Nsibhwene JF-Expert Member Dec 8, 2016 293 217 Jun 2, 2019 #1 Nimekuwa nikisikia Kongo Dast (Lakini nadhani ni Congo Dust). Hii ni kitu gani?
Bulaya001 JF-Expert Member Dec 21, 2018 5,868 6,480 Jun 3, 2019 #2 aina mpya ya mifuko iliyoletwa na serikali
FCR JF-Expert Member Nov 7, 2018 213 177 Jun 5, 2019 #3 Hiyo nimifuko mbadala ya serikali usihangaike
Mkuu wa Kibiti JF-Expert Member Sep 7, 2017 776 1,135 Jun 5, 2019 #4 Uzuri mifuko hiyo ukiichoka kama vibebeo na vifungashio unaila na chai kama kula chapati vile
kabiriga JF-Expert Member Nov 18, 2012 861 830 Jun 5, 2019 #5 umesikia wapi ndugu? ni vema ukauliza huko ulikosikia watakupa majibu kuliko huku. humu mgeni wengi.
Nambarapi Senior Member Jan 2, 2015 179 143 Jun 5, 2019 #6 Nsibhwene said: Nimekuwa nikisikia Kongo Dast (Lakini nadhani ni Congo Dust). Hii ni kitu gani? Click to expand... Vumbi la kongo Nnimekutafsiria tuu
Nsibhwene said: Nimekuwa nikisikia Kongo Dast (Lakini nadhani ni Congo Dust). Hii ni kitu gani? Click to expand... Vumbi la kongo Nnimekutafsiria tuu
Che Machemba Member May 17, 2019 12 5 Jun 12, 2019 #9 Bulaya001 said: aina mpya ya mifuko iliyoletwa na serikali Click to expand...
Che Machemba Member May 17, 2019 12 5 Jun 12, 2019 #10 Ni balaa za vijana mkuu,mbadala wa viagra,wanaamini ni vitu vyenye asili ya congo na blahblah nyingine
Ni balaa za vijana mkuu,mbadala wa viagra,wanaamini ni vitu vyenye asili ya congo na blahblah nyingine
A akilitimamu Member Apr 14, 2019 79 108 Jun 14, 2019 #11 Nenda pale Kariakoo mtaa wa Kongo ulizia hilo dust. Lakini kisirisiri.