Confirmed:hali tata kati ya Marekani na Ujerumani.

Confirmed:hali tata kati ya Marekani na Ujerumani.

Marekani wapuuzi sana,sasa wamenasa hadi faragha ya Merkel. Zile deka deka za kina mama kwenye simu n.k. Huyu mama atakuwa kavimba sana maana jamaa watakuwa wamemvua nguo.
 
Hizo ni story tu!

acha uvivu wa kutafuta data wewe na usikariri,kinaendelea ni kwel,na wamarekan wanamitambo ubalozini kwao pia ambapo ni karibu na makao makuu ya germany,
 
Mkuu aloycious ni kweli huyu mwana mama kavimba aswaa tena kakasirika alisema wiki hii atatuma timu ya wachunguzi kwenda NSA kuchunguza hili suala kwa makini ingawaje adi sasa Obama's regimes wamekataa kata kata kuwa hawausiki na kitu kama hicho.

Marekani wapuuzi sana,sasa wamenasa hadi faragha ya Merkel. Zile deka deka za kina mama kwenye simu n.k. Huyu mama atakuwa kavimba sana maana jamaa watakuwa wamemvua nguo.
 
acha uvivu wa kutafuta data wewe na usikariri,kinaendelea ni kwel,na wamarekan wanamitambo ubalozini kwao pia ambapo ni karibu na makao makuu ya germany,

Naomba ushahidi wa haya madai yako ili tuone mimi na wewe ni nani mvivu wa kufikiri!
 
Naomba ushahidi wa haya madai yako ili tuone mimi na wewe ni nani mvivu wa kufikiri!

Eiyer kwanza hi sio story ni habari

unataka ushahidi kitu kipo katika investigation?

kama ni wa bibi angela kuwa under surveillance by NSA

subiri team ya intelligence wa german wafanye investigation
 
Last edited by a moderator:
Eiyer kwanza hi sio story ni habari
Ni nini tofauti ya story na habari?
unataka ushahidi kitu kipo katika investigation?
kama ni wa bibi angela kuwa under surveillance by NSA
subiri team ya intelligence wa german wafanye investigation
Hii inaondoa maana nzima ya thread hii
Huyu jamaa amepata wapi uhakika wa kuja kusema hapa aliyosema?
Au anabahatisha tu?
 
mkuu najua kuwa katika hili suala linaeleweka kabisa haitaji ubishi wa mvua na jua kipi bora wala halitaji mtu kuwa na PHD kua jua kinachoendelea kwa sasa kati ya Germany and USA. Labda kama unapenda mabishano ila kitu kinajulikana jamani kaka mkubwa hope umenipata.

Huyu jamaa amepata wapi uhakika wa kuja kusema hapa aliyosema?
Au anabahatisha tu?[/QUOTE]
 
Kama ni ujasusi wa kiuchumi hio haina shida.....
Mkuu hapo umepatia, lengo kuu la USA dhidi ya Ujerumani na washirika wao i.e NATO ni la kiuchumi zaidi hasa hasa uhuzaji silaha na mitambo mikubwa kupitia kwenye tenda. USA ina kawaida ya kupeleleza washindani wake kibihashara ili ikitangazwa tenda yoyote Duniani wawe na uwezo wa kujuwa in advance wenzao wanasema nini, watatumia mbinu gani kufanya lobbing kwa potential WANUNUZI wa mitambo au silaha - USA ikisha kusanya taarifa zote hizo inakuwa ni rahisi wao kuwazunguka wenzao na kuwazidi kete.
 
Naomba ushahidi wa haya madai yako ili tuone mimi na wewe ni nani mvivu wa kufikiri!

unataka ushahidi gan kwan husomi vyombo vya habr,haya mi naishi huku huu mwaka wa nne,nakwambia kila kitu ni kwel,hakuna kilichopindishwa hapo.usikarir kila kitu,kibisha ili uonekane unajua kuandika humu ama et unahoja sana hapana
 
Wakuu uchunguzi umepamba moto baina ya wanausalama wa Ujerumani na Marekani katika kuchunguza udokozi wa simu ya Angela Merkel. Sijajua itakavokua hii drama.
 
unataka ushahidi gan kwan husomi vyombo vya habr,haya mi naishi huku huu mwaka wa nne,nakwambia kila kitu ni kwel,hakuna kilichopindishwa hapo.usikarir kila kitu,kibisha ili uonekane unajua kuandika humu ama et unahoja sana hapana

Vyombo gani vya habari?
Ulichokisema hapa hukijui?

Kama ungekuwa unakijua usingepata shida kuleta ushahidi hapa lakini unaleta blabla tu
Na kwa ushahidi huo inaonekana wewe ndie unaeleta blabla tu!
 
Mkuu hapo umepatia, lengo kuu la USA dhidi ya Ujerumani na washirika wao i.e NATO ni la kiuchumi zaidi hasa hasa uhuzaji silaha na mitambo mikubwa kupitia kwenye tenda. USA ina kawaida ya kupeleleza washindani wake kibihashara ili ikitangazwa tenda yoyote Duniani wawe na uwezo wa kujuwa in advance wenzao wanasema nini, watatumia mbinu gani kufanya lobbing kwa potential WANUNUZI wa mitambo au silaha - USA ikisha kusanya taarifa zote hizo inakuwa ni rahisi wao kuwazunguka wenzao na kuwazidi kete.

Wapendwa ieleweke hivi,any US espionage is for their economic interest and they have always been spying on their allies.What I know is that the US will never stop spying even to their allies because espionage has contributed a lot for them to be Super Power today hata hivyo US walijiandaa miaka Mingi sana iliyopita.
 
Kunusana imo kwenye Principles of International Relations. Kila nchi inafanya hili jambo. Jirani zetu Rwanda hawalali
mpaka wajui JK anafikiria nini.
 
kama kunusana imo kwenye principle of international relations according to you,its ok though its too subjective to believed it.

Kunusana imo kwenye Principles of International Relations. Kila nchi inafanya hili jambo. Jirani zetu Rwanda hawalali
mpaka wajui JK anafikiria nini.
 
Back
Top Bottom