papatunde jr
Member
- Jun 30, 2016
- 56
- 33
Wakuu a.aleykum
Selection za chuo zimetoka nimepata computer science ifm,kwangu naona sawa kwa sababu ya kukua kwa teknolojia hivyo demand ya wataalamu itaongezeka,tatizo napata upingamizi mkubwa toka kwa ndugu wakinipa sababu tofauti pasipo kutaka kujua kitu gani ninachokipenda, naomba mitazamo yenu wakuu,computer science ni sahihi kwangu?
Selection za chuo zimetoka nimepata computer science ifm,kwangu naona sawa kwa sababu ya kukua kwa teknolojia hivyo demand ya wataalamu itaongezeka,tatizo napata upingamizi mkubwa toka kwa ndugu wakinipa sababu tofauti pasipo kutaka kujua kitu gani ninachokipenda, naomba mitazamo yenu wakuu,computer science ni sahihi kwangu?