Blessingme
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 250
- 52
- Thread starter
- #41
da cjakuelewa unapenda 2situmie lugha mchanganyiko mbona wew umetumia Mzumbe university c ungesema chuo kikuu cha mzumbe da ila kwel mambo yapo. Alafu we inaelea ulisoma zaman sana naona umekariri vyuo na unaupendeleo . Fikra na mawazo yako niya kikoloni hekima na busara unazo ila una ubinafsi , lakn thanx kwa mchango wako japo kwa sehemu ndogo sanaNadhani, ni vyema kabisa tunapochangia kuangalia matumizi ya lugha, la sivyo uchangiaji utakosa maana kabisa!! Kwa nini uandike lugha inayochanganya?? Je, unamaana gani?? Ukiaandika Kiswahili, andika Kiswahili, km unaandika Kiingereza andika Kiingereza!! Tuache mara moja kulete utani wa kijinga!!
Mchango wangu: Ubora wa elimu katika chuo upo katika mitaala yake!! Kuna vyuo hapa TZ ni mzigo kabisa, hata wahitimu wake wanapata shida sana kuajiriwa!! Sina hakika sana km Akiba commercial bank wanapendelea zaidi Muccobs!! Mabenki mengi, wahitimu wanaopata kazi kirahisi sana ni IFM, Mzumbe University kwani wapo kifani zaidi na wamepikwa haswa!! Siyo watu wa madesa sana!! Hatari ipo CBE, TIA hao hakuna kitu!! Labda DSA ya zamani, walikuwa bomba sana, walipikika haswa, ila TIA ya sasa ni usanii mtupu!! Hakuna kitu!!