Moja ya kwako, nyingine ya mke wako na nyingine ya watoto. Yaani hizo pikipiki utaziona kwenye tv. Matajiri wenzako katika miji ya wenzetu wanazo helicopta zao. Ni vizuri na wewe ili kuepusha usumbufu wa bodaboda ni bora uwe na helicopta zako za kutosha zikupeleke kazini. Naamini hata humu JF kuna watu wanaweza kukusaidia kupata helicopta. Kwa pesa yako wala haupaswi kusubiria sheria wala tamko la serikali. Naamini helicopta ni kitu kidogo mno kwako ambacho ukiamua kwa dakika chache unatekeleza. Hayo ni maoni yangu mkuu.Akili finyu sana hii umeharibu muda wako kuandika upupu. Tembea miji ya wenzetu ujionee sheria zinazoendesha majiji.
NANI KAKUAMBIA IMEISHA? NAKUSHAURI ENDELEA KUVAA BARAKOA NA NAWA MARA KWA MARA NA MAJI TIRIRIKA na sabuni MPAKA HAPO SERIKALI ITAKAPOTOA MAELEKEZO MENGINE JUU YA KORONA NDUGU YANGU. HASA SEHEMU YA MIKUSANYIKO KAMA WIZARA YA AFYA INAVYOELKEZABSasa hivi hakuna tofauti ya Manzese, Mbagala na Posta hii ya Mnara wa Askari. Jiji ama mji ni mchafu vibanda vya wauza ndizi choma na mishikaki.
Sasa hivi ni vijiwe vya Bodaboda kila sehemu posta. Corona imekwisha sasa Makonda atoe tamko la kutoa hawa Wahuni katikati ya jiji.
Subiri basi uchaguzi upite mbona una haraka hivyo ndugu yetu au ujui hao ndio wapiga kura...Sasa hivi hakuna tofauti ya Manzese, Mbagala na Posta hii ya Mnara wa Askari. Jiji ama mji ni mchafu vibanda vya wauza ndizi choma na mishikaki.
Sasa hivi ni vijiwe vya Bodaboda kila sehemu posta. Corona imekwisha sasa Makonda atoe tamko la kutoa hawa Wahuni katikati ya jiji.
Siku zingine jifunze kuwa na Akili kwani ni nani ' Kakudanganya ' kuwa ' Wachafuzi ' wa Jiji ni hao Waendesha Bodaboda? Kuna Watu mnachosha!
Naaza kuchemsha chai chini ya flyover ntatundika bendera ya ccm hakunaSasa hivi hakuna tofauti ya Manzese, Mbagala na Posta hii ya Mnara wa Askari. Jiji ama mji ni mchafu vibanda vya wauza ndizi choma na mishikaki.
Sasa hivi ni vijiwe vya Bodaboda kila sehemu posta. Corona imekwisha sasa Makonda atoe tamko la kutoa hawa Wahuni katikati ya jiji.
Umeongea pointWa Tanzania baadhi wana roho mbaya sana.. sababu wao wana ajira wanapata hela kwenye kiyoyozi wanaona ambao wanapata hela juani wanachafua mazingira..
Hii nchi ni yetu sote.. waache mama ntilie na boda boda nao wafanye kazi zao mjini..
Hajajua kua hiki Ni KIPINDI Cha Kampeni.Mkuu uleweka ila ngoja kidogo watatoka tu mda ukifika kwa sasa kuwa mpole tu