Condom zaadimika ghafla visiwani Zanzibar

Condom zaadimika ghafla visiwani Zanzibar

chagga land

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2015
Posts
394
Reaction score
95
Wadau shirika la habari la idhaa ya kiswahili la BBC limefanya utafiti na kuripoti kuwa kuna uhaba mkubwa sana wa condom katika visiwa hivyo.

Tafiti hiyo imeenda mbali zaidi na kuripoti kuwa, kutokana na kuongezeka kwa watu visiwani humo ambao wanaenda kwa shughuri mbali mbali pamoja na utalii ambao wanaweza kujihusisha na mapenzi lakini visiwa hivyo vimejikuta kuwa na idadi ndogo ya condom na hazitoshi kabisa kabisa!

Chanzo cha upungufu huo imesemekana kuwa jamii kubwa ya Zanzibar inaamini sana katika dini na hivyo kuwafanya hata wale wenye viduka vidogo kuogopa kuuza condom kwa sababu wanaona kuwa watachochea dhambi ya uzinifu.

Taarifa hiyo ikahusianisha hali ilivyo kwa upande wa Tanzania bara na visiwani kuwa upande wa bara kuna condom za kutosha na zingine huwa zinatupwa hadi barabarani na njiani. Taarifa imesema kuwa 99% ya maduka na viduka vya Bara yanauza condom.

Chanzo: BBC Swahili
 
Wanapigana kavu kavu kwahyo.!
 
Kuna haja ya kwenda na packets zako za kutosha ili kuondoa hofu wakati wa kulenga shabaha
 
shauri yao !
unajifanya mwana dini mchukia condom lakini mizigo unakula..
waache hiv iwatafune.
 
Maambukizi ya virusi zanzibar ni kidogo sana kuliko bara. Mallaya wengi kule wanatoka huku na kwenda kule kufanya uzinzi. So ni bora wakabeba makondom yao kwenye mabegi kuliko kwenda kuzurura hovyo mtaani na kutafuta zana za uzinzi.
 
kiwango cha ukimwi huku kwetu ni 0.09% na hata Malaya wengi watoka bara...mkitaka njoon nazo bt huku sie hatuziini
 
ZAnzibar spices tupe ukweli wa jambo hili, ni kweli kuna upungufu wa zana hii muhimu Zanzibar .
 
Zanzibar wageni wengi huwa wanawagegeda wahudumu Wa hoteli ....yaani wanapigwa sana dah
 
Nilishangaa kuna cousin yangu kaungua na anatumia dose ila alivyoenda huko Zanzibar akapata mume!
 
Nitathubutu kuuliza? Cousin mwenyewe mkubwa sana kwangu, naishia kuangalia tu.

Duuuh...! vibaya sana nifah, anyway nilitaka siku nyingi nawaza nikuombe wewe tuwe bwana na bibi au mmoja wa ndugu zako sasa kama yr cousin anajiamulia kumchinja....
 
Duuuh...! vibaya sana nifah, anyway nilitaka siku nyingi nawaza nikuombe wewe tuwe bwana na bibi au mmoja wa ndugu zako sasa kama yr cousin anajiamulia kumchinja....

Hahahaaaaa mkuu nimecheka sana!
Kiukweli kabisa hakuna familia ambayo haikosi aliyeungua, ni jambo la kumshukuru Mungu kama bado hujapata maambukizi.
 
Back
Top Bottom