KATASAN'KAZA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 3,097
- 1,356
Hahahaaaaa mkuu nimecheka sana!
Kiukweli kabisa hakuna familia ambayo haikosi aliyeungua, ni jambo la kumshukuru Mungu kama bado hujapata maambukizi.
Hataree...! Sikumanisha kuugua ni vibaya jinsi anavyokwenda bila tahadhari anaumiza watu huyo..! Ata kwetu my sister anaumwa but yeye anajulikana hivyo umma unajua labda mtu achague mwenyewe...! Nifa basi nitakuomba tuseal deal basi ila lazima tukahakikishe kwanza..!