FineForever
JF-Expert Member
- Apr 12, 2017
- 1,777
- 2,353
Kweli hujui Mkuu? Au unatuinjoi tu... Maana ukipita komenti 3 kwenda juu unajua mshindi ni nani...Nani kashinda?
Kweli hujui Mkuu? Au unatuinjoi tu... Maana ukipita komenti 3 kwenda juu unajua mshindi ni nani...Nani kashinda?
Argentina.Nani kashinda?
Nimechukia, team yangu ni brazilArgentina.
Watatuambia nini sisi mashabiki wa mtu mfupiHahahaha!!! na waje 2 hapa lazima tuwakalishe. Hawana namna nyingine Mkuu...
Eeeh wazee wa love football... Mmekutana na watu wana uchuNimechukia, team yangu ni brazil
Hiv mkuu usiku huwa unaisha saa ngapi? Na "alfajiri" na "asubuhi" Kuna tofauti?Ni j2 alfajir sa9
Pole sana,Nimechukia, team yangu ni brazil
Euro ilikuwa nzuriNatumai England na Italy itakuwa bonge la game na si ajabu extra time na penalties. Italy wanajituma sana hivyo wana nafasi nzuri ila nataka Kombe libaki kwa Mama.
Leo hata kula sidhani kama nitaweza, nimepata mawazo ghaflaPole sana,
Sisi huku ni sherehe tu kwa kwenda mbele.
Ungana nasi ufrahie 2.….Nimechukia, team yangu ni brazil
Leo hata kula sidhani kama nitaweza, nimepata mawazo ghafla, brazil ni timu ya wananchi jamaniPole sana,
Sisi huku ni sherehe tu kwa kwenda mbele.
Nimsubiri tena italy kama atanipa furahaUngana nasi ufrahie 2.….
Miaka 27 iliyopita dahtoka mwaka 1993
MessiDuu means top score kwenye hii michuano ni goal 4,, huko amerika hakuna wafumania nyavu ,,
waongeee nini hao Mkuu??!!!!Haya Sasa timu Ronaldo ongeeni tena,. Messi alishachukua world cup u-20, Ronaldo hana mafanikio yoyote kwenye huo umri.