enhe! tujuze mkuu, inakuwaje hiyoHata hapa nchini kuna idara hiyo maalumu ambayo inafuatilia mawasiliano ya binadamu yeyote
Eee mola muweza wa yote!tunakuomba sisi tulio wanyonge ufanye namna taifa la marekani lianguke kama yalivyoanguka mengine mengi yaliyopita....e mungu utusaidie kutuepuhsa na hawa maagent wa shetani hawa wasifia maovu na washirika wake uwachanganye na kuwavuruga kama ulivyofanya pale babeli...amen
umbea mwingine sio mzuri. Sasa hiyo hali tata iko wapi? na mambo ya Ujerumani na USA yanatuhusu nini watanzania. Alafu vilaza vingine wanakusapoti
Ok mkuu Y. Nyerere ebu tujuze vizuri inavyokuwa kwani hili ni jambo nyeti sana kwa maslahi ya nchi yetu.
endelea kuota hivyo hivyo....
Kwamaslahi ya taifa langu naomba utambue hivyo nilivyosema,
Taifa lolote linazo idara za kijasusi na huwafuatilia watu wote wanaowatilia shaka, hasa kwenye simu, barua pepe, mienendo yake ya kila dakika, ikiwemo kupandikiza deep cover na kutambua lugha za mafumbo za majasusi,
Zingatia kuwa jasusi wa kigeni nae anambinu za kuwalamba chenga majasusi wetu
Kwamaslahi ya taifa langu naomba utambue hivyo nilivyosema,
Taifa lolote linazo idara za kijasusi na huwafuatilia watu wote wanaowatilia shaka, hasa kwenye simu, barua pepe, mienendo yake ya kila dakika, ikiwemo kupandikiza deep cover na kutambua lugha za mafumbo za majasusi,
Zingatia kuwa jasusi wa kigeni nae anambinu za kuwalamba chenga majasusi wetu
Hii ni kufuatia kudokolewa kwa mazungumzo ya Kansela wa Ujerumani Angeler Markell kwenye simu yake na shirika la NSA. La Marekani, mpaka sasa Balozi wa USA nchini Ujerumani ameitwa kujieleza,ila Obama na serikali yake wamekanusha taarifa hiyo. Je nini kitatokea wakati Umoja wa Ulaya ukikutana leo mjini Brussles Ubelgiji? Lets keep loading......
Source:BBC WORLD NEWZ.
Inamaana Marekani hawaamini hata washirika wake mpaka awe anawachunguza kiasi hicho au hofu yake hasa ni nini?
Trust, but verify!.Inamaana Marekani hawaamini hata washirika wake mpaka awe anawachunguza kiasi hicho au hofu yake hasa ni nini?
Ili iweje! Nenda kavae chupi ndo ulete hii sala zako.Eee mola muweza wa yote!tunakuomba sisi tulio wanyonge ufanye namna taifa la marekani lianguke kama yalivyoanguka mengine mengi yaliyopita....e mungu utusaidie kutuepuhsa na hawa maagent wa shetani hawa wasifia maovu na washirika wake uwachanganye na kuwavuruga kama ulivyofanya pale babeli...amen
troy ilikuwa dola gani na ilitawala nyakati zipi. Na misri iliwahi kuwa super power lini? Nenda kakojoe!Katika ubora wa watu kwa kauli yako hii inanionyesha wewe ni last class person...chochote hutokea ilianguka troy,ikaanguka misri, why not america labda wewe ni mpagani sitakulaumu