Mkuu inabidi uiformat kompyuta yako na uhakikishe unazifuta operating system zilizopo ndiyo utaweza ku-get rid ya hilo tatizo..
mkuu kwa jinsi nilivyofanya research sioni kama ni lazima kuformat
nafikiri kuna njia ya kuondoa operating sysytea ile ya zamani na kuacha mpya
nawaomba wataalam mje mtusaidie
[boot loader]
timeout=30
default=multi(0)disk(0)rdisk(0)partition(1)\WINDOWS
[operating systems]
multi(0)disk(0)rdisk(0)partition(1)\WINDOWS="Windows XP Professional" /fastdetect
multi(0)disk(0)rdisk(0)partition(2)\WINNT="Windows 2000 Professional" /fastdetect
Kuna jisni ya kwenda ku edit file linaitwa BOOT.ini .
Unaweza kusoma hapa How to edit the Boot.ini file in Windows XP
Kama utakuwa hujaelwa i nini cha kuondoa copy and paste conetent utakazo kuta kwenye hilo file la boot.ini ili uelekezwa nini cha kuondoa.
mfano halisi wa boot .ini ya XP uko katika format hii
PHP:[boot loader] timeout=30 default=multi(0)disk(0)rdisk(0)partition(1)\WINDOWS [operating systems] multi(0)disk(0)rdisk(0)partition(1)\WINDOWS="Windows XP Professional" /fastdetect multi(0)disk(0)rdisk(0)partition(2)\WINNT="Windows 2000 Professional" /fastdetect
unaweza kusoma smore detail kuhusu boot.ini hapa NTLDR - Wikipedia, the free encyclopedia.
NB
usijaribu tu kubatisha kufuta bila kuelewa .OS inaweza kuwa unbootable
Kuna jisni ya kwenda ku edit file linaitwa BOOT.ini .
Unaweza kusoma hapa How to edit the Boot.ini file in Windows XP
Kama utakuwa hujaelwa i nini cha kuondoa copy and paste conetent utakazo kuta kwenye hilo file la boot.ini ili uelekezwa nini cha kuondoa.
mfano halisi wa boot .ini ya XP uko katika format hii
PHP:[boot loader] timeout=30 default=multi(0)disk(0)rdisk(0)partition(1)\WINDOWS [operating systems] multi(0)disk(0)rdisk(0)partition(1)\WINDOWS="Windows XP Professional" /fastdetect multi(0)disk(0)rdisk(0)partition(2)\WINNT="Windows 2000 Professional" /fastdetect
unaweza kusoma smore detail kuhusu boot.ini hapa NTLDR - Wikipedia, the free encyclopedia.
NB
usijaribu tu kubatisha kufuta bila kuelewa .OS inaweza kuwa unbootable
Mkuu tengeneza partition mbili tofauti kama currently ushaweka os moja 2mia partition tool hii hapa kugawa partition nyingineJamani wakuu Naomba tip Nataka Kuweka windows xp na windows 7 kwenye Machine Moja Inakuwaje? na nataka niwe na uwezo wa kuchagua kutumia xp au windows 7
Jamani wakuu Naomba tip Nataka Kuweka windows xp na windows 7 kwenye Machine Moja Inakuwaje? na nataka niwe na uwezo wa kuchagua kutumia xp au windows 7
@Davies_007 + MashaJF yeah yanini kudownload partion software wakati tayari anazo OS cd chakufanya Anza Windows xp make partion then muweke mkongwe windows 7 thats enough no need of another software coz thing will be complicated:::::::::::::::::wakati computer simplifies works
Ndugu kama ulivyosema hapo mchizi atapata windows xp mode katika os yake ya windows 7 lakini hato pata full features of xp thats y anataka dual boot. Hii kitu kama ingekua inarun kama paradox parallel desktop ya mac hapo sawa.Windows 7 yako ni ipi? Kama ni Proffesional au Ultimate hukuna haja ya kuwa na partitions mbili kama watu walivyosema hapo juu..unawea kutumia kitu kinaitwa Vitual PC 2007, search kwenye google au microsoft website.
WIndows 7 inakuruhusu kuinstall virtual PC with XP mode ambayo itafanya uchague kutumia windows 7 au XP wakati wowote.
Windows Virtual PC: Home Page
Usisahau kugoogle na kusoma hiyo technology kabla ya kujaribu kuimplement, ukikwama usisite kurudi
Jamani wakuu Naomba tip Nataka Kuweka windows xp na windows 7 kwenye Machine Moja Inakuwaje? na nataka niwe na uwezo wa kuchagua kutumia xp au windows 7