Yesu alikufanyia nini maishani kwako?

Yesu alikufanyia nini maishani kwako?

Changamoto ni kwamba mambo ya imani hayafuati mathematical logic, wengi wanaoshuhudia huwa wanazungumzia personal experience na amani ya moyo tu wanayoipata, ambayo kwa mtu wa nje ni ngumu kuipima kwa akili ya kawaida. Ndio maana kwako unaona hai make sense."
 
Mbali na ule uzushi wa kwamba atarudi, sina deni naye.

tenor.gif
 
Changamoto ni kwamba mambo ya imani hayafuati mathematical logic, wengi wanaoshuhudia huwa wanazungumzia personal experience na amani ya moyo tu wanayoipata, ambayo kwa mtu wa nje ni ngumu kuipima kwa akili ya kawaida. Ndio maana kwako unaona hai make sense."

Lakini mkuu si unajua lengo la logic kutambua ukweli na uongo. Sasa kama yesu amakuponya si kuna either ikawa kweli au uongo.

I think haya mambo ni more illogical than logical.
 
Lakini mkuu si unajua lengo la logic kutambua ukweli na uongo. Sasa kama yesu amakuponya si kuna either ikawa kweli au uongo.

I think haya mambo ni more illogical than logical.
Uko sahihi kabisa mkuu, concept ya logic ni kujua True au False. Na ukweli ni kwamba mambo ya miujiza yapo outside the scope of logic. Ni kweli au uongo?
 


It's an illogical thing. No one has an answer if there is God or not we don't know. Either someone says yes or no both have no answers to this. We could all agree if there's verifiable evidence that it's real or not.

This thing is the same as Plato's Allegory of the cave. People like Charles Darwin they didn't reject that there might be God or not to but history shows that they tied themselves to agonism since we could not have answers to personal faith.


Seran
 
Kikubwa ni iman yako tu ukiamini unaweza kuhamisha milima kama iman yako ndogo huwezi kupata chochote
 
It's an illogical thing. No one has an answer if there is God or not we don't know. Either someone says yes or no both have no answers to this. We could all agree if there's verifiable evidence that it's real or not.

This thing is the same as Plato's Allegory of the cave. People like Charles Darwin they didn't reject that there might be God or not to but history shows that they tied themselves to agonism since we could not have answers to personal faith.


Seran
Kazi kweli huku najionea mambo mageni!
D55389F8-4AA1-4F24-9F3E-F3D0DDC5DDE4.jpeg
 
Kikubwa ni iman yako tu ukiamini unaweza kuhamisha milima kama iman yako ndogo huwezi kupata chochote

No one who knows. Wahindi wapo sahihi, wabudha wapo sahihi, wakristo wapo sahihi. Kila mmoja ana Imani yake but remember believe is not facts or non facts.
 
😁Dada hizi ni vitabu vya kiimani tu kama hivi vingine the only books that will reveal facts to you are science and math related books because they can prove how things are.
Huyu mtu anaingia deep kwa mazungumzo! Anachanganya sana!
C861B2BC-2434-4D54-9E42-49F6833D6239.jpeg
 
Nimekuwa nikisikia shuhuda nyingi redioni kuwa yesu amebadilisha maisha yangu, nilikuwa na madeni yote yamefutika. Mwingine alikuwa na magonjwa yaliyoshindikana lakini alipona.

Wadau, mbona kwangu haya mambo na hizi stori logically hazimake sense?
Alinigeuza mimi maji taka nikawa divai iliyo bora sana
 
Nimekuwa nikisikia shuhuda nyingi redioni kuwa yesu amebadilisha maisha yangu, nilikuwa na madeni yote yamefutika. Mwingine alikuwa na magonjwa yaliyoshindikana lakini alipona.

Wadau, mbona kwangu haya mambo na hizi stori logically hazimake sense?
Ametenda maajabu, nami siwezi kueleza, siwezi kuelezaaaa siwezi kueleza ametenda maajabu nami siwezi kueleza ameteeenda maajabu
 
Back
Top Bottom