bily
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 8,029
- 5,814
Hii ni kufuatia kudokolewa kwa mazungumzo ya Kansela wa Ujerumani Angeler Markell kwenye simu yake na shirika la NSA. La Marekani, mpaka sasa Balozi wa USA nchini Ujerumani ameitwa kujieleza,ila Obama na serikali yake wamekanusha taarifa hiyo. Je nini kitatokea wakati Umoja wa Ulaya ukikutana leo mjini Brussles Ubelgiji? Lets keep loading......
Source:BBC WORLD NEWZ.
Source:BBC WORLD NEWZ.