Competence of muccobs graduate!

Nadhani, ni vyema kabisa tunapochangia kuangalia matumizi ya lugha, la sivyo uchangiaji utakosa maana kabisa!! Kwa nini uandike lugha inayochanganya?? Je, unamaana gani?? Ukiaandika Kiswahili, andika Kiswahili, km unaandika Kiingereza andika Kiingereza!! Tuache mara moja kulete utani wa kijinga!!

Mchango wangu: Ubora wa elimu katika chuo upo katika mitaala yake!! Kuna vyuo hapa TZ ni mzigo kabisa, hata wahitimu wake wanapata shida sana kuajiriwa!! Sina hakika sana km Akiba commercial bank wanapendelea zaidi Muccobs!! Mabenki mengi, wahitimu wanaopata kazi kirahisi sana ni IFM, Mzumbe University kwani wapo kifani zaidi na wamepikwa haswa!! Siyo watu wa madesa sana!! Hatari ipo CBE, TIA hao hakuna kitu!! Labda DSA ya zamani, walikuwa bomba sana, walipikika haswa, ila TIA ya sasa ni usanii mtupu!! Hakuna kitu!!
da cjakuelewa unapenda 2situmie lugha mchanganyiko mbona wew umetumia Mzumbe university c ungesema chuo kikuu cha mzumbe da ila kwel mambo yapo. Alafu we inaelea ulisoma zaman sana naona umekariri vyuo na unaupendeleo . Fikra na mawazo yako niya kikoloni hekima na busara unazo ila una ubinafsi , lakn thanx kwa mchango wako japo kwa sehemu ndogo sana
 
ukitaka kujua check digrii ya procurent na sehemu walipo wana muccobs hazina na sehemu mbal2 so c akib2. Ubora uko juu

Vilaza wote niliowakimbiza form six walikwenda Ushirika,na mm nikagombewa na UD na Mzumbe...hakuna k2 hapo na akiba benki inayowalipa laki tatu nyinyi ma benki teller c benki ya kuisifia
 
Vilaza wote niliowakimbiza form six walikwenda Ushirika,na mm nikagombewa na UD na Mzumbe...hakuna k2 hapo na akiba benki inayowalipa laki tatu nyinyi ma benki teller c benki ya kuisifia

Taratibu wasomi,mambo gani tena haya?
 
Hapa mjadala ni nini hasa.........

Sisi tuliosoma shule za kata hatujui mnajadili nini hapa.....hebu nifafanulieni hasahasa, hapa ni mjadala wa compentence ya digrii ya MUCCOBS au ya mwenye degree ya MUCCOBS?
 
Hapa mjadala ni nini hasa.........


Sisi tuliosoma shule za kata hatujui mnajadili nini hapa.....hebu nifafanulieni hasahasa, hapa ni mjadala wa compentence ya digrii ya MUCCOBS au ya mwenye degree ya MUCCOBS?


Hapa mi sielewi kabisa,......nahisi kama vile muanzisha thread ametaftia style ya kutokea JF na kuongeza idadi ya post.....naona vimipasho fulani tu hivi.....
 
Hapa mjadala ni nini hasa.........

Sisi tuliosoma shule za kata hatujui mnajadili nini hapa.....hebu nifafanulieni hasahasa, hapa ni mjadala wa compentence ya digrii ya MUCCOBS au ya mwenye degree ya MUCCOBS?

Kwanza kirefu cha MUCCOBS ni nini? hapo mie ndio pa kuanzia. Assist me Dada Blessing halafu na hili swali la Asprin.
Blessed!
 
Kwanza kirefu cha MUCCOBS ni nini? hapo mie ndio pa kuanzia. Assist me Dada Blessing halafu na hili swali la Asprin.
Blessed!
sor am he! Muccobs (moshi university college of co-operative and business studies) zen lengo na madhumuni c kujiongezea post bali ni kushare ideas bt kuna watu humu wanadharau bt 4 mi kwa umri wang naamin hekima na heshima ya mtu c umri bali ni fikra na mchango wake katika jamii. Thanx belina jac
 
Taratibu wasomi,mambo gani tena haya?
mmmh kwel usomi wako shida kwel had leo bado unashindana coz 4 mi naamini ukiwa umejiunga chuo tu cha gvt achana na hv vya private ni mtu wa kuheshimika kama msomi so we unaleta vya uform six kama uliiba paper 2tajuaje c kipimo hicho
unaona sasa umesoma hujaelimika ndo wakukariri hawa
 
what next, Akiba wanataka cheap labour na wanaogopa wanafunzi wa udsm na mzumbe waliosoma accountsa coz wanasema hawadumu kazini, ni watu wa mishe mishe sana

Graduate wa Mzumbe, IFM, UDSM, akikaa miaka miwili ujue dau linapanda mpaka zaidi ya milion moja, halafu waajili wote macho yao kwa hawa graduate (Ila ni kwa wale haswa wenye GPA nzuri), kwa hiyo MUCCOBS inawezekana wakapendelewa kutokana na kutulia kazini ndiyo maana hata bank zingine zinapenda graduate wa SUA kwa sababu huwa wao wamesoma shule isiyokuwa na soko i.e agri...., kwa hiyo mtu kama huyo ukimuajili hana pa kwenda, ataenda wapi??? na hilo li agri,...., lakini wa UDSM, Mzumbe, IFM, e bwana wanatafutwa kinoma na wanabadilisha kazi kila baada ya muda fulani kutafuta masilahi zaidi. Kwa ufupi graduate wa SUA maisha magumu so hawawezi kuhama, hama, na employee nakubali kuingia gharama kuwatrain, lakini faidi ni ile uwepo kazini muda mrefu.
 
mmmh kwel usomi wako shida kwel had leo bado unashindana coz 4 mi naamini ukiwa umejiunga chuo tu cha gvt achana na hv vya private ni mtu wa kuheshimika kama msomi so we unaleta vya uform six kama uliiba paper 2tajuaje c kipimo hicho
unaona sasa umesoma hujaelimika ndo wakukariri hawa

Kijana mbona unakuwa mmbishi kukubali kama nyie washirika ni viraza..kuwa mkweli,haukufanya application Mzumbe na UDSM ukatoswa ndo ukakimbilia huko MUCOWAPS UNIVERSITY?
 
unajua promotion wew, kama hujui ngoja nkwambie unaweza uka2mia advertisement cja2mia hapa ni haja mchanganyiko, public relation cja2mia, direct selling cja2mia na last personal selling cja2mia sa ni promo ipi kaka, au hujui matumiz ya promo

usinifundishe mktn afu mktn ya form 6 hapa,afu mktn yenyewe huijui,ulikuwa unameza tu.sasa nimeproove we ni kilaza mwanzo mwisho,MUCCOBS wanachukua vlaza na wanaproduce vlaza.
 
Graduate wa Mzumbe, IFM, UDSM, akikaa miaka miwili ujue dau linapanda mpaka zaidi ya milion moja, halafu waajili wote macho yao kwa hawa graduate (Ila ni kwa wale haswa wenye GPA nzuri), kwa hiyo MUCCOBS inawezekana wakapendelewa kutokana na kutulia kazini ndiyo maana hata bank zingine zinapenda graduate wa SUA kwa sababu huwa wao wamesoma shule isiyokuwa na soko i.e agri...., kwa hiyo mtu kama huyo ukimuajili hana pa kwenda, ataenda wapi??? na hilo li agri,...., lakini wa UDSM, Mzumbe, IFM, e bwana wanatafutwa kinoma na wanabadilisha kazi kila baada ya muda fulani kutafuta masilahi zaidi. Kwa ufupi graduate wa SUA maisha magumu so hawawezi kuhama, hama, na employee nakubali kuingia gharama kuwatrain, lakini faidi ni ile uwepo kazini muda mrefu.
ona nae huyu competence ya mtu haiko kweny gpa unaweza ukawa unakariri, sa hao watu wa udsm na ifm mbona wamejaa mtaani wanawatafuta wap kenya?
 
Kijana mbona unakuwa mmbishi kukubali kama nyie washirika ni viraza..kuwa mkweli,haukufanya application Mzumbe na UDSM ukatoswa ndo ukakimbilia huko MUCOWAPS UNIVERSITY?
mmmh kuna kazi hapa, chuo ilikuwa preference ya mtu , ckutegemea na ctarajii kama graduate kama wew ukawa na short minded kama hizo, lakin ndo wasomi wenyew hao, inaelekea ukiambia chuo kikuu unajua mlimani tu pole sana
 
usinifundishe mktn afu mktn ya form 6 hapa,afu mktn yenyewe huijui,ulikuwa unameza tu.sasa nimeproove we ni kilaza mwanzo mwisho,MUCCOBS wanachukua vlaza na wanaproduce vlaza.
cko kwa ajili ya kubishana wala kumkashifu mtu, wala kumdharau, mawazo yako ndivyo yalivyo nikuache labda kesho utakuwa na busara na uelewa kwa sasa ongeza umri kidogo labda hekima na busara utapata kwa wakubwa
 
Back
Top Bottom