Brother Wabe,
Piga ua,garagaza,buruza,tenganisha kichwa nk....oneday Mtatiro atakubaliana na usemi wa watu wengi "nami nikiwemo" wanaomwambia kuwa
cuf si mahala sahihi pake na anapoteza mda wake bure....na siku atakayozinduka toka kwenye usingizi huu wa pono,nina 70% huyu bwana ni
lazima atajiunga na wapambanaji wenzake ndani ya CDM.....kama mimi ni muongo TIME WILL TELL....i wish him all the best
Mkuu sisi ni binadamu kila tunachokifanya huwa tunaamua kwa utashi wetu na kwa sababu ya wakati uliopo na ujao
Tumetofautiana sana maamuzi yetu na maamuzi yeyote mazuri huja kwa extent ya ujuaji wa jambo hilo
Ila ni makosa sana kusema kuwa ukimwambia mtu fulani kuwa kuna jambo baya litatokea, basi ni lazima litokee au likitokea ni kwa sababu wewe umesema! naona ni mawazo uliyo nayo wewe , pasco na director.
Maamuzi ya sasa ya JM ndiyo yanayomfanya awe yeye vile alivyo....mmeona anavyojibu maswali
mkuu wewe umemaliza kabisa kwa kusema aende CDM, kisa CDM ni wapiganaji wazuri?? Kafulila ni mpiganaji m'baya? je si alikuwa humohumo CDM, what made him to leave the party?? wakati unazungumzia CDM as a party, CDM hakijajengwa na kujiunda kama chama, hakuna tofauti ya CDM, CUF,TLP,NCCR, .....vyote vina watu na ukitaka kuamini vizuri angalia CCM, vyama vingine vina-uccm ila kwa low extent!!
Ukija kwenye uhuru wa uchaguzi umepractise udikteta.....umemuogopesha, na umenuia mabaya yatokee CUF kwa sababu si umesema??
Ila tungekuwa na lengo moja na nguvu moja, tungechukuana vijana na kushikana mikono , haijalishi huyu wa chama gani, tumewatenga wengine kwa jina la chama fulani, tumejitenga na kuwaona wengine wasio upande wetu si wenzetu! hata pale tunapoona kabisa wanapigania maslahi ya nchi..ila kwa sababu si wanachadema basi kwishney! Chadema ni kila kitu !!
Tanzania tunaweza sisi wote pasi vyama vyetu tukafikia ukombozi wa kweli bila kujali matabaka na kuwa fulani yuko wapi
NCCR wakitoa tamko la kuipinga CCM jambo fulani...halipokelewi na wana CDM baadhi, ila statement ile ile akiitoa mwana chadema basi itapokelewa kwa mikono yote, bila kujali waliotoa statement wote lengo lao ni moja na wanaitakia mema TANZANIA
Julius baki CUF kwa sababu una sababu za kufanya hivyo, wengine humu hawana hata kadi ya chadema ila wanawaambia wenzao hivi na vile!
Ikifikia kwenda chadema uende tu, lakini naamini hautakwenda kwa sababu kuna watu kwenye thread hii wanasema unapoteza muda.
Let him be.....
Julius waambie kuwa
''And I am not afraid to try it on my own
I don't care if I'm right or wrong
I'll live my life the way I feel no matter what I'll keep it real
You know
Time for me to do it on my own''-WH
Akifikia muda wa kwenda chama kingine kama CCM... he will have learned from the best!!!!!!!!!!!