Comedians mnafeli wapi?

Comedians mnafeli wapi?

Tutafika tu, changamoto wanayokutana nayo wasanii wa category hiyo haitofautiani sana na bongo movie.
Bongo movie nlishaacha kuangalia, tatizo lile lile no ubunifu ile movie ikifika nusu unaweza kupredict mwisho itakuaje pia nying zinafanana maudhui/story...
Pia quality za video mbayaa hazimvutii mtazamaji. Inawezekana pia budget ni ndogo inasababisha yote hayo
 
Hawa jamaa wapo vizuri Sana wafuatilia utajuta kabisa kipindi kilikuwa kinarushwa East Africa tv sasa hivi wanarusha Wasafi tv kila siku alhamisi saa 3 usiku au nenda YouTube ya wasafi media utakuta wameweka hasa kesho utaona waneweka teyari.
Kumbe ni current, basi ntawafatilia nione.
 
Huwa nawashangaa sana wasanii wa vichekesho aka comedy.

Wanapokuwa wakiigiza kama wanawake! Hivi huwa wanajisikiaje? Inaamaana hakuna wanawake wanaoweza kumudu uhusika katika scene hizo?

Wanavaa madira, na kuweka makalio bandia na kujichetua kikekike! Khaaaa!

Kama mwanaume nashauri mshike nafasi zenu, kwani kama kipaji kipo kipo tu, tutacheka!

Kumbuka kuchukua tahadhali uwe salama hadi hili janga la COVID-19 lipite na tubaki salama.

Mungu ibariki Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
ni kweli..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hua namuona post zake nying zinahusu pale wasafini, hadi hua nahisi ni mmoja wa wafanyakazi wa pale. Kama sio basi ni shabiki wa damu kabisa

Lazima kuna namna anavyofaidika na kuipamba WCB humu, maana huwa kuna baadhi ya vitu anapamba ambavyo kwa akili ya kawaida tu unaona huyu siyo.
 
Lazima kuna namna anavyofaidika na kuipamba WCB humu, maana huwa kuna baadhi ya vitu anapamba ambavyo kwa akili ya kawaida tu unaona huyu siyo.
Na hua anapambana hasa, humwambii kitu kuhusu wasafi. Kama anapata mkwanja kupitia hyo basi well and good, ila kama ni ushabiki tu daah basi ni hatari
 
Na hua anapambana hasa, humwambii kitu kuhusu wasafi. Kama anapata mkwanja kupitia hyo basi well and good, ila kama ni ushabiki tu daah basi ni hatari

Atakuwa anapata, maana anaweka effort hasa.
 
Mkuu Ngoja nikusaidie. Hiyo inaitwa Parodying. Hata Mr Bean Alishafanya sikumbuki tu ni movie gani na atafanya Tena kama Scene ikimuhitaji kufanya hivyo. Angalia SNL ya marekani Parodying inafanyika Sana. Bongo unaona kila mtu Anafanya parodying ya kike kwa sababu hufuatilii Comedy ya bongo kwa Undani. Umejikita tu na hao kina comedians unaowaona insta.

Sijajua Kwanini mnawaattack Sana wabongo Mfano Joti mnayemuongelea hapa anaweza akaact kama Mzee, Mtoto, Mwanamke au kijana tu wa kawaida. Dulivan ndo kabisa ndo hadi Movie anaigiza parodying kama mtoto. Mbona hamsemagi kuwa duli akili zake zinabadilika zinakuwa za kitoto akiact kama mtoto?

Yaani sielewi mnanung'unika Nini km msanii kachukua kipengele kimoja tu Cha Parodying na kukifanyia kazi ili atimize matakwa ya kifasihi.
Wabongo utawaweza? Hawa hawa ambao mtu akiigiza uhusika wa ubaya (uchawi, roho mbaya n.k.) eti kitaani watu wanaanza kummaindi kiukweli!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom