Sasa Zimeanza
Hapa ndio napomchukia mzungu,wakati wa ubaguzi USA ndio ilikuwa mstari wa mbele kuisaidia serikali ya kibaguzi,na walipinga kabisa hatua za kuiwekea vikwazo vya kiuchumi Afrika ya kusini,lakini baada ya weusi kushinda na kutokomeza ubaguzi bila visasi sasa hivi kila mtu anataka kujipendekeza kwa mzee Mandela.Ama kweli mtu mweupe siku zote hawezi kukuthamini kama hakuna anachonufaika nacho kutoka kwako..