watu wengi wanaamini hivyo e.g. my friend drinks so I will also start drinking. ni tatizo la kutokuwa na msimamo/kutojitambua ambalo huwaponza wengihivi kweli mtu anaweza kukulazimisha kuiga tabia zake ambazo huzipendi?
Exactly....Kwa hali ya sasa ni vyema kuishi maisha yako mwenyewe bila kuangalia jamii inasema nini ili mradi tu maamuzi yako yasiwaumize wengine. Saa nyingine kuishi maisha ya kuangalia jamii inasema nini unaweza kujikuta unaishi kama mfungwa kwa kufuata matakwa ya jamii badala ya matakwa yako mwenyewe.
Mabadiliko huanzia kwako, ukiamua kubadilika na jamii nayo itabadilika taratibu! tukiendelea kuogopa, hali itaendelea kuwa ni hiyo hiyo mpaka kwenye vizazi vijavyo.
watu wengi wanaamini hivyo e.g. my friend drinks so I will also start drinking. ni tatizo la kutokuwa na msimamo/kutojitambua ambalo huwaponza wengi
Je tukiangalia urafiki ambao haujaundwa kwa ajili ya benefit yoyote?Mie sikubaliani na hizo kauli....
"Ndege wenye wafananao huruka pamoja"
"Nioneshe rafiki zako nitakwambia tabia zako'
Nakataa kwa sababu hii, unnaweza jenga urafiki ili upate kitu fulani either biashara au kazi.
Mfano 1. Kuna watu wanaofanya research katika mazingira magumu kama katikati ya machangudoa na mateja. Ili kufanikisha kazi yako kitu cha kwanza unajenga urafiki ndipo utapata data za kutosha. Hii haimaanishi ukiwa na urafiki na watu kama hao utaiga tabia zao.
Mfano 2. Kuna watu wanaotafuta tender mbalimbali na ili kupata hizo tender hujenga urafiki na hao wanaozitoa tender hizo haijalishi wana tabia gani, ili mradi tu afanikishe adma yake.
Hivyo basi kuna urafiki mwingine huwa ni kwa kusudi maalumu. Nakuwa na rafiki huyu kwa sababu ninahitaji kitu.kutoka kwake na sio FRIENDS WITHOUT BENEFIT....
kwa mfano rafiki yako ni mwizi.... na wewe kweli unalijua hilo, lakini mna mambo mengi tu ambayo mnaendana kasoro hilo la wizi. Je na wewe utajiingiza kwenye wizi sababu rafiki yako ni mwizi?Kwanza ni kujua hizo tabia ambazo wengine wanaziita mbaya ni zipi, Yawezekana mtu hampendi mtu akasema anatabia mbaya hivyo anataka na wewe usiongozane naye wakati wewe hujakwazika na hizo tabia zake.
Mimi naamini kuwa tabia ni mtu hasa unapokuwa mtu mzima kwa watoto kwa sababau wanajifunza then inategemea mzazi anataka mwanawe awe wa aina gani hapo anweza muepusha na vijiwe anavyoona havifai. but mtu mzima ni ngumu kuiga atakuwa ameamua kuwa hivyo, au alikuwa hivyo hakujionyesha mapema.
Nguo uivaayo ndiyo ikutambulishayo...
:biggrin: :biggrin: ha ha. nimecheka sana
"friends with benefits" means urafiki wenye 6x6.Je tukiangalia urafiki ambao haujaundwa kwa ajili ya benefit yoyote?
that question has been answered before.He he he, unapenda mshedede?
sikuwa na maana hiyo...."friends with benefits" means urafiki wenye 6x6.
that question has been answered before.
Hili suala la marafiki lina negative na positive...Jamani tumesalimika ndugu zangu?
Nina hili jambo huwa naliwaza sana na labda sielewi kwa nini watu wengi wana mtazamo tofauti na ninavyoamini mimi...
Ni hili swala la marafiki wa kuambatana nao (hapa naongelea marafiki wa kawaida tu na siyo wapenzi).
Watu wengi wanasisitiza sana watu wasiambatane na marafiki wenye tabia "mbaya" kwa sababu wanazozijua wao. na hili limenichanganya zaidi baada ya kulisikia jana kwa mtu ambaye sikutegemea angewaza hivi.
Mimi naamini unaweza kuwa na marafiki wenye hizo tabia na wewe usiwe/usiige hizo tabia zao.
Labda mimi sielewi mtu mzima unawezaje kuwa influenced na tabia ya mtu mwingine ambayo unaona siyo nzuri?
NOTE: HII NAONGELEA WATU WAZIMA AMBAO WANAJUA KUTOFAUTISHA JEMA NA BAYA, TUSIHUSISHE WATOTO KATIKA MJADALA HUU
binafsi huwa siamini dhana hii kwa mtu ambaye ni mzima na anautashi wake, ila tu hili linaweza kwa watoto ama wanafunzi.
mfano sio kwamba marafiki zangu wote nilionao wanatabia njema ila wapo ambao nawajua kabisa tabia zao ni mbaya na kuwa rafiki yao mimi natumika sana kuwarudisha kwenye mstari kila iitwapo leo.
mara nyingi sana ni vyema kumrekebisha mtu mwenye tabia mbaya kwa kuwa rafiki yake na kila siku akajifunza jambo toka kwako ama kwa kukusudia ama wakutokukusudia.
mf, ninaye wifi yangu ni MD sasa anapoishi kuna kijana mmoja mzazi wake alikuwa mkuu wa wilaya na sasa ni marhem huyu kijana kwa kukosa mtu wa kumwongoza amekuwa ni mlevi wa kupindukia hadi anajikojolea. sasa wifi yangu huyu kawa rafiki wa huyu kijana kiasi kwamba hata kwake anakuja wanaongea na wanatoka nae kwenda kunywa nia ya wifi ni kumbadilisha so anapokunywa nae yeye wifi anakunywa malta kijana anakunywa bia ila ana muhesabia zikifika 3 anamwambia haya sasa tuondoke uende nyumban ukalalale, kweli kijana kwa kuheshimu urafiki wake kwa wifi ananyanyuka na kurudi home kabla hajalewa. mumewe wifi imebidi amchukue huyu kijana awe anaenda nae kwenye kazi zake as a friend ili tu abadilike na kuacha pombe kabisa. kwangu mm niliwapongeza sana nikamwambia wifi yangu atakuwa na baraka sana manake anabadili wale ambao jamii inawadharau na kuwatenga.
true, i was just explaining maana ya msemo wa "friends with benefits".sikuwa na maana hiyo....
ndo maana toka mwanzo nimezungumzia urafiki ambao sio wa kimapenzi.
benefits kama hizo za kupata data au tender na vitu kama hivyo
kwa mfano rafiki yako ni mwizi.... na wewe kweli unalijua hilo, lakini mna mambo mengi tu ambayo mnaendana kasoro hilo la wizi. Je na wewe utajiingiza kwenye wizi sababu rafiki yako ni mwizi?
dun worry. ntaweka thread hapa jamvini yakitokea mabadilikoHe he he, nilitaka kukonfemu
Labda kuna mabadiliko
hapo kwa RED ndo muhimu zaidi, kujitambua.....Hili suala la marafiki lina negative na positive...
Kwa maana ya kwamba unaweza kuwa na hao rafiki wenye tabia mbaya na wewe ndo ukawa mwokozi wao kuwa influence na kuwatoa huko.Pia unaweza ukawa wewe ndo umevutwa kwenye ubaya huo na ikala kwako.
Wanadamu tuna uwezo tofauti wa ku-adapt mazingira..Kwa hiyo inategemea nguvu yako ikoje na ipi ya kuwavuta watu waje kwako au wewe ndo unavutwa.Kila mtu anajua udhaifu wake.Hivyo ni busara kujipima mwenyewe na kuamua kuwa na rafiki huyo au laa.