Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 317
Wana JF naomba ufahamu zaidi
Nimesoma kwamba Mama Makinda amesema Zitto anaweza kufukuzwa bungeni iwapo hatasaini hati ya mahudhurio, nimeshindwa kupata uelewa kama attendance register/form inakuwa ndio hiyohiyo hati ya malipo kwamba mbunge akisaini mahudhurio basi ndio signature ya malipo inakua imesainiwa
Hii siyo room ya watu kuja kusaini tu na kuchukua pesa na kutohudhuria bunge?? kanuni za uhasibu zinasemaje?? Vipi kuhusu wahasibu kutengeneza hati za malipo baada ya kupokea orodha ya mahudhurio...
NIna wasiwasi kwamba kuna wabunge huhudhuria kwa signature tu na si kwa matendo endapo huu ndio mtindo wa bunge letu
Tumekupa mkuu. Lakini hivi sio ndio malipo yanafanywa katika kazi nyingi. Ukiingia kazini unaweka sahihi. Wewe uliona ifanyikaje? Au unataka posho za wabunge zilipwaje? I guess inabidi uchambue hadi asilia ya hiyo posho katika kujibu hili swali.