Corona ikiisha utafanya nini?

Corona ikiisha utafanya nini?

nitakua nalea mimba quarantine + baridi =*#£#£%%#@
 
Aahahahahahahaa

Polee, baridi imezidi kuwa kali???

Ntachofanya ni kushika mimba ya mapacha 4, mimba ikigoma kushika naenda adopt vitoto 4 vichangaa wawe warithi wangu.

Karantini hii imenipa upako wa kulea... Nimejikuta nawaonea wivu waliokuwa wanaenda maternity leave...
Mapacha utawaweza dear?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom