Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,345
kuwa na heshima kwa wakubwa zako wewe!
Ukubwa sio ndevu kaka Uswe, sasa kama mkubwa anasema pumba asikosolewe?
kuwa na heshima kwa wakubwa zako wewe!
ukitaka kujua check digrii ya procurent na sehemu walipo wana muccobs hazina na sehemu mbal2 so c akib2. Ubora uko juupeleka this crap kwenye jukwaa la elimu,yani nimegundua vibenki vingine havipigi hatua coz wana upendeleo wa kijinga,wanafunzi wa muccobs wataendelea kujaza ujinga wao AKIBA,na haka ka benki kataendelea kubaki nyuma 2.
uelewa wako mdogo rudi kwenye heading coz ni ishu ya sanaa ya uandishi, pole kwa kutokuelewaHivi mwanzisha thread alikuwa na ujumbe gani ?.Tukianzia hapo labda tutapata cha kuchangia.
Ni graduate wa muccobs
degree ya nini???!!ukitaka kujua check **digrii ya procurent** na sehemu walipo wana muccobs hazina na sehemu mbal2 so c akib2. Ubora uko juu
no sisy c matangazo jct kushare idea 2, kuna wa2 wanazan mi mgen c mgeni kuna jina nlikuwa nali2mia la jobless so nmeliacha coz nmepata kazi sa naitwa blessingme. Huoni kama inapendeza sisy thanxhuyo mtu wa jana ulimjibu haya? Kama ulimjibu sidhani kama kulikuwa na haja ya kuanzisha tena thread otherwise kama upo kwenye matangazo.
procurement nime2mia abbrvtn oooh sisy na wewdegree ya nini???!!
unajua promotion wew, kama hujui ngoja nkwambie unaweza uka2mia advertisement cja2mia hapa ni haja mchanganyiko, public relation cja2mia, direct selling cja2mia na last personal selling cja2mia sa ni promo ipi kaka, au hujui matumiz ya promohuyu jamaa anajaribu kuipa promo muccobs lkn wap?nyie mtaendelea kuajiriwa na akiba 2 period
no sisy c matangazo jct kushare idea 2, kuna wa2 wanazan mi mgen c mgeni kuna jina nlikuwa nali2mia la jobless so nmeliacha coz nmepata kazi sa naitwa blessingme. Huoni kama inapendeza sisy thanx
procurement nime2mia abbrvtn oooh sisy na wew
huyu jamaa anajaribu kuipa promo muccobs lkn wap?nyie mtaendelea kuajiriwa na akiba 2 period
kaka umbea ha2taki evidence pleaz, hv kwel inawezekana na Tcu waangalie tu, pale kuna diploma, na certificate labda certificate, ila ckatai tcu inaruhusu tutorial asst kufanya seminer kwa digrii sa we huelew au umbea2Nina wasiwasi na graduates wa MUCCoBS wanaofundishwa na mtu mwenye degree moja
Nina rafiki yangu anasoma pale mwaka wa 2 analalamika kufundishwa na vilecture uchwara vyenye degree moja tena vimemaliza 2 years backkaka umbea ha2taki evidence pleaz, hv kwel inawezekana na Tcu waangalie tu, pale kuna diploma, na certificate labda certificate, ila ckatai tcu inaruhusu tutorial asst kufanya seminer kwa digrii sa we huelew au umbea2
cko akiba, niko vizur tu hayo unayoomba hayata ni pata coz hekima na busara zi juu yanguyaelekea jamaa hata alipokuwa kwenye hicho chuo alikuwa anajaribu kuisifia previous school aliyotokea. maana yaelekea kapata kazi akiba kakisifia MUCCoBS na akipata Redundancy sijui ataisifia akiba bank au ataiponda! ngoja wadau tusubiri yatakayojiri
ndo maana nmekwambia hujui na aliekwambia hayo c mkweli coz mtu mweny digrii 1 hawez akawa lecture ni tutorial asst so huwez ukawa umemaliz miaka miwil ukawa lecture wew na yey hamjielewNina rafiki yangu anasoma pale mwaka wa 2 analalamika kufundishwa na vilecture uchwara vyenye degree moja tena vimemaliza 2 years back
cko akiba, niko vizur tu hayo unayoomba hayata ni pata coz hekima na busara zi juu yangu
Hello jf members! Ni matumaini yangu mko safi kabisa na mchakato wa katiba. Maana hili ni jambo zuri na la maendeleo kwa watanzania 2liokuwa 2naonewa sana kwa miaka mingi. Napenda kutoa rai kwamba 2silale hadi kieleweke, naona maji yamewazidi kimo: kwa leo ningependa kuwahamisha kidogo maana jana kuna m2 aliweka post yake kwamba kwanin akiba commercial bank wanawapenda sana muccobs graduate? 1) tanzania vyuo vilivyotangulia kuanzishwa ni udsm na mwaka 1984 sua, so naamini kwa wakati huo hadi sasa ubora wa vyuo hv uko juu achana na vyuo vya kisiasa. Thats y 2navikubari na 2taendelea kuvikubali 2) muccobs ni branch ya Sua na kwa hiyo every thing come from Sua, so in this case ukichanganya kwamba chuo hichi kilikuwa cooperative college tangu miaka ya 1960 so they know what organiztn needs , when they need, how to produce , etc, so in dis case help them 2 produce acceptable people. Hata ukiwachunguza hawa wa2 ni wachache na wana uwezo kama watu waliotoka sua. Nawakilisha