Compare and contrast: CCM vs CHADEMA

  1. Kuna tofauti ya kumhukumu mtu na kutomkubali/muamini... Siwa hukumu kabisa CDM ila naongea from vile niwaonavo... Najua kabisa kua wao wanafaa kuliko CCM... Lakini mimi kujua hilo halinifanyi nikubali/niamini kua wako genuine au lah... Naweza nisijihusishe na mambo ya Siasa but kama mmoja wa wananchi in a time Tanzania iko katika hali ngumu mno inanifanya niwe interested hasa na Vyama hivi viwili ambavo in one way or another wana nafasi kubwa ya kuweza kuturudisha katika mstari - suala ambalo tayari limethibitishwa na CCM kua wao wamejitoa katika list kwa kushindwa... Note that nasema ni Wanasiasa in the sense kua pamoja na kwamba woote wako katika an umbrella ya for the betterment ya jamii, woote matendo na baadhi ya maazuzi yao, huonesha they are not genuine...
  2. Amini usiamini CDM leo wakipata Uongozi wa nchi hii sio kwamba maisha ya majority Tanzanians yataboreshwa (tulipowekwa hapa na CCM... aah! I am telling you itachukua mda kwa changes kumfikia yule Mtanzania halisi - acha walochakachuliwa na yuko kwa ajili yake... namsema Mtanzania wa Kijijini... ambae needs change the most....) Cha kwanza kabisa CDM itatupa nguvu zake zoote katika kuhakikisha mafisadi woote waadhibiwe (na i hope watafanya the Egypt's way i.e Mubarak) by the time wanakuja kuanza kufikiri what to do kuhusu a common mwananchi - awamu ya pili....
  3. Imani Mkuu plays a role katika kuface future... hivi unafikiri kama Wantanzania woote walokata tamaa wangekua wamekata kabisa mpaka wamekata HOPE... Pangekalika hapa... Unasema Imani ni kitu kingine... Mkuu yoote yanayotokea saizi katika kila important aspect ya maisha.. Umeme, maisha kupanda in all basic related things.... Wanachi wakate tamaaa kabisa hawana HOPE... Nakwambia patachafuka!! Narudia huu msemo nishawahi sema hapo nyuma... Saizi wahusika hasa CCM waweza ona kama ni mzaha na the current pressing issues zinasolvika...BUT ukweli ni kua tumekalia bomu ambalo laweza lipuka na kuharibu kabisa au likawa dysfunctional kutegemea na hii serkali ya sasa itachukua hatua gani...

Nadhani tunaelewana ingawa tunaitazama CHADEMA kutokea angle tofauti.

Hatuwezi kuwa na vyama vya siasa ambavyo si vya wanasiasa, kwahiyo ccm na chadema ni wanasiasa lakini ni muhimu kuzingatia kwamba hawa ni wanasiasa wasiofanana kimtazamo na kiitikadi.

Off course kupambana na mafisadi lazima itakuwa ni top agenda ya chadema ikichukua madaraka ya hii nchi ili kurudisha nidhamu kwa viongozi wa umma waweze kujua kwamba wako kwa ajili ya maslahi ya wananchi wote na si kwa maslahi yao binafsi.

Mwananchi wa kawaida atanufaika kwa huduma bora zitakazotolewa na serikali yao; kuanzia huduma za afya, elimu, usafiri, haki, miundombinu na mengi mengineyo ambayo chini ya ccm na miaka 50 ya uhuru bado sehemu kubwa ya wananchi wanahangaika walau kupata mlo mmoja kwa siku na haki zao za kiraia zimewekwa rehani.
 
I wonder whether Slidingroof is really making a fair comparison between CCM and CHADEMA, when it comes to bunge perfomance. Anasema "bunge has lost its role as a chamber that can have significant effects upon legislation" I would ask Ms/Mr Slidingroof what party has caused all this, ccm or cdm? More than three quarter of the MPs is made up of those scums from ccm and these are the ones controlling and affecting the bunge perfomance. the picture of our Cabinet is reflected through them. I would not blame cdm for what is happening now in the house. Anyway chama chochote lazima kiongozwe na watu, whether they are originating from the same social or political background lakini dhamira yao kuhusu watu wanaotaka kuwaongoza is all what matters most. Kwangu naona dhamira ya ccm ni tofauti kabisa na ya cdm, na tukitaka kulijua hilo tuwape kwanza nafasi ya uongozi kama tulivyowapa ccm. Ukiwahukumu tu hivihivi huwatendei haki. (Almost every man can stand adversity, but if you want to test one's wisdom give him power)
 
You can quote me: Kinachonitisha sasa hivi siyo wazee wanaoachia madaraka, au wazee wanaong'ang'ania madaraka; ni vijana wanaotaka madaraka! Siyo kutaka madaraka tu bali kuhakikisha wanapata madaraka kwa njia yoyote ile. Na hakuna njia inayonitisha zaidi kama ya kujipanga kushika madaraka kwa njia yoyote. We have already been there (ya kina Kikwete) na tufanya makosa makubwa tukirudia njia hiyo. Kama kuna kitu cha kuangalia ni vijana. I really mean that. Naamini kundi kubwa la vijana waliopo sasa wanahitaji angalau miaka 10 mbili kabla hawajaanza kudhaminiwa madaraka makubwa zaidi.

Kuna vijana waliingia kwenye taifa in the 1960s, and oh my Gosh where they took us.

Mwanakijiji thanks for the observation, please could you elaborate a bit on hao vijana??
 
I wonder whether Slidingroof is really making a fair comparison between CCM and CHADEMA, when it comes to bunge perfomance. Anasema "bunge has lost its role as a chamber that can have significant effects upon legislation" I would ask Ms/Mr Slidingroof what party has caused all this, ccm or cdm? More than three quarter of the MPs is made up of those scums from ccm and these are the ones controlling and affecting the bunge perfomance. the picture of our Cabinet is reflected through them. I would not blame cdm for what is happening now in the house. Anyway chama chochote lazima kiongozwe na watu, whether they are originating from the same social or political background lakini dhamira yao kuhusu watu wanaotaka kuwaongoza is all what matters most. Kwangu naona dhamira ya ccm ni tofauti kabisa na ya cdm, na tukitaka kulijua hilo tuwape kwanza nafasi ya uongozi kama tulivyowapa ccm. Ukiwahukumu tu hivihivi huwatendei haki. (Almost every man can stand adversity, but if you want to test one's wisdom give him power)

Thanks mkuu kwa maelezo yako mazuri.

Hapo kwenye red; hiyo ndiyo silaha pekee waliyobakia nayo watu wa ccm kwa ajili ya kuwalaghai watanzania. Wamejaribu kutumia silaha nyingi walizokuwa nazo sasa zimekwisha na wamebakiwa na hiyo moja tu ya kuwatia uwoga wananchi.

Lakini kwa hali ilivyo, tunalazimika kuipigania chadema ili iwakomboe wananchi wa nchi hii toka kwenye makucha ya udhalimu wa ccm.
 
Magwanda and Magamba, the same enimies! Every who streches skin on drum, pulls the skin own his own side
 
mbowe+vs+kikwete.jpg


Errrm..there isnt much really. Both parties are led by a bunch of elitists who are out of touch with a common man (Mwananchi wa kawaida), the current Bunge has shown politics are fundamentally in decline, with the two of our major parties (CCM & their twins CHADEMA) have done nothing but re-invented themselves as essentially support machines for their cronies or leaders of the opposition. The ongoing fiascos in Dodoma has shown us the true colours of our elected & (un elected) MP's who see politics as a career and a refuge for talentless, visionless machine politicians from all ends of the spectrum, and the Civic United Front (CUF) are seen as a regional irrelevance (they were never relevant in the first place anyway)!

2011 Bunge session are evident that standards of our Parliamentary debate are at an all-time low; Cabinet government is in abeyance , Bunge has lost its role as a chamber that can have significant effects upon legislation, the Civil Service is politicised and de-professionalised, political power is now in the hands of a bunch of mediocre's who are trying to solve 21st Century problems using 18th Centrury methods, our commander in chief (who in my opinion resembles more Ibn Battuta than Marco Polo) and his "kitchen cabinet" of PR people and unelected advisor's are just out of touch of the "REAL EVENTS" on the ground when last week viwanda 7 vimefungwa Keko kwa sababu ya kukosekana kwa umeme! It's sobering stuff...

Then we have these quangos and agencies that no one even what the really do, the non accountable military complex, the big business, academia, and the rotten media....and all of these are ever-more-closely tied to the nexus of power in Magogoni. Hili tatizo la kukosa umeme for 3 days in a row, not only hurts the working class but also the middle class ambao hawawezi kua afford kununua diesel ambayo ime sky rocket and guess what? Ngeleja & his crew are still in office. Simply put; the President is currently running this country, with little reference to party, Parliament, or people.

These clowns (CCM & CHADEMA) are more interested in self promotions, cheap political point scoring and TUME ZISIZO KWISHA KILA KUKICHA. These lot live in a sealed world - like astronauts on an alien planet zogg, moving along their airlocked passages between a series of domes such as party machines, stupid "think-tanks", rubber stamp Parliament; irresponsible government; HAZINA bureaucracy; corrupt lobbyists, CON-sultancies and ever MICKEY MOUSE media, all within the giant dome of politics. They form a self-admiring, self-promoting coterie and although they can plot viciously against each other (as a cover up) they protect each other equally fiercely from any attack or criticism from the outside world, be it from JAMII FORUMS, WAZALENDO FORUMS,MWANAKIJIJIFORUMS,MZALENDO.NET,FACEBOOK, TWITTER, GOOGLE+ etc...these bunch care less about me, you and the have nots.

I'm sorry they are all the same (CCM&CHADEMA) there isn't any difference between the two. We need Plan B which wont involve these 3 main parties. Anyone?


Aaaaaa! In Tanzania there are many political parties apart from CDM and CCM, if you think and you believe that CDM and CCM can't make any difference why don't you try CUF, DP, UDP,TLP, NCCR-M, CCJ, and other rubbish political parties?. I said so, coz your argument totally based on the 2 parties while you remain silent on the rest.
 
You can quote me: Kinachonitisha sasa hivi siyo wazee wanaoachia madaraka, au wazee wanaong'ang'ania madaraka; ni vijana wanaotaka madaraka! Siyo kutaka madaraka tu bali kuhakikisha wanapata madaraka kwa njia yoyote ile. Na hakuna njia inayonitisha zaidi kama ya kujipanga kushika madaraka kwa njia yoyote. We have already been there (ya kina Kikwete) na tufanya makosa makubwa tukirudia njia hiyo. Kama kuna kitu cha kuangalia ni vijana. I really mean that. Naamini kundi kubwa la vijana waliopo sasa wanahitaji angalau miaka 10 mbili kabla hawajaanza kudhaminiwa madaraka makubwa zaidi.

Kuna vijana waliingia kwenye taifa in the 1960s, and oh my Gosh where they took us.


Mfano mzuri wa hilo umeongea IMO ni Nape... A Great example of JK... Toka katika roots zake za kutaka kushiriki katika Uana Siasa akiwa na nia njema mno kwa Wananchi... full of dreams and ideologies... akiamini kabisa kua yuko Unique na kwamba anaweza rudisha CCM ile ya Original ya enzi za mwalimu... akisahau kua times zimechange.. na hio misingi Misingi yenyewe Mwalimu alitumia wakati ule kuweka chama na Taifa sawa (whether zili succeed au fail) zilifaa wakati ule na sio sasa... And as time goes by huyu ideal kijana anabadilika kimawazo/kimsimamo/ huku utendaji ukiwewa vile vile Great at an individual level but malengo ya kuleta End result.... questionable.... Sad.

Hawajatafakari kabisa kua suala sio kuvua Magamba.... bali kuvua hayo magamba na kutibiwa ... tena wakiwa bed rest na kuacha wenye afya (thou sio ya hakika but haijateteleka) waendeshe gurudumu...
 
You can quote me: Kinachonitisha sasa hivi siyo wazee wanaoachia madaraka, au wazee wanaong'ang'ania madaraka; ni vijana wanaotaka madaraka! Siyo kutaka madaraka tu bali kuhakikisha wanapata madaraka kwa njia yoyote ile. Na hakuna njia inayonitisha zaidi kama ya kujipanga kushika madaraka kwa njia yoyote. We have already been there (ya kina Kikwete) na tufanya makosa makubwa tukirudia njia hiyo. Kama kuna kitu cha kuangalia ni vijana. I really mean that. Naamini kundi kubwa la vijana waliopo sasa wanahitaji angalau miaka 10 mbili kabla hawajaanza kudhaminiwa madaraka makubwa zaidi.

Kuna vijana waliingia kwenye taifa in the 1960s, and oh my Gosh where they took us.
Hii inanifanya nianze kuwafikiria UVCCM a bunch of young guys ambao wakipewa madaraka you can bet what will happen kila mmoja anatafuta namna ya kutoka
 
SlidingRoof

Before comparing and contrasting between CCM and CHADEMA i want you and other members who doesn't know you to read this passage from one of your previous threads.
Another day another un popular opinion in JF.

CHADEMA or Dr. SLAA are not the best alternative. I think it's time that we left this poor, flawed man to ride off into the sunset of insignificance. He was clearly never going to be up to the job of being the President of this country. At least the other spoilt brat (FREEMAN MBOWE) was incompetent and a failure (in School,Business and Politics) and we all knew it.

The bottom line is,last General elections (which were DEMOCRATIC, FREE & FAIR) proved that CHADEMA are simply unelectable, appealing to a narrow hardcore vote (from Northern Tanzania) rather than reaching out to a broader electorate. They need to change and waiting or hoping for JK is just living in denial of the work they have to do.

Since CHADEMA is now irrelevant, how about they disband and come and join us in the real world of KILIMO KWANZA?

Baada ya watu kukujua wewe ni nani na wewe kukumbusha uko upande gani naomba sasa nichangie kama ifuatavyo.

We all know that CCM is in a desperate situation therefore it is trying to safeguard its faces by anymeans, since they know for sure they are going to fall down sasa wanakuja na mbinu ya kujumuisha Chadema na wengine kuwa wote wameoza ili waanguke pamoja, mnataka kuwapumbaza wananchi kuwa kwa vile nyie mmeshindwa na CDM nao watashindwa. Quote "we were and still are being governed by the establishment, a network of people who knew each other(CCM&CHADEMA) and largely shared the same social background, education and values". end of your quote.

SlidingRoof nimeleta post yako ya zamani kwa makusudi kabisa kukuonyesha kuwa ile courage uliyokuwa nayo zamani kwamba you CCM can govern the country on your own imekwisha you need some other people (chama) to help. Zamani CCM ilikuwa inajivunia wananchi hasa wa vijijini lakini sasa hata hao wa vijijini wamepoteza imani na CCM nguvu iliyobaki ni bunge ambalo nalo mmehisi karibu litawashinda, na mtakaposhindwa kulidhibiti bunge na wabunge wa CCM ambao wameanza kugawanyika(ref Bajeti ya Nishati na Madini) the last standing resort yenu ni kutumia dola kuwatisha wapinzani na wananchi.
 
Nadhani tunaelewana ingawa tunaitazama CHADEMA kutokea angle tofauti.

Hatuwezi kuwa na vyama vya siasa ambavyo si vya wanasiasa, kwahiyo ccm na chadema ni wanasiasa lakini ni muhimu kuzingatia kwamba hawa ni wanasiasa wasiofanana kimtazamo na kiitikadi.

Off course kupambana na mafisadi lazima itakuwa ni top agenda ya chadema ikichukua madaraka ya hii nchi ili kurudisha nidhamu kwa viongozi wa umma waweze kujua kwamba wako kwa ajili ya maslahi ya wananchi wote na si kwa maslahi yao binafsi.

Mwananchi wa kawaida atanufaika kwa huduma bora zitakazotolewa na serikali yao; kuanzia huduma za afya, elimu, usafiri, haki, miundombinu na mengi mengineyo ambayo chini ya ccm na miaka 50 ya uhuru bado sehemu kubwa ya wananchi wanahangaika walau kupata mlo mmoja kwa siku na haki zao za kiraia zimewekwa rehani.


Tatizo mara nyingi uki observe sio Itikadi za Chama... Why lie... itikadi zoote mara nyingi hua na misingi na nia dhabiti BUT only on paper and file... IMO tatizo ni kutofuata zile itikadi zimewekwa ipasavo... na kunaweza kukawa tofauti ya jinsi gani kila Chama kitathamini na kufuata hizo itikadi (na ni zipi - maana in most cases zinafuatwa zenye faida kwa viongozi wenyewe); Na ninaposema kua Viongozi woote ni wana Siasa nina maana kua woote wanatumia Siasa kunufaisha personal interests...

Note that kuna tofauti ya Kiongozi ambae ni kiongozi na anafuata misingi ya Siasa ya nchi yake, na yule ambae anaivaa hio Siasa... i.e Nelson Mandela Vs other Typical African leaders...

Na hilo suala nilo blue highlight... Ndio wasi wasi wangu na woga wangu mkubwa huangukia hapo.... Watanzania wajue kua tuna hali MBAYA!!! Sio Mchezo... na wakumbuke kua chama kingine kikija (CDM with the highest probality) Sio kwamba ndio automatically every thing kitakua in order... Jiulize haya maswali...
  • Hali/Sector ya elimu ilivyo mbaya... ndio mashule kibao (in fact ni majengo) hakuna waalimu, hakuna libraries, hakuna labaratories, hakuna basic vifaa... Hizo ni shule za Tanzania nzima karibu zaidi 80% - nikilenga za Serkali... wakitaka waboreshe itachukua mda gani?? Mpaka wajadili issue muhimu ya walimu jinsi ya ku maintain ubora wao na umuhimu wao.... Hii sector hua inaniumaaaaaa kuliko zoooote!!
  • Hali/Sector ya afya... nikiambatanisha mahospitali, clinics, madaktari, and all its crucial related activities... na hii idadi ya waathirika inavyokua at an alarming rate... ni kiasi gani za pesa zinahitajika kuweka hii sawa?? Ni mda gani itachukua kuboresha?? Na je is there a gurantee kua itakua for the better??
  • Hii mikataba ambayo tayari ipo... ya kipuuzi ya Umeme for instance mpaka washikiliao all the reigns... You think it is that simple?? Hivi unajua kashi kashi na kijasho cha kuweza solve this issue once and for all?? kwa mda mfupi from all those holders to the so called symbion power??
  • Miundo mbinu hapa... hapa... sijui niseme nini?? Genuinely... Na from these points nam quote Mwalimu... Take note nilipo light..
"Freedom to many means immediate betterment, as if by magic.
Unless I can meet at least some of these aspirations, my support will wane
and my head will roll just as surely as the tickbird follows the rhino."


Maneno ambayo ni kweli kabisa but not an excuse enough kua kwa 50 years mambo yanakua mabaya zaidi... Hivo it is better niwe realistic na nijue kabisa kua we are doomed alafu niwe proved wrong... Kuliko eti nifagilie kua Maisha ya majority na taasisi/huduma mbali mbali zitaboreshwa alafu nije kua dissaapinted... thou I am not that pessimistc... Najua changes for the better zitakuja... but not too soon, for kuna hard work inatakiwa kufanywa from hard working people na hio hua proved by ACTIONS... Not words...

Kwa hio Mkuu hio blue ambayo you have so much confidence... beware.... Only time is the answer to that... thou other facts give us atleast assumptions....
 
SlidingRoof

Before comparing and contrasting between CCM and CHADEMA i want you and other members who doesn't know you to read this passage from one of your previous threads.


Baada ya watu kukujua wewe ni nani na wewe kukumbusha uko upande gani naomba sasa nichangie kama ifuatavyo.

We all know that CCM is in a desperate situation therefore it is trying to safeguard its faces by anymeans, since they know for sure they are going to fall down sasa wanakuja na mbinu ya kujumuisha Chadema na wengine kuwa wote wameoza ili waanguke pamoja, mnataka kuwapumbaza wananchi kuwa kwa vile nyie mmeshindwa na CDM nao watashindwa. Quote "we were and still are being governed by the establishment, a network of people who knew each other(CCM&CHADEMA) and largely shared the same social background, education and values". end of your quote.

SlidingRoof nimeleta post yako ya zamani kwa makusudi kabisa kukuonyesha kuwa ile courage uliyokuwa nayo zamani kwamba you CCM can govern the country on your own imekwisha you need some other people (chama) to help. Zamani CCM ilikuwa inajivunia wananchi hasa wa vijijini lakini sasa hata hao wa vijijini wamepoteza imani na CCM nguvu iliyobaki ni bunge ambalo nalo mmehisi karibu litawashinda, na mtakaposhindwa kulidhibiti bunge na wabunge wa CCM ambao wameanza kugawanyika(ref Bajeti ya Nishati na Madini) the last standing resort yenu ni kutumia dola kuwatisha wapinzani na wananchi.

Mkuu you have said it all,

Na ndio maana tunaona wanajaribu kutumia silaha ya kuwatisha wananchi kwamba chadema hawana kitu cha kufanya, yani wanalazimisha chadema ifanane nao wakati hivi ni vitu viwili tofauti.

Na slidingroof hawezi kurudi tena kwenye thread hii baada ya kumkumbusha upupu anaokesha kumwaga hapa.
 
Unalinganishaje usingizi na kifo? Kumbuka teke la ng'ombe anayechinjwa linaweza kukusababishia kifo.
 
I Love your perspective na ni kweli kabisa... BUT ni wazi kua CCM imetosha... waje wengine hata kama nao CDM ni wanasiasa tu pia... It will do us good and look forward to some change be it for the worse or better instead of being in a situation we know we are doomed... it is killing us in all ways possible... let alone emotionally and psychologically... Hope ni muhimu pia wakija CDM wakachakachua we will look forward kwa wengine mpaka hatimae tutafika tu!!

Unaendeleza spinning tu hapa hakuna lolote la maana.

Nani alithubutu kwenda mahakamani kuwashitaki viongozi wa chadema kwa kuwachafulia majina kama tuhuma za rushwa walizotajwa kushiriki zilikuwa za uongo?? Mramba na Mgonja hawana kesi ya kujibu mahakamani sasahivi? au unataka kusema nini kipya hapo?

Ni wajibu wa serikali kuyafanyia kazi madai ya rushwa yaliyotolewa kwenye list of shame ili kukusanya ushahidi na hatimaye kuwafikisha mahakamani watuhumiwa, serikali ndiyo yenye dhamana hiyo na haiwezi kukwepa hata nukta moja. Chadema walichofanya ni kuisaidia serikali kupata pa kuanzia, sasa wao wamehukumu hapo au wametoa tuhuma??

Unadhani kama isingekuwa kulindana hao walioko kwenye list of shame wangekuwa mitaani wanazurura na kuwapa nafasi wapambe kuja kutamba hapa kama unavyofanya??

CCM imepoteza muelekeo na hadhi ya kuiongoza nchi hii, hawana jipya kwa manufaa ya watanzania.

Kinachofanyika sasa na wapambe wake ni kujaribu kuwaaminisha watu kwamba hata chadema hawawezi kitu ambacho ni uongo mweupe kujaribu kuwaghilibu wananchi.

Katika hali hii ilipofikia ccm hawana namna ya kupona kutokana na maisha magumu na mabaya ya watanzania, tayari washaelekea kibla, ni kisu tu!!

Very true, CDM is just a replica of the old NCCR. I can see they are fast taking same path to the inevitable doom! Same factors that "killed" NCCR are now killing CDM ! We need another movement of different people with different ideas to rescue Tanzania!

In blue.... naamini wao CCM wanaelewa kulilko woote... Hayo tu ya ndani ya Chama ambayo yamewekwa wazi yanatosha kabisa kudhihirisha... Na hapo jua kabisa kuna yale wameyafunika at all cost yasitoke.... Na wao CCM wanajua kua wananchi wanajua kua wao wameshindwa.... LAKINI hio hainifanyi niamini kua CDM ndio watatukomboa hali mbaya tuliyopo sasa hivi... ila tu nakubali kua walau wao (CDM) ni best option kwa sasa....

Kama suala ni imani siwezi kusema neno lolote, imanin ni kitu kingine kabisa.

Lakini tukizungumzia uhalisia wa mambo on the ground, kama tunakubaliana kwamba ccm haina jipya kwa manufaa ya nchi hii halafu tunawahukumu chadema ambao hatujawahi kuwapa nafasi ya kutuongoza ili tuseme kwamba tuliwapa nafasi lakini mkashindwa, tunakuwa hatujitendei haki sisi wenyewe na nchi yetu kwa ujumla.

Pamoja na wasiwasi ulionao kwa chadema, ni vizuri kuamini kwamba watafanya vizuri kwani nao wanajua ni kiasi gani wananchi wamechoka na watapenda kutafuta mbinu ya kuaminiwa na wananchi. Na kwa rasilimali tulizonazo, sina shaka tukiikabidhi madaraka chadema nchi hii itabadilika.

CHADEMA wanafanyakazi vizuri tu. Baada ya kuitikisa CCM huku kwa wananchi, nguvu yao kubwa imebaki BUNGENI. Tuwaunge mkono CHADEMA ili nguvu hii pekee ya CCM iliyobaki nayo ipunguzwe kwa kiasi kikubwa. Unajua ilivyo vigumu kupambana na mamba akiwa majini. CHADEMA endeleeni kuikaba vilivyo CCM ndani ya BUNGE.

  1. Kuna tofauti ya kumhukumu mtu na kutomkubali/muamini... Siwa hukumu kabisa CDM ila naongea from vile niwaonavo... Najua kabisa kua wao wanafaa kuliko CCM... Lakini mimi kujua hilo halinifanyi nikubali/niamini kua wako genuine au lah... Naweza nisijihusishe na mambo ya Siasa but kama mmoja wa wananchi in a time Tanzania iko katika hali ngumu mno inanifanya niwe interested hasa na Vyama hivi viwili ambavo in one way or another wana nafasi kubwa ya kuweza kuturudisha katika mstari - suala ambalo tayari limethibitishwa na CCM kua wao wamejitoa katika list kwa kushindwa... Note that nasema ni Wanasiasa in the sense kua pamoja na kwamba woote wako katika an umbrella ya for the betterment ya jamii, woote matendo na baadhi ya maazuzi yao, huonesha they are not genuine...
  2. Amini usiamini CDM leo wakipata Uongozi wa nchi hii sio kwamba maisha ya majority Tanzanians yataboreshwa (tulipowekwa hapa na CCM... aah! I am telling you itachukua mda kwa changes kumfikia yule Mtanzania halisi - acha walochakachuliwa na yuko kwa ajili yake... namsema Mtanzania wa Kijijini... ambae needs change the most....) Cha kwanza kabisa CDM itatupa nguvu zake zoote katika kuhakikisha mafisadi woote waadhibiwe (na i hope watafanya the Egypt's way i.e Mubarak) by the time wanakuja kuanza kufikiri what to do kuhusu a common mwananchi - awamu ya pili....
  3. Imani Mkuu plays a role katika kuface future... hivi unafikiri kama Wantanzania woote walokata tamaa wangekua wamekata kabisa mpaka wamekata HOPE... Pangekalika hapa... Unasema Imani ni kitu kingine... Mkuu yoote yanayotokea saizi katika kila important aspect ya maisha.. Umeme, maisha kupanda in all basic related things.... Wanachi wakate tamaaa kabisa hawana HOPE... Nakwambia patachafuka!! Narudia huu msemo nishawahi sema hapo nyuma... Saizi wahusika hasa CCM waweza ona kama ni mzaha na the current pressing issues zinasolvika...BUT ukweli ni kua tumekalia bomu ambalo laweza lipuka na kuharibu kabisa au likawa dysfunctional kutegemea na hii serkali ya sasa itachukua hatua gani...

it seem your trying to defend magamba by comparing with cdm but i know a drawn man can catch a straw!!! Over my dead body you will not win this battle...

Huwezi kulingani Chadema (chama cha ukombozi wa kweli) na Majuha

You must be dreaming or sleep typing!

Mabadiliko ya kweli nchi hii yatapatikana baada ya kulibadili BUNGE hili. Wabunge wa CHADEMA wanafanyakazi nzuri. Tuwaunge mkono. CCM imetusaidia sana kwa kuweka Spika wa kubumba.

If you can't stand the heat get out of the kitchen

And out of sight

You can quote me: Kinachonitisha sasa hivi siyo wazee wanaoachia madaraka, au wazee wanaong'ang'ania madaraka; ni vijana wanaotaka madaraka! Siyo kutaka madaraka tu bali kuhakikisha wanapata madaraka kwa njia yoyote ile. Na hakuna njia inayonitisha zaidi kama ya kujipanga kushika madaraka kwa njia yoyote. We have already been there (ya kina Kikwete) na tufanya makosa makubwa tukirudia njia hiyo. Kama kuna kitu cha kuangalia ni vijana. I really mean that. Naamini kundi kubwa la vijana waliopo sasa wanahitaji angalau miaka 10 mbili kabla hawajaanza kudhaminiwa madaraka makubwa zaidi.

Kuna vijana waliingia kwenye taifa in the 1960s, and oh my Gosh where they took us.


To be honest our politicians think less about mtu wa kawaida. I prtly agree with Mwanakijiji, our new politicians are parasites, who enrich themselves constantly at the taxpayers' expense ( both of them wanted to score political points on POSHO). They routinely abuse power, lie and suppress and manipulate the truth. fUrthermore, they never admit error or failure, they always shuffle responsibility onto someone else. In daily life, unlike the old Establishment, they are graceless and self-obsessed and this imean all of them from opposition to the ruling party.

In sum, they have no standards whatever except their own personal advancement. Yet they are indignant when anyone exposes their behaviour and turn savagely on those who call them to account na ushahidi upo!

By contrast, although our politicians boasts constantly about their achievements its no doubt they have proved spectacularly incompetent in matters great and small. From CCM, apart from this EPA they have given us the UMEME debacle, TRL privatization and its endless botched reorganizations, a string of IT disasters....such as WEBSITE YA TAIFA, (and ID cards in waiting), fertilizer over payments, the prisons fiasco, inadequate and irresponsible armed forces leadership, housing and city planning that resemble wild wild west,, incoherent and failed policies on NISHATI na MADINI etc, ... Almost NOTHING these people touch works properly. They could not even replace the incompetent old guard.


The question is , how did so many corrupt, charmless and incompetent people get away with it? the answer is same as what Jenerali Ulimwengu asked back in 1992: MASWALI MAGUMU MAJIBU RAHISI....well, its simple, they suborned, subordinated and supplanted all the institutions you can think of which might otherwise have resisted them - often with the assistance of willing collaborators within. In particular, from my understanding, UTUMISHI are always humiliated repeatedly - their advice rejected and their normal command structures replaced by political appointees, expensive outside CON-sultants ( CROWN AGENTS from UK, etc).

These lot operate like the MAFIOSO of the GOMORRAH calibre. Both CHADEMA & CCM establishments have recruited large sections of the media to print or broadcast its propaganda as fact (JAMII FORUMS is also alleged to be involved in this conspiracy). That is what spin doctoring means and it requires willing collaborators in both print and electronic media. Some of the media have done even worse, and propagated deliberate lies or character assassination at the behest of these class. More and more of the media, and its members, are becoming indistinguishable from the CHADEMA/CCM political class. They routinely trade jobs and careers - I'm told politicians nowadays have become undercover paid columnists (Na "MWANDISHI WETU" ), journalists ( Betty Mkwasa et al ) join the government machine and give orders to civil servants (Pasco et al will soon follow)

Funny enough these lot gets angry with journalists only when they break ranks and refuse to play the game (KUBENEA knows best). In spite of their shrill complaints, both the Mkapa & JK governments had a remarkably easy ride from the media. Nearly all of their biggest decisions were endorsed and promoted by the media and their propaganda was rarely, if ever, dissected or challenged unless the rogue elements within the Jamii Forums and social media sites.

To be honest, I'm ready to admit I was naive at first when I thought the new CCM would be different from the old...and CHADEMA would be better...well one has criminals and another advocates mob justice. Both have failed us.
 
I Love your perspective na ni kweli kabisa... BUT ni wazi kua CCM imetosha... waje wengine hata kama nao CDM ni wanasiasa tu pia... It will do us good and look forward to some change be it for the worse or better instead of being in a situation we know we are doomed... it is killing us in all ways possible... let alone emotionally and psychologically... Hope ni muhimu pia wakija CDM wakachakachua we will look forward kwa wengine mpaka hatimae tutafika tu!!

You have made my day na mchango wako, ukizingatia unatoka kwa mwanadada na inadiwa wadada hamfuatiliii siasa, wewe ni mwanamke mmoja na nusu wa ukweli au wanaume wawili wa kawaida.
 
You have made my day na mchango wako, ukizingatia unatoka kwa mwanadada na inadiwa wadada hamfuatiliii siasa, wewe ni mwanamke mmoja na nusu wa ukweli au wanaume wawili wa kawaida.


Bolivar... wanawake tunafuatilia... Sema tu hua hatutoi mawazo yetu,
kumbuka kua moja ya technique ya CCM ni kuwakamata wanamama
katika Siasa upande wa kupiga kura... hua wanajituma saaaana...
Na wanawalea saana UWT... Kwa kulenga hilo...

I am humbled by your acknowledgement...
 
No any comparison btn CCM & CHADEMA but the contrast is that CCM ni KICHUGUU na CHADEMA ni MLIMA KILIMANJARO!
 
CHADEMA wanafanyakazi vizuri tu. Baada ya kuitikisa CCM huku kwa wananchi, nguvu yao kubwa imebaki BUNGENI. Tuwaunge mkono CHADEMA ili nguvu hii pekee ya CCM iliyobaki nayo ipunguzwe kwa kiasi kikubwa. Unajua ilivyo vigumu kupambana na mamba akiwa majini. CHADEMA endeleeni kuikaba vilivyo CCM ndani ya BUNGE.

Hapo nashindwa kufanya comparison hasa kwa nadharia ya waliotangulia, labda tu niseme ccm ni zaidi ya cdm kwa umri wake, na in fact ccm itaenziwa na cdm na vyama vingine kwa kuwafikisha hapo na wao wakaona kuna umuhimu wa kufanya mabadiliko, pili cdm na wengine (opposition) wananafasi kubwa ya kuperform kutokana na umri wao (yaani nguvu), labda tu tatizo iwe uzoefu, lakini mpaka sasa cdm wapo kwenye chati, na ni wakati sasa kutotia maji kama ambavyo mgema akisifiwa. tunataka kuona kwa nafasi hii ndogo ya uwakilishi wanatoa demo kwenye maeneo yao na wananchi waone. siyo blabla kama tulizozoea. la sivyo itakuwa ngumu kuwatofautisha.
 
SlidingRoof

Before comparing and contrasting between CCM and CHADEMA i want you and other members who doesn't know you to read this passage from one of your previous threads.


Baada ya watu kukujua wewe ni nani na wewe kukumbusha uko upande gani naomba sasa nichangie kama ifuatavyo.

We all know that CCM is in a desperate situation therefore it is trying to safeguard its faces by anymeans, since they know for sure they are going to fall down sasa wanakuja na mbinu ya kujumuisha Chadema na wengine kuwa wote wameoza ili waanguke pamoja, mnataka kuwapumbaza wananchi kuwa kwa vile nyie mmeshindwa na CDM nao watashindwa. Quote "we were and still are being governed by the establishment, a network of people who knew each other(CCM&CHADEMA) and largely shared the same social background, education and values". end of your quote.


SlidingRoof nimeleta post yako ya zamani kwa makusudi kabisa kukuonyesha kuwa ile courage uliyokuwa nayo zamani kwamba you CCM can govern the country on your own imekwisha you need some other people (chama) to help. Zamani CCM ilikuwa inajivunia wananchi hasa wa vijijini lakini sasa hata hao wa vijijini wamepoteza imani na CCM nguvu iliyobaki ni bunge ambalo nalo mmehisi karibu litawashinda, na mtakaposhindwa kulidhibiti bunge na wabunge wa CCM ambao wameanza kugawanyika(ref Bajeti ya Nishati na Madini) the last standing resort yenu ni kutumia dola kuwatisha wapinzani na wananchi.

Nimeipenda sana hii kumbukumbu maana imefichua siri now the enemy is completely failed the only solution is to join us!but we are unable to accept the joint venture your failure has to remain and read as your failure and our (CDM) success has to remain and read success. No way! imekula kwenu hadanganyiki mtu hapa.....
 
Back
Top Bottom