Contents Creators kuombewa 2B ni akili Matope ina maana Tanzania haina vipaumbele?

Contents Creators kuombewa 2B ni akili Matope ina maana Tanzania haina vipaumbele?

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
8,551
Reaction score
20,346
GT

Hakuna asiyejua contents creator wengi wa Tanzania ni propaganda machines za CCM . Hivi wanaombewa 2B kwa lipi kwanza.

Hivi hili taifa halina vipaumbele hadi tunaenda kwenye biashara za watu binafsi watz wanteseka sana kwa kukosa huduma muhimu sana kama maji na huduma za afya.

Kwa nini ukachezee hela kwa contents creator kwa sababu tu wataandika habari za kuwasafisha mafisadi wa CCM? Huu ujinga uachwe mara moja.

 
Tutofautiana uwezo wa kujua vipaumbele

Ili uweze kufanikiwa kwenye maisha ni lazima ujue kulinganisha mambo matatu
1 natakiwa kufanya nini
2 kwanini
3 kwawakati gani.
 
Hii nchi ina vituko vingi sana vya kila aina!, sometimes maamuzi mengi ya viongozi wetu najikutaga tu nacheka pekeangu.
 
GT

Hakuna asiyejua contents creator wengi wa Tanzania ni propaganda machines za CCM . Hivi wanaombewa 2B kwa lipi kwanza.

Ivi hili taifa halina vipaumbele hadi tunaenda kwenye biashara za watu binafsi watz wanteseka sana kwa kukosa huduma muhimu sana kama maji na huduma za afya.

Kwa nini ukachezee hela kwa contents creator kwa sababu tu wataandika habari za kuwasafisha mafisadi wa ccm? Huu ujinga uachwe mara moja.

View attachment 3529998
nchi yenyewe inaongozwa na form four failure!
 
Huyu mjinga ana tamaa sana ndiyo maana ameanza kubokolewa kitambo sana kwa tamaa zake.
 
Sasa kama wasomi mmewachia wajinga waongoze unategemea nini goli la mama limemaliza mamilioni viongozi wetu wanapenda vitu vya kidandia dandia sana....
 
Back
Top Bottom