Elections 2010 CONFIRMED: Jimbo la Ubungo: Matokeo yatangazwa, Mnyika ashinda!

Dakika kama 10 zijazo matokeo yatatangazwa, nipo hewani na nitawafahamisha kinachoendelea hapa

KURA:

CHADEMA - 66,000+
CCM - 50,000+
CUF -12,000+

SORRY: Mnyika katangazwa mshindi lakini hata haisikiki tena, watu wanashangilia SANA kiasi sisikii. Tutaziweka figures sawa baada ya kuzipata na kuzinakili

Hainanoma Invisible kura zimempata Mbunge mteule, hureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Jamani mimi nilikuwa nasikiliza radio na nimesikia Mnyika kapata kura 96,000 na siyo 66,000 naomba nisaidiwe, Urais hawakutangaza. Mwenye uhakika zaidi atusaidie. All in all mbuge wangu Mnyika hongera sana and you deserve it
 
Habari za uhakika kutoka loyola kituo cha kutangazia matokeo ya ubungo. John Mnyika ndiye mshindi na kwa sasa ni Mbunge mteule wa jimbo la ubungo.
 
Huraaaaaaaaaaaaaaaayyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy!!!!!! Wamebanaaaaaaaaaaaaaaaaaa, wameachia!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Hongera Mnyika, Hongera Chadema.
 
Pfuuuuuuuuuuu!!!!!!!
Swaaaaafiiiii sanaaaaaaaa!!!

Hongera Mnyika.
Hawa watu hawogopi nguvu ya Mungu!!!!!
 
Yeee yebo Hao CCM YEBOYEBO Eheee yebo kumbe CCM yeboyeo weraaa weraaa sitoi bila heraaaaa
 
Back
Top Bottom