Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
- Kuna tofauti ya kumhukumu mtu na kutomkubali/muamini... Siwa hukumu kabisa CDM ila naongea from vile niwaonavo... Najua kabisa kua wao wanafaa kuliko CCM... Lakini mimi kujua hilo halinifanyi nikubali/niamini kua wako genuine au lah... Naweza nisijihusishe na mambo ya Siasa but kama mmoja wa wananchi in a time Tanzania iko katika hali ngumu mno inanifanya niwe interested hasa na Vyama hivi viwili ambavo in one way or another wana nafasi kubwa ya kuweza kuturudisha katika mstari - suala ambalo tayari limethibitishwa na CCM kua wao wamejitoa katika list kwa kushindwa... Note that nasema ni Wanasiasa in the sense kua pamoja na kwamba woote wako katika an umbrella ya for the betterment ya jamii, woote matendo na baadhi ya maazuzi yao, huonesha they are not genuine...
- Amini usiamini CDM leo wakipata Uongozi wa nchi hii sio kwamba maisha ya majority Tanzanians yataboreshwa (tulipowekwa hapa na CCM... aah! I am telling you itachukua mda kwa changes kumfikia yule Mtanzania halisi - acha walochakachuliwa na yuko kwa ajili yake... namsema Mtanzania wa Kijijini... ambae needs change the most....) Cha kwanza kabisa CDM itatupa nguvu zake zoote katika kuhakikisha mafisadi woote waadhibiwe (na i hope watafanya the Egypt's way i.e Mubarak) by the time wanakuja kuanza kufikiri what to do kuhusu a common mwananchi - awamu ya pili....
- Imani Mkuu plays a role katika kuface future... hivi unafikiri kama Wantanzania woote walokata tamaa wangekua wamekata kabisa mpaka wamekata HOPE... Pangekalika hapa... Unasema Imani ni kitu kingine... Mkuu yoote yanayotokea saizi katika kila important aspect ya maisha.. Umeme, maisha kupanda in all basic related things.... Wanachi wakate tamaaa kabisa hawana HOPE... Nakwambia patachafuka!! Narudia huu msemo nishawahi sema hapo nyuma... Saizi wahusika hasa CCM waweza ona kama ni mzaha na the current pressing issues zinasolvika...BUT ukweli ni kua tumekalia bomu ambalo laweza lipuka na kuharibu kabisa au likawa dysfunctional kutegemea na hii serkali ya sasa itachukua hatua gani...
Nadhani tunaelewana ingawa tunaitazama CHADEMA kutokea angle tofauti.
Hatuwezi kuwa na vyama vya siasa ambavyo si vya wanasiasa, kwahiyo ccm na chadema ni wanasiasa lakini ni muhimu kuzingatia kwamba hawa ni wanasiasa wasiofanana kimtazamo na kiitikadi.
Off course kupambana na mafisadi lazima itakuwa ni top agenda ya chadema ikichukua madaraka ya hii nchi ili kurudisha nidhamu kwa viongozi wa umma waweze kujua kwamba wako kwa ajili ya maslahi ya wananchi wote na si kwa maslahi yao binafsi.
Mwananchi wa kawaida atanufaika kwa huduma bora zitakazotolewa na serikali yao; kuanzia huduma za afya, elimu, usafiri, haki, miundombinu na mengi mengineyo ambayo chini ya ccm na miaka 50 ya uhuru bado sehemu kubwa ya wananchi wanahangaika walau kupata mlo mmoja kwa siku na haki zao za kiraia zimewekwa rehani.