Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,706
kaposwa pemba....Malaria Sugu yu wapi jamani
kaposwa pemba....Malaria Sugu yu wapi jamani
Dakika kama 10 zijazo matokeo yatatangazwa, nipo hewani na nitawafahamisha kinachoendelea hapa
KURA:
CHADEMA - 66,000+
CCM - 50,000+
CUF -12,000+
SORRY: Mnyika katangazwa mshindi lakini hata haisikiki tena, watu wanashangilia SANA kiasi sisikii. Tutaziweka figures sawa baada ya kuzipata na kuzinakili
Hawezi kujua kama rais wake asivyojua kwanini Tz masikiniHa ha ha ITV Masakoa anasema eti hajui mshindi ni nani? ha ha ha hajui ni nani alikuwa anazungumza
Mnaona Mtatiro alivyotaka kulipeleka jimbo kwa CCM.
Hawezi kujua kama rais wake asivyojua kwanini Tz masikini