Jiandae kwa first,second and third round selection!
Kwan TCU zipo ngapi?hivi vyuo ambavyo vimetoa selectn majina hayo yamefanyiwa final approval na TCU gan?actually this is drama
Vyuo vidogo hivo vinachukua 2.5 vyenyewe havinaga noma ya kuyapitia majina kwa sababu wingi wa wanachuo waliowapata ni faida kwao coz ada zao ni juu sana hivo kuwadisco ambao ni vitega uchumi huwa hawawezi ndo maana vimekuwa na kihelehele kuyaweka majina kwenye mtandao na kuwatumia sms wateja wao. Fikiria vyuo vikongwe kama mzumbe, udsm, sua, muhas, udom, aru, vimekaa kimya coz vinajua kwamba vinataka majembe ya daraja la kwanza mpk la pili tu so hakuna haja ya kuwapasha roho vijana wao
Vyuo vidogo hivo vinachukua 2.5 vyenyewe havinaga noma ya kuyapitia majina kwa sababu wingi wa wanachuo waliopata ni faida kwao coz ada zao ni juu sana hivo kuwadisco ambao ni vitega uchumi huwa hawawezi ndo maana vimekuwa na kihelehele kuyaweka majina kwenye mtandao na kuwatumia sms wateja wao. Fikiria vyuo vikongwe kama mzumbe, udsm, sua, muhas, udom, aru, vimekaa kimya coz vinajua kwamba vinataka majembe ya daraja la kwanza mpk la pili tu so hakuna haja ya kuwapasha roho vijana wao
Naunga mkono hoja
Flammable utaungaje mkono hoja wakati ww mwenyewe umechaguliwa hvyo vyuo wanavyoviita vya kata!! nakushangaaa.!! Me nimechaguliwa UCLAS lakin cwez nikaunga mkono hoja kama hiii
Acha dharau wewe hivi utajisikiaje hao unaowaponda wakija kukuzidi katika maisha na kusoma kwako vyuo vikubwa.....uchunguzi unaonesha wanaofaulu kwa kubahatisha ndo huwa na mbembwe za hovyohovyo kama zako hivi waliopata div 1 watu 388 na div 2 abt 5892 wangekuja huku na kujitapa kama wewe kungetosha huku..........find a hobby brthr majungu hayajengi
Naunga mkono hoja
Acha dharau wewe hivi utajisikiaje hao unaowaponda wakija kukuzidi katika maisha na kusoma kwako vyuo vikubwa.....uchunguzi unaonesha wanaofaulu kwa kubahatisha ndo huwa na mbembwe za hovyohovyo kama zako hivi waliopata div 1 watu 388 na div 2 abt 5892 wangekuja huku na kujitapa kama wewe kungetosha huku..........find a hobby brthr majungu hayajengi
Swali langu je hawa watu 8000 wataokosa vyuo! Watatoka kwenye 1st round, 2nd round, 3rd round selection! Na je vp kuhusu vile chuo ambavyo vimeshatoa majina ya wanachuo wakee?
Nilivyokuwa naelewa mm; 1st selection ilivyofanyika wenye sifa ya kupata course husika walizoomba walipata na majina yakatumwa vyuoni, waliokosa/walikataliwa na vyuo majina yakarudishwa ili wajaze 2nd round then nao waliopata majina yakatumwa chuoni i.e ndo maana chuo kama jordan kilishatoa majina yake ya wote waliochaguliwa 1&2 round! Kama kawaida waliokosa/waliokataliwa na vyuo husika awamu ya pili ndo wamepewa chance ya kujaza awamu ya tatu!! Swali je mbona wanaojazaa awamu ya tatu ni wachache(1922) kuliko wanaokisiwa kuwa watakosa vyuo (8000).! Hapo ndipo naposhindwa kuelewaa, naomba kueleweshwa..!
Acha dharau wewe hivi utajisikiaje hao unaowaponda wakija kukuzidi katika maisha na kusoma kwako vyuo vikubwa.....uchunguzi unaonesha wanaofaulu kwa kubahatisha ndo huwa na mbembwe za hovyohovyo kama zako hivi waliopata div 1 watu 388 na div 2 abt 5892 wangekuja huku na kujitapa kama wewe kungetosha huku..........find a hobby brthr majungu hayajengi
Noma saanaa! but nakumbuka last year wale wa udsm tulikuwa wa kwanza kupata posts kupitia hapa hapa jamvini!!!