nitasemaukweli
Member
- May 27, 2011
- 86
- 19
Daftari la shule ya msingi hili na haya ndio matatizo yaliotokana na kuwa na ccm na wananchi kulala kwa muda wa miaka mingi. Ilikuwaje ccm wana-run hii Tanzania namna hii kwa muda mrefu? We are responsible for some of these failures..