Wewe itakuwa mchumi butu kabisa, anachafanya magufuli sio monetary policy, 1: monetary involves adjustments of money supply by changing central bank reserves and not otherwise
2. Magufuli hapunguzi mzunguko au kiwango cha fedha anachofanya ni kupunguza matumizi yasiyo ya lazima na kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa kodi (tax efficiency) na hizo hela anazielekeza katika matumizi ya msingi kama elimu, so by defn hamna hata fiscal policy anayo pursue kwa sasa
3. Policy kama momentary policy hazileti outcomes kisiwa ( targeted outcomes) kwenye nchi nyingi zinazoendelea kutokana na soko kutokuwa telezo (inefficient market ) haziwezi kupeleka signal kwenye soko na matumizi.
4. Implication of monetary policy kwenye income in equality is a null idea.
Lai yangu kwa mtoa Mada either katafute Mishkin uedit Uzi au futa Uzi wako