Joeli
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 4,941
- 3,402
hi jf hakuna jukwaa la rubbish? kama lipo basi tunaomba hii ihamishiwe huko.
hili jukwaa halikufai.... nakushauri uhame
hi jf hakuna jukwaa la rubbish? kama lipo basi tunaomba hii ihamishiwe huko.
Hata kama umenibeba mm ni M4C tu.Je unajifunza nini kwenye hii picha?
Najifunza kwamba mtu hata akiwa na sura mbaya kama mamba bado watoto watampenda tu.
Fundisho: 1.Katiba mpya ishushe umri wa kupiga kura.
2. Watoto wengine wana akili kuliko sisi wazazi wao.
3. Mtoto aliyebebwa, ana uwezo mkubwa wa kuongoza Baraza la Mawaziri kuliko aliyembeba.
Babu wee FISADI!!!!!! Mimi nitajiunga na M4C mara tu utakaponiweka chini. BYE CCM!Je unajifunza nini kwenye hii picha?