Nimekuuliza Jambo na Vijambo inamilikiwa na diamond? Mbona unashindwa kunijibu mbona swali rahisi
Nimekuuliza Jambo na Vijambo inamilikiwa na diamond? Mbona unashindwa kunijibu mbona swali rahisi
Kwani Kuna ubaya gani kuizungumzia WCB? Ukiangalia humu jamvini asilimia kubwa Ni habari za WCB mbona Hilo ushangai Kama watu wanafanya vizuri na Wana matukio mengi yakuzungumzwa kwanini watu wasiwazungumzie?Na hua anapambana hasa, humwambii kitu kuhusu wasafi. Kama anapata mkwanja kupitia hyo basi well and good, ila kama ni ushabiki tu daah basi ni hatari
Wabongo nuksi Sana.Wabongo utawaweza? Hawa hawa ambao mtu akiigiza uhusika wa ubaya (uchawi, roho mbaya n.k.) eti kitaani watu wanaanza kummaindi kiukweli!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulishawahi kumuona baba yako amevaa kama mwanamke?Mwingine huyu. Inaonekana unawazaga Sana kuhusu hizo mambo na ndo maana unajifanya unachukia hapa. Punguza mawazo machafu kichwani mwako. Anza kuadopt vitu vingine ili uache kufikiria kumtoboa mwanaume mwenzio.
Pathetic.
😂😂😂😂Ona hili tikiti maji.. hapa tunaongelea mijengo au kuchekesha..
Kwa hizi akili sidhani kama form 4 ulimaliza
Kwani baba yake anafanya kazi za Sanaa? au hao wanaigiza Kama wanamke unazani hawana familia? Na unazani awajui kwamba mzee yupo kazini? Acha kuforce vitu ambavyo havipo au una access na huo ushoga maana unavyon'gan'gania unanishangaza Sana.Ulishawahi kumuona baba yako amevaa kama mwanamke?
Au baba yako atafurahi akikuona umevaa kama mwanamke?
Unang'ang'ania sana kuvaa kama mwanamke.Kwani baba yake anafanya kazi za Sanaa? au hao wanaigiza Kama wanamke unazani hawana familia? Na unazani awajui kwamba mzee yupo kazini? Acha kuforce vitu ambavyo havipo au una access na huo ushoga maana unavyon'gan'gania unanishangaza Sana.
Acha wivu na kazi za watu mbona wewe ujapangiwa kazi yakufanyaUnang'ang'ania sana kuvaa kama mwanamke.
Kuwa makini ukiwa umevaa madera yako watakushika mroso.
Hua napenda vipindi vya comedy kama kile kinaitwa Bamba live na baadhi ya comedian nikikutana na vichekesho vyao nacheka siku zinasonga ila kusema kua huyu ni my fav, sina kwakwel.
Kwa Kenya nampenda sana Eric Omondi na yule anajiita Nicki bigfish, Ug namkubali Kansiime. Hao hua nawafatilia
Vipi mwanamke akiekti kama kidumeZilikua hazinivutii, kitendo cha mwanaume kuact kama mwanamke hua sifurahishwi nacho ila nlikua naangalia sababu kipindi ndo nishakipenda
Idriss ana content gani ya vichekesho si bora hata mpokinope idris anajitahid labda ww unafaa kuchekeshwa na jiwe
Hongera kiasi flani umeweza kubadilisha uzi. Umekuja kuwa uzi wa wasanii wa comedy wanaokubalika east afrika[emoji1787][emoji1787]Hua napenda vipindi vya comedy kama kile kinaitwa Bamba live na baadhi ya comedian nikikutana na vichekesho vyao nacheka siku zinasonga ila kusema kua huyu ni my fav, sina kwakwel.
Kwa Kenya nampenda sana Eric Omondi na yule anajiita Nicki bigfish, Ug namkubali Kansiime. Hao hua nawafatilia
mtoto wako wa kiume akivaa kama mwanamke utakenua meno kuchekelea???Watu kama nyie kwenye Mada hizi huku ndo mnapokimbiliaga, mnaanza kuuliza vitu binafsi ili hapa nikikujibu "ndio" uanze kubwabwaja matusi. Hapa tunaongelea comedians baba kaingiaje?
Hivi Joti si anaigiza Uzee je akili zake ni za kizee? Kuna muda Dulivani anaigizaga kama mtoto mbona hamsemagi Ana akili za kitoto? Ila akiigiza kama mwanamke ndo anakuwa shoga. Yaaani mna double standards za ajabu Sana. Punguza wivu mkuu na uondoe Hiyo "Toxic Masculinity" attitude uliyokuwa nayo.
sawa mkuu sikupangii kazi ya kufanya, endelea kuvaa kama mwanamke.Acha wivu na kazi za watu mbona wewe ujapangiwa kazi yakufanya
Ungekaa nalo moyoni mwako, huo ndio wivu tuWe jamaa hivi unajielewa?? Mimi nimejiongelea mimi hanichekeshi ndio maana siangalii tena comedy zake.
Sasa kama hanichekeshi mimi kwani dunia nzima wana interests kama zangu?? Kuna watu wanapenda pigo za kike kike kama WEWE inawezekana mko wengi..
Personal opinion yangu sio ya Taifa wala dunia na sijamshawishi mtu asiangalie .