Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,248
- 6,264
Kwa ufupi na mm nilkua namuombea mwamba ashinde hili game akastaafu soka kwa amani. Asingekua na amani maishani mwake. Ile mechi ya chile aliumia sana sana sana hadi akatangaza kuachana na timu ya taifa ikabidi rais wa nchi aingilie kati.
Hongera sana Argentina, hongera sana Messi.
Hongera sana Argentina, hongera sana Messi.