sevenson707
Member
- Jul 17, 2022
- 9
- 11
Habari wana JF... Hope mko safi kabisa
Bila kupoteza muda jina kama linavoonekana apo. Ni muhitimu wa diploma in Electrical and Hydropower Eng... kutoka chuo cha ufundi Arusha(Arusha technical college.)
Jaman wenye connection ya mradi wa umeme kule julius nyerere(Rufiji) naomba anisaidie maana ni muda sana umepita nimeshatuma C.V zangu ila sina hakika kama zimepitiwa au laa...
bhas naomba wenye connection za kule wanisaidie au ata kama kuna mtu ana connection za power plant kama vile (Mtera,kidatu,kihansi,pangani, kiujumla Tanesco) maana kwa swala la ajira hadi saiv bado tanesco haijatangaza ajira ... lakin swala la kujitolea bado imekuwa ishu kwa tanesco bhasi wenye msaada tafadhali nisaidieni...
Bila kupoteza muda jina kama linavoonekana apo. Ni muhitimu wa diploma in Electrical and Hydropower Eng... kutoka chuo cha ufundi Arusha(Arusha technical college.)
Jaman wenye connection ya mradi wa umeme kule julius nyerere(Rufiji) naomba anisaidie maana ni muda sana umepita nimeshatuma C.V zangu ila sina hakika kama zimepitiwa au laa...
bhas naomba wenye connection za kule wanisaidie au ata kama kuna mtu ana connection za power plant kama vile (Mtera,kidatu,kihansi,pangani, kiujumla Tanesco) maana kwa swala la ajira hadi saiv bado tanesco haijatangaza ajira ... lakin swala la kujitolea bado imekuwa ishu kwa tanesco bhasi wenye msaada tafadhali nisaidieni...