BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,020
- 8,480
Hahahahaha Waargentina wangapi walistahili red card!? Nilimuonea huruma sana Neymar alipoanza kulia kama mtoto. Ana mapenzi makubwa sana na nchi yake.
Hata mimi pia nilimuonea huruma sana kamanda, na pia anauchungu kwa timu yake....kitu ambacho pia kimenifurahisha zaidi kwa neymar, ni moja ya wachezaji wa kibrazili mwenye mapenzi makubwa sana kwa Messi na hata kwa other players wa kiargentina....tofauti na wenzie, na hata waliopita hawakuwa hivyo labda Gaucho.